wakuu
nimekuwa nikisia chokochoko na vitisho mbalimbali baina ya USA na North korea kwa muda sasa
kwa sasa hali imekuwa mbaya na tofauti kitu inayoleta hofu ya dunia nzima kuangukia vita ya tatu...
Ethiopia imepuuza pendekezo la Umoja wa mataifa na Muungano wa EU wa kutaka wachunguzi wa kimataifa kuingia nchini humo na kuchunguza vifo vya mamia ya watu wanaodaiwa kuuwawa kufuatia miezi...
#UpdatesKimataifa
Urusi tayari imesogea kwenye Mpaka wake na Korea kaskazini na kufunga silaha Nzito za kutungua Ndege Pamoja na kudaka Makombora Ya Marekani Dhidi ya Korea kaskazini.
Urusi...
Mwanamume mwenye umri wa miaka 67 alinusurika kifo kwa kushikilia mfuko wa unga wa mahindi baada ya mashua aliyokuwa ameiabiri kuzama katika ziwa Malawi.
Graciam Kondowe alikuwa miongoni mwa...
Mzozo wa N.Korea na Marekani unaonekana na kama ni kitu cha kawaida sana na kuna baadhi ya watu wanashabikia kama mpira wa miguu Man U na Chelsea lakini sivyo. Mzozo huu ambao sababu yake kubwa ni...
Wakuu heri ya pasaka kwenu
Hii habari ya majasusi wa USA, majasusi hawa wa America wenye Asili ya korea wamejipenyeza ndani ya korea kaskazi kuanzia December mwaka jana
Na kwa taarifa...
Siku 2 baada ya kupigwa kura ya maoni ya kuongeza mamlaka ya Rais Tayyip Erdogan na kushinda kwa 51.4%, upinzani umeendeea kupinga matokeo hayo.
=========
A defiant Turkish President Tayyip...
One dead, two injured after military chopper crashes in Maryland
By JEFFREY COOK LUIS MARTINEZ ERIN DOOLEY
A military helicopter crashed on a golf course, April 17, 2017, in Leonardtown, Md. more...
Ili tujue hatima ya Dunia yetu inayo onekana kusukwa sukwa na Supa pawa mbili us na N Korea. Ni vema Angetafutwa mnyama. Kakakuona ili tupate ufumbuzi juu ya hali hii duniani Maana yule mnyama...
wakuu habari
moja kwa moja niende kwenye hoja. mimi kwa mtazamo wangu nimeamua kusimama upande wa wasiofungamana na upande wowote baina ya korea na marekani
sababu zilizopelekea msimamo wangu ni...
Haya ni maneno ya waziri wa mambo ya nje wa Korea Kaskazini alipokuwa akihojiwa na BBC.
"We'll be conducting more missile tests on a weekly, monthly and yearly basis," Vice-Foreign Minister Han...
Serikali ya Zimbabwe imeruhusu wazazi kulipa ada kwa mifugo au kwa kufanya kazi ktk shule husika kama malipo.
Waziri wa Elimu ya Msingi na Sekondari, Dr. Lazarus Dokora amesema kwamba mamlaka za...
Marekani wanauwezo mkubwa wa kuishambulia Machame kuliko Saa ya ufufuo na Uzima inapoanza kwa utaratibu wa jinsi navyochukia ninavyoacha ile hamsini kwenye dirisha la malipo ya mwendokasi, Kwa...
Pamoja na Mikwara yote inayoendelea mipango ya Trump kufanya ambacho wenzake wameshindwa inakutana na Ukomo mapema sana.
ZIFUATAZO NDIO NJIA ZA AWALI KABLA YA VITA
1:Vikwazo vikali vipya vya...
Nani anaukumbuka hii
Tripple alliance : Germany, Austria -Hangury, Italy
Vs
Tripple entente : Great Britain, Russia, France
Now days mzungu Russia kasaliti wenzake
Now it's...
North Korea attempted to launch a missile on Sunday near Sinpo, on its east coast, but it is believed to have failed, South Korea's military said.
The attempted missile launch comes a day after...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.