Jeshi la Marekani limefanikiwa kulidungua na kuliharibu kabisa kombora la masafa marefu (ICBM) kwa kutumia mfumo wake mpya wa ulinzi dhidi ya makombora ya masafa marefu, kombora hilo lililorushwa...
1. Afghanistan
In the 1980s, the U.S. worked with Pakistan and Saudi Arabia to overthrow Afghanistan’s socialist government. It funded, trained and armed forces led by conservative tribal leaders...
Ikulu ya White House imeiomba Mahakama ya Juu nchini Marekani kurejesha tena marufuku ya usafiri iliyokuwa imewekewa watu kutoka mataifa kadha yenye Waislamu wengi na serikali ya Donald Trump...
Msanii mchekeshaji raia wa Marekani mwanamama Cathy Griffin alieonekana live kupitia kipindi cha TV kinachorushwa na CNN akiwa ameshika kinyago kinachofanana kabisa na kichwa cha rais Trump huenda...
Wahamiaji zaidi ya 40 wamekufa kutokana na kiu baada ya gari lao kuharibika katika Jangwa la Sahara kaskazini mwa Niger.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka Shirika la Msalaba Mwekundu limeseama kuwa...
IRELAND: Leo Varadkar anapigiwa chapuo la kuwa Waziri Mkuu mpya katika uchaguzi utakaofanyika Juni 2. Aliwahi kujitangaza kuwa Shoga.
Leo Varadkar amabaye ni mtoto Baba Mhamiaji kutoka India na...
Kampuni kubwa duniani ya kusindika nyama iliyopo nchini Brazil, imekubali kwamba iliilipa serikali ya nchi hiyo kiasi cha zaidi ya dola Bilioni tatu katika kile kinachotajwa kuwa ni rushwa kubwa...
Watu 44 wamefariki kwa kiu ya maji baada ya basi lao walilokuwa wakisafiria wakikatiza ndani ya Jangwa la Sahara.
Manusura 6 waliofanikiwa kutembea hadi kwenye kijiji cha jirani walikopatiwa...
Urusi wamewafukuza wanadiplomasia watano wa Moldova, ikiwa ni kulipiza kisasi kwa Moldova kufukuza idadi sawa ya wafanyakazi wake wa kidiplomasia siku ya Jumatatu.
Wizara ya mambo ya nje ya Urusi...
Ripoti kutoka nchini Nigeria zinasema Maafisa wa Jeshi la Wanamaji wamevamia na kuchoma moto kituo cha polisi mjini Calabar kusini mwa nchi hiyo
Maafisa wa polisi watatu wanaripotiwa kuuawa...
Screaming overheard in Cabinet Room meeting between Spicer, Bannon and Sanders after Russia intel revelation
Elizabeth Preza
15 May 2017 at 21:04 ET...
Paterson, mwenye umri wa miaka 59, aliwafanyia upasuaji wanawake tisa na mwanamume mmoja baada ya kuwadanganya kuwa walikuwa na saratani ya matiti.
Amepatikana na hatia ya mashtaka 17 ya kujeruhi...
Korea Kaskazini imerusha kombora la masafa mafupi, ambalo ni la tatu kurushwa na taifa hilo katika kipindi cha wiki tatu.
Kombora hilo aina ya Scud lilipaa umbali wa kilomita 450 (maili 280)...
Ikiwa ni miaka 6 ikielekea kutimia miaka 7 tangu kuanza kwa mapigano nchini Syria aidha mpaka sasa takwimu zinaonyesha kuwa watu zaidi ya 465,000 wameuawa katika mapigano, huku zaidi ya milioni 1...
Al-Qaeda and the Islamic State of Iraq and the Levant (ISIL, also known as ISIS) have always considered "the West" - and the United States in particular - the ultimate enemy.
But following...
Mkuu wa kitengo cha mawasiliano Ikulu ya Marekani Mike Dubke amejiuzulu miezi 3 tu baada ya kuteuliwa na Rais wa nchi hiyo Donald Trump
Habari zaidi zitafuata baadae....
=======
Mike Dubke...
KABUL — A massive blast tore through the diplomatic quarter of the Afghan capital on Wednesday of Kabul killing at least 80 people according to officials and underlining the fragility of the...
Europe’s leaders are undiluted products of a dominant feminist culture. For example, many of French citizens who cast their vote for Emmanuel Macron in the recent French presidential election were...
Korean Central News Agency (KCNA) called for the US to face a human rights trial
North Korea is accusing the US of spreading the Ebola virus, claiming it has been "bent on the development of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.