International Forum

News and Stories from rest of the World
The campaign of French presidential candidate Emmanuel Macron says it has been the target of a "massive hacking attack" after a trove of documents was released online. The campaign said that...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Emmanuel Macron (kushoto) wa chama cha En Marche kushoto na Marine Le Pen wa chama cha National Front Mzunguko wa kwanza wa uchaguzi wa raisi nchini Ufaransa umefanyika huku mgombea wa...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Safari ya siku 4 ni USD 9000!
4 Reactions
22 Replies
7K Views
Ofisi kuu ya Rais wa Nigeria imethibitisha kuwa wanafunzi 82 wa shule ya wasichana wa Chibok, waliotekwa nyara na wanamgambo wa kiislamu wa Boko Haram mnamo mwaka wa 2014, wameachiwa huru...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
A C919 passenger jet taking off at Pudong International Airport in Shanghai on Friday. The plane symbolized the industrial might of an emerging superpower — and its dream to dominate a new...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Vituo vya CNN, ABC, CBS na NBC wagoma kurusha tangazo la kuisifia serikali ya Rais Trump kwa matokeo chanya ya siku 100 ya awali madarakani Tangazo hilo lililotolewa tarehe 1 May 2017...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Rais Trump amesema kuwa ana matumaini makubwa kwamba sheria itakayochukua mahala pake huduma ya afya ya Obamacare itapitishwa katika bunge la seneti, baada ya kuidhinishwa na bunge la uwakilishi...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Ndege ya kwanza ya kivita yenye technologia kubwa kuliko zote duniani F-35 Stealth kutua ndani ya IAF wiki hii na nyingine 30 kutua hadi ifukapo 2018 RADA ZA MASHARIKI YA KATI ZITAFUTE KAZI NYINGINE
18 Reactions
390 Replies
34K Views
Jaji mweupe nchini Afrika Kusini amejiuzulu baada ya kutoa matamshi mwaka jana katika mitandao ya kijamii kuwa matukio ya ubakaji ni utamaduni wa watu weusi. Jaji huyo wa mahama kuu Mabel Jansen...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Mwanajeshi wa Marekani ameuawa wakati wa operesheni ya kukabiliana na wanamgambo wa al-Shabab, jeshi la Marekani limesema. Mwanajeshi huyo aliuawa Alhamisi umbali wa takriban kilomita 64...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Wakuu Sana. Leo nimesoma baadhi ya habari kutoma kwa vyombo vya kimataifa hasa uingereza na Habari nayoona imepewa uzito ni kikao cha gafla cha wafanyakazi wa Malkia wa Uingereza katika moja ya...
1 Reactions
34 Replies
5K Views
Nchini Rwanda wagombea wa kiti cha urais katika uchaguzi utakaofanyika mwezi wa 8 wanazidi kujitokeza. Diane Rwigara ametangaza rasmi nia yake ya kugombea urais. Huyu ni Binti wa mfanyabiashara...
5 Reactions
49 Replies
9K Views
Waziri wa Ujenzi wa Somalia ameuawa jioni hii kwenye lango la Ikulu na walinzi wa Rais wa Somalia kimakosa baada ya kudhania gari aliyekuwa amepanda Waziri huyo lilikuwa la magaidi wa Alshabaab...
1 Reactions
48 Replies
8K Views
August (2016) ( 9 Months ago) Japan’s biggest airline has started grounding its fleet of Boeing 787 Dreamliners after discovering a problem with the plane’s Rolls-Royce engines, in another...
0 Reactions
2 Replies
862 Views
Habari zinaeleza juhudi Za kumwondoa Kim madarakani zimeanza kuzaa matunda hii ni mara baada ya majaribio kadhaa ya silaha Za nyuklia za Korea ya kaskazini kushindwa na kudondoka bila mafanikio...
17 Reactions
71 Replies
9K Views
Did Britain create Israel? | Israel Advocacy Movement
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hillary mpaka Leo anasema kashindwa kwa Sababu Mara Russia ,FBI,media was tough on her hajilaumu mwenyewe.Inaelekea haja move on .Sasa wewe unahisi kitu gani kilichosababisha aanguke
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa Mara nyingine tena vyombo vya habari vya kiarabu vimesema milipuko mikubwa mitano ilitikisa jiji zima na miale mikubwa ya moto kuonekana kila kona ya mji mashuhuda wamasema waliona moto na...
4 Reactions
45 Replies
5K Views
Mume wa Malkia Elizabeth, Phillip ameamua kupumzika na kuacha majukumu yake ya kiufalme. Kwa mujibu wa jumba la kifalme ya Buckingham, uamuzi huo ulichukuliwa na Mfalme Phillip mwenyewe na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Waziri Mkuu, Hassan Khayre amemfuta kazi Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Nur Farah Jimale ili kupisha uchunguzi kufuatia mauaji ya Waziri Kijana zaidi Abass Siraj. Hatau hii imepata baraka...
0 Reactions
0 Replies
942 Views
Back
Top Bottom