International Forum

News and Stories from rest of the World
Mwanamke mmoja wa miaka 23 kutoka nchini Afghanistan ameielezea BBC kwamba mumewe alimfunga kamba na kumkata masikio yote mawili katika mzozo wa kinyumbani katika mkoa wa kaskazini wa Balkh...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Such is the world we live in. Saudi Arabia has been banning muslim immigrants all along yet no one ever dared castigate them. Leo iweje Trump kawagusa dunia nzima imelipuka? I say.....go on...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
umoja wa ulaya wanakutana huko malta kujadili suruhu ya wimbi la wahamiaji kuingia kwenye nchi zao, na ikumbukwe kwa muda mrefu tu wamekuwa wakisemezana kuhusu suala hilo lakin bado hawajapata...
2 Reactions
7 Replies
975 Views
Trump ameanza na maadui wengi ila atamaliza na wafwasi wengi
0 Reactions
0 Replies
698 Views
Mwakilishi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) hapa Tehran amesema kuwa njia pekee ya kukabiliana na utawala wa Kizayuni ni kuendeleza muqawama na kwamba ishara ya wazi zaidi...
0 Reactions
1 Replies
840 Views
UINGEREZA- Msichana mwenye umri wa miaka 16 ameishtaki shule yake kwa kumkataza kuvaa sare za wavulana Msichana huyo ambaye yuko katika harakati za kugeuza maumbile yake ili awe Mwanamume...
0 Reactions
0 Replies
717 Views
Siyo bure, huyu Donald Trump kuna jambo kubwa sana liko nyuma ya pazia ambalo hatulifahamu, sasa Jimbo kubwa na tajiri kabisa klk yote USA limeanza mchakato ya kujitenga na USA, sasa hivi...
4 Reactions
78 Replies
7K Views
Aliyekuwa mfungwa wa kisiasa nchini Gambia Ndg.Amadou Sanneh, mwenye umri wa miaka 72 ameteuliwa kuwa Waziri wa fedha, ikiwa ni siku 3 tu baada ya kuachiliwa huru na Rais Adama Barrow. Amadou...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Qaddafi was not killed for humanitarian purposes but for the oil and money. His ideas of an African currency were his major undoing. The recent Hillary Clinton email leaks have opened a can worms...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Rais Duterte amuonya Rais Obama kutohoji kuhusu mauaji yanayotekelezwa na Serikali dhidi ya vigogo wa Madawa ya Kulevya Amesema kuwa Rais Obama lazima awe na heshima na sio kumuuliza maswali bila...
2 Reactions
23 Replies
4K Views
Waziri wa ulinzi nchini Marekani James Mattis amesema kuwa Korea Kaskazini itakabiliwa vikali iwapo itafanya utumizi wowote wa silaha za kinyuklia . Bw Mattis yuko nchini Korea Kusini ambapo...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Iran has put on display its latest achievements in the area of space technology during a ceremony attended by President Hassan Rouhani and other senior officials. The Exhibition of Space...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mfanyikazi wa zamani wa kampuni ya Royal Mint nchini Canada amepewa hukumu ya miezi 30 jela kwa kuiba sarafu za dhahabu na kuzificha katika makalio yake. Leston Lawrence alidaiwa kuiba dola...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwangu mimi naona mafunzo makuu mawili. 1. Ni Fundisho tunalopewa na aliyekuwa akikaimu uanasheria mkuu kuwa kama mtumishi unayetumia taaluma hutakiwi kufuata kila agizo linalotoka juu yako hata...
6 Reactions
32 Replies
3K Views
kui
2 Reactions
6 Replies
882 Views
Katika kuonyesha kuwa hana utani katika suala la wakimbizi, Trump leo ammemwagia upupu Waziri Mkuu wa Australia ambaye alipendekeza kutekeleza mkataba wa kuwapeleka wakimbizi waliopo Australia...
1 Reactions
29 Replies
4K Views
Lebanon imefanikiwa kuangamiza mtandao wa kigaidi wa shirika la kijasusi la Mossad la utawala wa Kizayuni wa Israel. Idara Kuu ya Usalama wa Umma Lebanon Alhamisi ilitangaza kuwa imefanikiwa...
2 Reactions
35 Replies
4K Views
Rais wa Marekani Donald Trump ametishia kutuma vikosi vya jeshi la nchi hiyo nchini Mexico. Shirika la habari la Associated Press, limevujisha sehemu ya mazungumzo ya simu kati ya Trump na Rais wa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kuwait issues its own Trump-esque visa ban for five Muslim-majority countries Kuwait first placed a blanket ban on new visas for Syrians in 2011, but those already in the country were allowed to...
0 Reactions
2 Replies
633 Views
Habari zilizotufikia hivi punde na kuthibitishwa na vyanzo vya FikraPevu.com, zinasema kwamba Kiongozi wa Upinzani nchini DRC amefariki dunia. Timu yetu inaendelea na ufuatiliaji wa taarifa za...
3 Reactions
47 Replies
7K Views
Back
Top Bottom