Katika mkutano uliofanyika hapo jana wa Nato, Trump alionekana kumsukuma Raisi wa Montenegro ili apate nafasi nzuri yeye ya kupiga picha. Na hakuomba msamaha wala kujutia kitendo hicho...
Kumetokea tatizo ghafla la kukatika katika kwa mtandao yaani data inazima na kuwaka kwa mtandao wa TTCL.Nini tatizo?!
Vifurushi vyetu vitafidiwa au ndo bye bye?!
Serikali tunaomba mboreshe...
IMPORTANT NOTICE TO GHANAIANS LIVING AND WORKING IN THE KINGDOM OF SAUDI ARABIA
Riyadh, May 22, 2017 - The Embassy of the Republic of Ghana in Riyadh, Kingdom of Saudi Arabia wishes to remind all...
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni!! Wakati nchi yetu ya Tanzania ikiingia mkataba na Uganda kwa ujenzi wa Bomba la kusafirisha mafuta kutoka mjini Hoima hadi Tanga hii tofauti kabisa na...
Maelfu ya Mayahudi wamefanya maandamano mjini Tel Aviv kuunga mkono kuundwa taifa huru la Palestina sambamba na kulaani miaka 50 ya utawala haramu wa Israel kukalia kwa mabavu ardhi za...
BAHAR, INDIA: Watu 29 wamefariki na wengine kadhaa wamejeruhiwa baada ya Radi kuvikumba vijiji vya Jamui, Champaran na Samastipur.
- Aidha upepo makali umeharibu mazao na nyumba zipatazo 250...
Wakati nchi ya Rwanda ikielekea uchaguzi mkuu mwaka huu August 4 tume ya uchaguzi ya nchi hiyo imetoa utaratibu hairuhusiwi kutuma post yoyote mitandao hasa kwa wagombea urais na timu zao kabla...
Floods and landslides in Sri Lanka's southern and western regions have killed at least 122 people and damaged more than 1,700 homes, officials said on Saturday.
Ninety-seven people were also...
Jana nchini saudi arabia, suermarket moja imewapa OFA wateja wao kuchukua chochote watakacho ndani ya masaa mawili na kuzua mtafaruku mkubwa sana ndani ya supermarket hiyo
Leo Rais Trump alikutana na Papa Francis nchini Vatican huku ombi kubwa la Papa Francis kwa Donald Trump likiwa ni kuizungumzia zaidi amani na kuitafuta zaidi amani kuliko vita.
Rais donald trump...
Askari wa Kuwait wamemshikilia mwanamke nchini humo kwa kumrekodi mfanyakazi wake wa kiEthiopia akijirusha kutoka ghorofani bila kujaribu kumuokoa.
Mwanamke huyo alimrekodi mfanyakazi wake...
Christians living in Libya have been rounded up, beaten, tortured, and accused of proselytism by Libyan security forces in Benghazi, in the latest sign of the militant Islamism affecting the...
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amepiga marufuku kufanyika karamu zozote zinazohusiana na mwezi mtukufu wa Ramadhani katika wizara hiyo mwaka huu.
Shirika la habari la IRNA limeripoti habari...
Historia inaeleza kuwa marekan haijawah kuwa na koloni bali imewahi kutawaliwa na waingereza hadi pale ilipo pata uhuru wake 1776.
Marekani ni taifa linalo ongoza dunia kwa unyonyaji wa kiuchumi...
Bado najiuliza hivi hali hii ingekuwaje kwa TBC kuona tukio kama hili?Rais Uhuru Kenyatta amekutana na Rais Donald Trump huko Taormina nchini Italia walipo kuwa wanaudhuria mkutano wa nchi za G 7...
Kiongozi mkuu wa Israel kafurah sana Rais Trump kuitembelea Israel.
Na pia kampongeza kwa kutembelea Waislam, na wao WAJUZI kisha Wakristo, kwani akitoka hapo anaenda kwa Pop Vatican.
1...
Rais wa venezuela Nicolas maduro amesema kuwa waandamanaji wanaounga mkono upinzani ndio walimwasha moto raia mmoja anayeunga mkono serikali huko Caracas, katika siku ya 50 ya maandamano.
Orlando...
Za asubuhi wanajamvi, ni matumaini yangu mmeamka salama na mnaendelea vizuri na majukumu yenu ya kila siku.
Leo nimeamka asubuhi katika kupitia pitia emails zangu nakutana na email yenye kichwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.