International Forum

News and Stories from rest of the World
Mwaka 2015 mwanaharakati na mpinzani wa utawala wa Putin kwa jina la Vladimir Kara-Murza (35yrs) alipata matatizo ya viungo vyake kufeli na kwa bahati nzuri aliweza kupona na kuishi baada ya kuwa...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Picha za satellite zimeonyesha siku ya jana Iran wamefanya jaribio la kurusha makombora kwa mujibu wa maofisa wa US Siku ya jana jumatano Iran walirusha kombora la masafa mafupi ambayo imekwenda...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Mahakama ya Rufaa nchini Marekani imekataa kuirudisha tena marufuku iliyowekwa na Rais Donald Trump ya wasafiri kutoka nchi saba za kiislamu na Wakimbizi wote kuingia nchini humo. Jopo la Majaji...
1 Reactions
0 Replies
915 Views
Baada ya muendelezo wa kauli na Matendo yanayoashiria kumpinga bwana Trump. Kikosi cha ulinzi cha viongozi marekani ama secret service kimeamua kumuwekea ulinzi ambao utamlinda rais na kuvunjika...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Kushindwa kwa rais Buhari wa Nigeria kubaini muda anaotaka kuongezewa ili kuendelea na likizo yake ya matibabu mjini London inawatia wasiwasi raia wa taifa hilo. Kumekuwa na uvumi kuhusu afya ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Viongozi wa chama cha Democratic nchini Marekani wamemshutumu Rais wa Marekani Donald Trump kuandika kwenye Twitter akishutumu maduka ya jumla ya Nordstrom kwa kuacha kuuza nguo za kampuni...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wiki tatu zilizopita alikuwa raisi wa USA huyu, Obama sasa hivi amekimbilia Visiwa vya Karibiani huko, yuko na Bilionea Richard Branson ambaye ndiye mmiliki wa hicho Kisiwa Obama alichokimbialia...
1 Reactions
67 Replies
8K Views
Mjadala mkali unaendelea sasa hivi nchini Afrika ya Kusini; Bunge la South Africa linapiga kura ya kutokuwa na imani na rais Jocob Zuma. Waweza fuatilia kupitia SABC NEWS; SUPER SPORT CHANEL 404.
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Machete attacker shouting 'Allahu akbar' shot by soldier near Le Louvre Police launch terror probe after machete attack on soldiers at Louvre Machete-wielding 'terrorist' shot near Louvre...
3 Reactions
166 Replies
15K Views
Trump awambia Iran wanacheza na moto, na yeye hatakuwa mwema sana kama alivyokuwa Obama. Iran kupitia waziri wa ulinzi Javaz Zarif yajibu, Pasipo kuendeshwa na Vitisho vya Mmarekani haiwezi...
3 Reactions
147 Replies
15K Views
President Trump's Executive Order on travel ban has been blocked by a Federal Judge as unconstitutional and unlawful. Judge Robart’s decision, effective immediately, effective now, puts a halt to...
1 Reactions
105 Replies
8K Views
Rais Mugabe mara tu baada ya kurudi kutoka Addis Ababa, ametoa KEMEO kubwa kwa viongozi wa nchi za Kiafrika waliokubali Morroco kukubaliwa kujiunga na Umoja wa nchi za Kiafrika. Akizungumza na...
10 Reactions
112 Replies
12K Views
Mhubiri mmoja nchini Afrika Kusini amekuwa akiwapa waumia sumu ya kuua panya kama moja ya njia ya kujaribu imani yao. Light Monyeki, ambaye anaongoza kanisa la Grace Living Hope Ministries mjini...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Jeff session atapitishwa Leo kuwa jaji Mkuu wa USA .Kwa kweli democratic wangekuwa na discipline Na kuacha uwendawazimu wangeweza kumstopisha.Jeff session is a racist na anti immigrant and pro...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Mara baada ya rais wa USA Donald Trump siku ya ijumaa kuwawekea vikwazo 13 kwa makampuni ya Iran kwa tukio la Iran kufanya jaribio la kurusha ballistic missile. siku ya jumamosi Iran walimjibu...
1 Reactions
106 Replies
12K Views
cocaine ina hela nyingi sana na DRC ina kila hali ya kufaa kusitawisha Coca. Ni nchi ya kitropical yenye mvua nyingi, ina misitu mikubwa, imejaa rushwa na haina ulinzi wa kutosha/kueleweka...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kama kinachodhaniwa kama anguko la thamani ya dola ya Marekani, nchi mbili kubwa ambazo ni Urusi na Uchina zimeingia kwa mkataba au makubaliano na kuitenga sarafu ya Marekani...
1 Reactions
59 Replies
8K Views
I don't know Putin, have no deals in Russia, and the haters are going crazy - yet Obama can make a deal with Iran, #1 in terror, no problem!
1 Reactions
21 Replies
3K Views
URUSI: Mahakama yamkuta na hatia ya Rushwa Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Alexei Navalny. Hatoruhusiwa kugombea Urais wa Taifa hilo. - Hii mara ya pili kwa kiongozi huyo kushtakiwa baada ya...
0 Reactions
1 Replies
882 Views
kiongozi wa juu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei ameyapuuzia tahadhari alizotoa Trump kwa Iran ya kuacha kujaribisha makombora,Khamenei amesema rais wa US amedhihirisha wazi uso kamili wa marekani...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom