Jumamosi iliyopita, maelfu ya watu waliandamana kule Tel Aviv Israel wakitaka serikali ihalalishe bangi.
waziri wa ulinzi wa jamii ndugu Gilad Erdan alhamisi alisema kwamba yeye binafsi anaunga...
Idara ya forodha ya Marekani imeyaambia mashirika ya ndege kwamba waruhusu abiria kupanda ndege kuelekea Marekani abiria ambao walinyimwa ruhusa baada ya Rais Trump kutoa amri kwamba watu kutoka...
Milipuko imesikika katika mji Mkuu wa Mogadishu nchini Somalia usiku wa kuamkia leo wabunge wanapotarajiwa kukutana kumchagua rais mpya.
Kumekuwa na taarifa kuwa mizinga imelipuliwa karibu na...
Al-Shabab fighters stormed a hotel in the capital of the semi-autonomous Puntland region killing four guards, while two of the attackers also died, a senior Somali official said.
The attack...
Wana Jamvi vita dhidi ya UFISADI hata madawa ya kulevya haviko Tanzania peke yake.
Rais Kagame wa Rwanda amewafukuza kazi maafisa wake 200 wa ngazi mbalimbali toka katika jeshi la Polisi.
Hatua...
Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyau ameyakaribisha kwa mikono 2 vikwazo alizowekewa Iran na Rais wa US Donald Trump huku akizitaka nchi zingine ziige mfano wa US kwa kuwawekea vikwazo Iran...
Donald Trump has been barred from making a speech in Westminster Hall on his state visit by Commons Speaker John Bercow.
In an extraordinary broadside from the Speaker's chair, he said Mr Trump's...
Zifuatazo ni nchi 16 ambazo zimepiga marufuku Raia wa Israel kuingia kwenye nchi hizo tangu miaka ya 1990 .
Algeria
Bangladesh
Brunei
Iran
Iraq
Kuwait
Lebanon
Libya
Malaysia
Oman
Pakistan.
Saudi...
Malkia Elizabeti ambaye ni Mkuu wa nchi na pia Amiri Jeshi Mkuu wa nchi ya Uingereza na makoloni yake leo hii ametimiza miaka 65 ya Utawala, hii ni record hakuna aliyeifikia mpaka leo hii, wakati...
Takriban watu 20 wamefariki baada ya mlipuko uliotokea nje ya Mahakama kuu mjini Kabul. Zaidi ya watu 35 wamejaruhiwa na wamekimbizwa hospitali kwa matibabu.
Hii ni moja ya matukio ya hivi...
Rais wa Ufilipino Rodrigo Duterte ametangaza hali ya hatari kwa tishio la madawa ya kulevya katika nchi yake na hivyo amelitaka jeshi lake kuingia kupambana katika kampeni yake ya kutokomeza...
Kanisa katoliki nchini Ufilipino, limetaja kampeni ya kukabiliana na walanguzi wa dawa za kulevya, inayoongozwa na Rais wa nchi hiyo, Rodrigo Duterte, kama ugaidi dhidi ya watu maskini
Kanisa...
Maaskofu wahojiwa kuhusu unyanyasaji wa kingono Australia
Saa 8 zilizopita
Mshirikishe mwenzako
Image caption Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani papa Francis
Maafisa wa kanisa lenye ushawishi...
Rais wa Sudan kusini Salva Kiir amesema wanajeshi ambao wanao baka raia wanapaswa kuuawa.
Ameyasema hayo wakati alipotembelea mji wa Yei uliopo kusini magharibi mwa nchi hiyo, ikiwa kama sehemu...
A record 1.4 tonnes of cocaine estimated to be worth the equivalent of £192m has been seized by Australian police following a raid on a yacht.
The haul was discovered after officials stopped and...
Je wafahamu hii? Jimbo la California peke la Marekani lina uchumi mkubwa kuliko Russia?
Jimbo la California lina GDP ya 2.45trillion US $ ikiizidi karibia mara mbili Russia yenye GDP ya...
Log In
Home » Editor's Choice » Kuwait Issues Its Own Trump-esque Visa Ban For Five Muslim-majority Countries
Kuwait issues its own Trump-esque visa ban for five Muslim-majority countries...
Maaskofu wa Kanisa lenye ushawishi zaidi la Katoliki nchini Australia wataanza kufika mbele ya tume maalum inayochunguza unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya watoto uliofanywa katika kanisa hilo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.