Nakala zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii, zinaonyesha kuwa Makamu wa Rais nchini Kenya William Ruto, anashtakiwa kwa kushindwa kuchangia malezi ya mtoto
Nakala hizo zinasema kuwa Bwana...
The Gambia's new President Adama Barrow has removed "Islamic" from the official name of his country pledging more reforms in the tiny West African nation. In his first press conference since...
Cotonou, Benin. Waumini watano wanaotambulika chini ya mwamvuli wa imani ya Voodoo nchini Benin wamefariki dunia baada ya kuamuliwa kukaa kwenye chumba maalumu na kufanya maombi wakisubiri mwisho...
Uamuzi wa Donald Trump kupiga marufuku wahamiaji wa kiislamu kutoka kwenye nchi zenye raia wengi wa dini hiyo, umesababisha hasira kuu duniani kote na wahamiaji wakikataliwa kupanda ndege kuingia...
A Romanian cabinet minister resigned on Thursday over a government decree that could effectively amnesty dozens of officials accused of corruption, a move that has triggered countrywide protests...
Wafanyakazi watano wa Umoja wa Mataifa wameuawa katika mazingira ya kutatanisha na watu wasiojulikana katika mpaka wa Cameroon na Nigeria.
========
An armed group attacked a U.N. technical team...
Facebook is quickly closing in on the two billion user mark.
The social network had 1.86 billion monthly active users as of the end of 2016, up from 1.79 billion the previous quarter and 1.59...
Nadhani Trump na timu yake wananikumbusha viherehere vya baadhi ya mashabiki waliokua wanaimba huu wimbo
Jamaa ni mbabe kuliko Mwimbishaji wa CCM. Sasa waliokuwa wanamshangilia nadhani wanalia...
Rais wa Baraza la muungano wa Ulaya Donald Tusk ameonya kwamba maamuzi ya kutia wasiwasi yanayofanywa na Donad Trump ni miongoni mwa changamoto zinazokumba muungano huo.
Amesema kuwa mabadiliko...
Hii ni kwa mujibu wa mtandao wa kiisrael wa Haaretz
Tel Aviv Declared World's Best Gay Travel Destination
In a world-wide survey hosted GayCities.com and American Airlines, 43 percent of voters...
AFRIKA KUSINI: Wagonjwa wa akili 94 walifariki kwa uzembe wa mamlaka mwaka 2016. Walihamishiwa katika vituo visivyokuwa na leseni.
Kwa mujibu wa taarifa iliyosomwa jijini Johannesburg inaeleza...
Rais Donald Trump amemteua Neil Gorsuch kujaza nafasi katika mahakama kuu kwa mwaka mmoja. Bw Gorsuch mwenye umri wa miaka 49 ni jaji katika mahakama ya rufaa mjini Denver.
Jaji huyo hatarajiwi...
DONALD TRUMP EXECUTIVE ORDER ON IMMIGRATION.
Na Abel Elibariki.
Siku chache baada ya kuapishwa kwa Rais wa USA Ndugu Donald Trump, katika hatua zake za kutekeleza ahadi yake ndani ya siku 100...
Watu wanne wameuawa kwenye ufyatulianaji wa risasi katika msikiti mmoja mjini Quebec, Canada
Ufyatulianaji wa risasi ulitokea katika kituo cha Kitamaduni cha Kiislaam cha Quebec Jumapili usiku...
Wasalaaam,
Ndege ya Urusi ambayo iliyokuwa inaelekea nchini Syria imepotea kwenye rada mara tu baada ya kupaa juu. Ndege hiyo aina ya T-154 inamilikiwa na Wizara ya ulinzi na Urusi na ilikuwa na...
You heard it here first...President Trump will name 10th Circuit Court of Appeals Judge Neil Gorsuch to be the associate Justice of the US Supreme Court to fill the vacancy left by the death of...
Shule moja katika jimbo la California nchini Marekani imeamrishwa kumlipa dola 1.25 mwanafunzi wa zamani ambaye alienda haja ndogo kwenye ndoo baada ya kunyimwa nafasi ya kuenda chooni.
Jaji...
(CNN)The Austrian government has announced plans to ban the full-face Islamic veil in public, part of a raft of measures to contain the rise of the far-right Freedom Party.
The plan -- which...
Takribani Ng'ombe 150 wamepangwa kuchinjwa katika sherehe ya siku ya kuzaliwa kwa Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe ambaye atatimiza miaka 93.
Fedha za mchango kwaajili ya kufanikisha uchinjwaji wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.