Rais Trump pamoja na timu yake wamejibu vikali dhidi ya tuhuma zilizotolewa na aliyekuwa mkurugenzi wa FBI ,kuwa rais Trump alimtaka kuacha kumchunguza mshauri wa zamani wa masuala ya usalama na...
UGAIDI! Mtu mmoja amejilipua kwa bomu la kujitoa muhanga na kusababisha vifo vya watu 20 na kujeruhi wengine 34 katika soko la Musayyib kusini mwa Baghdad.
------------
Suicide bomber kills 20...
House, Senate investigators seek Trump tapes, Comey memos
By Tom LoBianco, CNN
Two Hill committees seek Comey memos, tapes - CNNPolitics.com
Updated 4:28 AM ET, Sat June 10, 2017
CNN)House...
Uchaguzi hapa United Kingdom kesho inshallah, I can't wait, chama Langu Labour Party, halafu siondoki baada ya kupiga kura, jecha atakuwa around, lol just kidding...
Avenue Baron Albert D’Huart 124 June 01, 2017
1950 Krainem Brussels
Belgium
To: Mr Filippo Grandi, the UNHCR Commissionner; Geneva, Switzerland
Re: Alert on the danger awaiting Rwandan...
Mataifa ya Bahrain, Saudi Arabia & Egypt yavunja mahusiano ya kidiplomasia na Qatar, wakiituhumu kufadhiri vikundi vya Kigaidi
Key Arab League nations, including Saudi Arabia, Egypt and the...
Matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Uingereza hayampi furaha Waziri Mkuu Theresa May.
Wahenga walisema; mchimba kisima huingia mwenyewe. Theresa May kwa kudhani kuwa uchaguzi huu ungempa sio tu uhalali...
Aliyekuwa Mkurugenzi wa FBI, James Comey, atasimama mbele ya Baraza la Congress Alhamis, kutoa ushahidi dhidi ya Rais Donald Trump wa Marekani unaohusu madao ya Urusi kuingilia uchaguzi wa...
Can Trump block Comey from testifying? White House could try to invoke executive privilege
By Laura Jarrett, CNN
Updated 3:28 PM ET, Fri June 2, 2017
JUST WATCHED
Will Trump keep Comey from...
A group of 130 imams and religious leaders have refused to perform the traditional Islamic funeral prayer for the London Bridge attackers.
The leaders said they would not carry out the ritual...
Watu takriban 10,000 wamelazimika kukimbia makwao kutoka mji mmoja pwani ya Afrika Kusini ambao umeharibiwa pakubwa na moto.
Wanajeshi wanashiriki katika juhudi za kukabiliana na mtaa huo...
Lesotho Prime Minister Resigns After Losing Election
The Lesotho government has issued a press release saying that the country's King Letsie III accepted the resignation of Prime Minister...
ZIMBABWE: Watu 43 wamefariki na 24 wamejeruhiwa baada ya basi la Kampuni ya King Lion walilokuwa wakisafiria kuacha njia kisha kugonga mti.
Kwa mujibu wa msemaji wa Jeshi la Polisi, amesema basi...
Gazeti rasmi la Korea Kaskazini la Minchu Chosun limeandika kuwa, hivi sasa Pyongyang inaendelea na maandalizi ya kuunda silaha yenye uwezo wa kuifuta kabisa Marekani kwenye uso wa dunia kutokana...
SOMALIA: Wapiganaji wa Al Shabaab wamempiga mawe mbele ya hadhara hadi kufa mwanaume mmoja(44) baada ya kupatwa na hatia ya uzinzi.
- Mamlaka za Serikali hazikupoea simu zilizopigwa kwaajili ya...
Huyu bwana anaitwa Kadhim Al-Jabouri,
Anaiambia BBC kwamba alikuwa hampendi Saddam Hussein kwasababu aliua ndugu zake kama kumi na watano. Anaendelea kusema siku ambayo Marekani na Uingereza...
FIRST ON CNN: US suspects Russian hackers planted fake news behind Qatar crisis
By Evan Perez and Shimon Prokupecz, CNN
Updated 6:15 PM ET, Tue June 6, 2017
FIRST ON CNN: US suspects Russian...
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha masuala ya Habari cha Shauri Moyo, jijini Nairobi, amejiua baada ya kupita wiki mbili tangu arudishwe nyumbani kwa kukosa ada.
Mwanafunzi huyo Frederick Kinyanjui...
Mpango wa kuuza ndege vita chapa F15 unaonekana kusonga mbele licha ya baadhi ya nchi kukata uhusiano wa kidiplomasia na Qatar kufuatia kile walichokiita kuunga mkono ugaidi.
Idara ya mambo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.