Jaribio la mtu mmoja aliyetaka kuuza paka 500 kwenye migahawa tofauti ili watumike kama nyama, limeshindikana baada ya polisi kupata taarifa na kumkamata.
Gazeti la South China Morning Post...
June 5, 2017
Dubai
By REUTERS
‘Ramifications could be huge’: Qatar and its Gulf neighbours could lose billions from rift in Middle East
DUBAI — A diplomatic rift between Qatar and its Gulf...
Jengo moja la ghorofa limeshika moto katika barabara ya Latimer, magharibi mwa jiji la London, watu walio shuhudia tukio hilo wanasema,moto huo umeleta mshituko mkubwa hali iliyosababisha baadhi...
Aliyekuwa Rais wa Ivory Laurent Gbagbo ameshambuliwa akiwa anatembea mtaani jijini Paris Ufaransa na wananchi ambao wanasadikiwa kuwa ni raia wenye asili ya Ivory Coast waishio Ufaransa
CANADA: Mwandishi wa habari wa Kituo cha ABC nchini Canada, Adam Harvey amepigwa na risasi kwa makosa shingoni wakati akiripoti mapigano yanayoendelea chini Ufilipino.
Licha ya kunusurika, lakini...
Korea Kaskazini yaanzisha mafunzo ya Kijeshi kwa watoto nchini humo kuwaandaa na mapambano dhidi ya “ukoloni wa Marekani” na kumlinda Rais wao mpendwa, Kim Jong-un.
Mwalimu katika shule hiyo ya...
At least five people have been killed in a 6.9-magnitude earthquake that struck in western Guatemala near the border with Mexico, according to Guatemalan authorities.
Wednesday's fatalities...
Shambulizi la bomu la kujitoa mhanga na la bunduki katik hoteli moja na mgahawa kwenye mji mkuu wa Somalia, Mogadishu, limewaua takriban watu 19.
Shambulizi hilo lilianza siku ya Jumatano jioni...
The United Nations says Turkey's decision to convict one of its judges is a breach of both diplomatic immunity and a binding legal order. Judge Aydin Sefa Akay, from the UN's Mechanism for...
BANGLADESH: Idadi ya watu waliofariki dunia baada ya makazi yao kukumbwa na mafuriko yaliyopelekea maporomoko ya ardhi yafikia 145.
======
Rescue workers are battling to reach victims of the...
SAUDI ARABIA: Mahujaji kutoka Qatar wazuiwa kuingia nchini humo kwaajili ya kwenda kuhiji katika Msikiti wa Masjid al-Haram uliopo Mecca.
Zuio hilo limekuja baada ya kuzuka kwa mgogoro baina ya...
Spika wa Bunge la Zambia amewatimua bungeni, wapinzani wote wa Chama cha UPND kwa muda wa siku 30.
Hivyo bunge hilo litakosa uwakilishi wa chama hicho cha UPND (United Party for National...
Kiranja wa walio wengi katika Bunge la Congress nchini Marekani Steve Scalise, amepigwa risasi na kujeruhiwa alipokuwa akihudhuria mazoezi ya mchezo wa baseball miongoni mwa wabunge.
Yamkini watu...
Takriban wahamiaji 100 wameokolewa baada ya kutelekezwa wakati wakijaribu kuvuka jangwa kaskazini mwa Niger,Chombo cha habari cha Ufaransa, RFI kimeripoti.
Imeripotiwa kuwa watu 92 waliookolewa...
Polisi nchini Kenya kaunti ya Bungoma, wanamzuilia mama aliyemfungia mwanae ndani ya gari na kumuacha akafa huku akijiburudisha na mpenzi kwenye gesti.
Mwanamke huyo yasemekana kuwa, alimfungia...
Masalia ya Obama yaanza kuwashambulia watu wa Donald Trump, USA will never be same again!
Latest: Rep. Scalise, Four Others Shot, Gunman in Custody – Republicans targeted
Gazeti la Middle East Monitor limeandika Rais wa Somalia amekataa kupokea dola milioni 80 za kimarekani kutoka Saudi Arabia ili nchi hiyo ya Somalia ijiunge na muungano wa nchi za kiarabu katika...
Aliyekua kiongozi wa waasi nchini Congo, Bosco Ntaganda anatarajiwa kutoa ushahidi leo katika mahakama ya kimatafa ya ICC.
Ntaganda aliyepewa jina la 'The Terminator ' atasimama kizimbani ikiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.