Baada ya Wazee wa vita kuanza kufanya maandalizi ya Kuichapa Korea Kaskazini na baada ya wazee hao wa vita kufanya majalibio ya MOAB, Dalili zinaonyesha wazi kabisa nchi kumi zenye mabomu ys...
Umoja wa mataifa umeonesha kushtushwa na video iliyoonesha kikundi cha vijana cha Chama Tawala cha Burundi CNDD-FDD wakiimba kuwa "wanawake wa upinzani wapewe ujauzito au wauawe"
Video hiyo...
The anti-government protests that rocked Ethiopia for the better part of last year is said to have claimed over 660 lives.
This is according to a report by the country’s human rights outfit...
Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May ameitisha uchaguzi mkuu wa mapema nchini humo ambao utafanyika tarehe 8 Juni.
Ameliomba Bunge la Commons kuunga mkono pendekezo lake hilo hapo kesho, ambapo...
Mgogoro wa Marekani na Korea ya Kaskazini una madhara gani kwetu?.
Kwanza tunatakiwa tutambue kuwa huu mgogoro ni mbaya si kwa nchi hizi mbili tu, yaani Marekani na Korea ya Kaskazini. Ni kuomba...
Habarn wanajamvi
Uwezekano wa kutokea haka kavita ni mdogo mnooooooooo
Hii ni kutokana kwamba marekani hapendi kushambuliwa yeye anaonaga raha anavowatwanga watu bila yeye kuathirika
Sasa...
DR CONGO: Mkaburi 17 ya halaiki yamegundulika leo katika eneo la Kasai mkoa ambao uko katikati mwa nchi hiyo.
Makaburi mengine 23 yaligundulika mnamo mwezi Agosti mwaka jana na sasa idadi ya...
Korea Kaskazini inaaminika kumiliki silaha 1000 zenye uwezo tofauti
Uwezo wa Makombora ya Korea Kaskazini
Korea kaskazini inaaminika kumiliki zaidi ya silaha 1000 zenye uwezo tofauti ikiwemo...
LUXOR, Egypt (Reuters) - Egyptian archaeologists have unearthed the tomb of a nobleman from more than 3,000 years ago, the latest in a series of major discoveries of ancient relics that Egypt...
Rais wa Marekani Donald Trump kwa mara nyingine ametoa onyo dhidi ya Korea Kaskazini kupitia mtandao wa twitter, akisema kuwa Pyongyang inatafuta matatizo.
Pia aliitaka China ambayo ni mshirika...
Hivi waafrika tunajisahau? Leo hii tunasahau wovu wote wa marekani kama hatuuoni....
Where is Ghadaffi?
Amani Syria imeenda wapi?
kwanini kuna military bases za U.S.A Africa nzima???
vyote...
BAADA YA VITA YA PILI YA DUNIA MIAKA KUANZIA 1955 HADI 1975 ILIZUKA VITA KATI YA MAREKANI NA TAIFA LA VIETNAM ILIYOJULIKANA KAMA VIETNAM WAR AMBAYO ILIPELEKEA MAREKANI KUPOTEZA WANAJESHI...
Mtu mzima na akili zako unaombea na unadhani north korea anauwezo wa kumpiga us?
Alafu vijana wa jf sasa tunavyopenda ngono sasa mchana tunamshabikia North korea alafu usiku tukiugua gonjwa lile...
N. Korea inakataa vikwazo visivyoisha inavyowekewa na mabeberu kutokana na kukataa masharti yasiyozingatia usawa na haki kwa mataifa yote.
N. Korea haina tofauti na Libya, Syria, Iraq, Iran...
OUAGADOUGOU, Burkina Faso — Burkina Faso police have staged a nationwide protest, calling it the first in a series of peaceful demonstrations against corruption and a lack of transparency among...
Governor David Umahi wa jimbo la Ebonyi Kabika marufuku Vinywaji hivyo kwenye sherehe zote za kiserikali jimboni kwake kwa sababu ni hatari kiafya.
Vilevile Consumer protection Council (Baraza la...
Umoja wa Mataifa kupitia nchi kadhaa umeomba mzozo wa Nchi za Marekani na Korea Kaskazini utatuliwe kwa mazungumzo sio kijeshi,Waziri Mkuu wa Japan bwana Shinzo Abe amesema suluhisho la...
Up to 2.5 million votes could have been manipulated in Sunday's Turkish referendum that ended in a close "yes" vote for greater presidential powers, an Austrian member of the Council of Europe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.