Tangu binadamu alipofanikiwa kuunda ndege na kupaa angani, wataalamu wamekuwa wakijitahidi kuunda ndege kubwa na kubwa zaidi.
Wakati wa Vita Vikuu vya Kwanza vya Dunia, majaribio ya kwanza ya...
Rais wa Brazil Michel Temer amesema kamwe hawezi kujiuzulu kutokana na kashfa ya malipo ya fedha nyingi kama yaliyochukuliwa kama rushwa.
Katika mahojiano mafupi kwa njia ya Televisheni, Temer...
Rais wa Brazil Michel Temer ameyasambaza majeshi katika mji mkuu wa nchi hiyo Brasilia, baada ya waandamanaji kuanza kulichoma moto jengo la serikali na kuharibu mengine.
Maafisa wanasema hatua...
Kufuatia mlolongo wa mashambulio yatokanayo na ubaguzi wa rangi dhidi ya Wanafunzi wa Kiafrika nchini India, Jumuiya ya Wanafunzi wa Afrika(AASI) imetishia kuandika malalamiko rasmi kwenda Umoja...
Aliyekuwa Rais wa Korea Kusini, Park Geun-hye amefikishwa mahakamani kwa mara ya kwanza kujibu mashtaka yanayomkabili, tangu alipokamatwa mwezi Machi mwaka huu.
Mwanasiasa huyo aliyeondolewa...
Tedros Adhanom Ghebreyesus ambaye ni raia wa Ethiopia, ameteuliwa kuwa mkurugenzi mkuu wa Shirika la afya duniani (WHO).
Uteuzi huo unamfanya Tedros kuwa muafrika wa kwanza kuongoza kitengo hicho...
Maafisa watatu wa polisi wameuawa na wengine watatu kujeruhiwa katika shambulio Jumatano alfajiri eneo la Liboi Kaskazini Mashariki mwa Kenya karibu na mpaka wa Somalia.
Duru za usalama...
Takribani watu 12 wamefariki na 30 kujeruhiwa baada ya basi kuanguka umbali wa mita 90 kwenye bonde katika eneo la milima karibu na mpaka wa Guatemalan kusini mwa Mexico.
Ajali hiyo ilitokea...
Binafsi siamini kabisa hili swala la ugaidi ni kweli ni ugaidi ambao Wazungu wenyewe hawahusiki nao!
Hawa Magaidi wajulikanao kama ISIS, Alshabaab, Boko haram au sijui Taliban siamini kama ni...
Rais Durtete ambae ni mzaliwa na kisiwa cha Mindanao, ametangaza kuidhinishwa sheria hiyo ambayo huenda ikadumu kwa mwaka mmoja katika kukabiliana vikali na ugaidi.
Ghasia zilizuka katika mji wa...
Wakati wa ziara ya Rais Donald Trump huko Saudh Arabia alifanya mkutano na viongozi zaidi ya 20 kutoka nchi za Kiarabu katika mkutano huo Rais Trump alizitaka nchi hizo kuanzisha shirika la...
Religion
The land on which the present state of Israel has been built, formerly Palestine, was once walked upon by Moses, Jesus and Muhammad.
Since Palestine was the site of many religious...
Vitu vyote vinavyofadhiliwa na marekani mfano dawa za ARVs, ushoga na mengine machafu na ikiwepo ukimwi wenyewe unasemekana ni kwa ajili kuua humanity je taifa kama hili kuharibu watu wanataka...
Ethiopia's Tedros Adhanom Ghebreyesus, a former minister of health, has been elected the next leader of the World Health Organization.
The Latest: Ethiopian candidate picked as next WHO chief
Polisi nchini Indonesia waliwakamata wanaume 141 ambao walikuwa wanahudhuria sherehe ya wapenzi wa jinsia moja katika mji mkuu wa Jakarta, siku ya Jumapili.
Polisi wanasema kila aliyehudhuria...
Police are responding to a "serious incident" in Manchester amid reports of an "explosion" following a pop concert.
Witnesses reported hearing a "huge bang" following an Ariana Grande gig at...
Huku siku ya Uchaguzi ikizidi kukaribia, idadi ya wawaniaji kutoka Kaunti za Migori na Homa Bay wanasafiri hadi Tanzania kusaka huduma za waganga imeongezeka lengo likiwa moja, kutwaa ushindi...
Jamani nimeshangazwa na jinsi mke wa rais wa Marekani, Donald Trump kuacha kuvaa ushungi akiwa nchi ya kiislamu na kitovu cha dini hiyo duniani.
Angeweza kuonesha utengamano na kuheshimu dini ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.