International Forum

News and Stories from rest of the World
Mara nyingi marais wastaafu wa Marekani huwa HAWAJIHUSISHI hata kidogo na masuala ya kisiasa punde wakiachia uongozi.Labda kusaidia kampeni wakati wa uchaguzi tu. Habari za hivi punde...
4 Reactions
33 Replies
3K Views
Dana Boente amechaguliwa kuwa acting AG Rais wa Marekani Donald Trump amemfuta kazi kaimu mwanasheria mkuu Sally Yates saa chache tu baada ya kuwaagiza mawakili wa idara ya haki nchini humo...
1 Reactions
59 Replies
7K Views
JOHANNESBURG, AFRIKA KUSINI: Mwendesha mashtaka, Gerrie Nel ambaye alimuhuku mwanariadha mwenye ulemavu Oscar Pistorius ameamua kujiuzulu nafasi hiyo ikiwa ni miaka 5 kabla ya muda wake wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakati Bill Clinton, Bush mkubwa/mdogo na Obama wanabomoa Iraki, Somalia, Yemeni, Sudani, Libya, Syria n.k. hawa wanaondamana leo hii walikuwa wapi? Kwa nini hawakuitumia hii nguvu wanaoitumia leo...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Vikosi vya nchi za Afrika Magharibi vimemkamata kamanda mmoja wa cheo cha juu nchini Gambia, na kupata silaha kweye makao ya kibinafsi ya rais wa zamani aliye uhamishoni Yahya Jammeh. Jenerali...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Rais wa Marekani Donald Trump ameapa kuendelea na mipango yake ya kujenga ukuta wa urefu wa kilomita 3000 kwenye mpaka kati ya Marekani na Mexico. Ukuta huo utakuwa na urefu wa kati ya mita 9 na...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Rais wa Ufilipino Rodrigo Duterte amesema Marekani inahatarisha usalama wa eneo kwa kuendelea kurundika silaha zake katika nchi hiyo. Rais Duterte ameituhumu Washington kuwa inatengeneza vituo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Rais wa Guinea, Alpha Conde amechaguliwa leo kuwa Mwenyekiti mpya wa Umoja wa Afrika (AU), uchaguzi uliofanyika katika vikao vya viongozi wa nchi wanachama vinavyoendelea katika Makao Makuu ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kamanda wa Jeshi la Nchi Kavu la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, serikali ya Marekani ilitaka kuivamia nchi hii mwaka 1991 na 2001, lakini ikashindwa kutokana na kuwa macho na uwezo wa...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
January 2017 C H I N A - One Belt One Road Vision- Ethiopia- Tanzania- Zambia In 1975, China built the $500 million Tanzam Railway from Dar es Salaam in Tanzania to Kapiri Mposhi in Zambia, the...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Raisi wa USA aliyepita Obama amemshambulia Raisi wa 45 wa USA D.Trump kuhusu katazo la kuingia nchini USA kwa raia wa nchi 7 kwa muda wa siku 90 mpaka hapo USA watakapotengeneza mazingira mazuri...
1 Reactions
0 Replies
721 Views
MAREKANI: Waziri wa Ulinzi, ataka gharama za matumizi ya ndege mbili za rais ambazo ni Air Force One and F-35 Joint Strike Fighter yaangaliwe upya. Hatua hii ni baada ya rais pya wa Marekani...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Naona kila nikiisoma habari hii sipati kuelewa inasema Marekani wanailipa pesa Iran mabilioni ya dollar ili tu kuwaachia wafungwa wa kimarekani walioshikiliwa huko Ni kama Marekani wamekubali...
0 Reactions
43 Replies
5K Views
Jaji wa mahakama jijini Newyork ametupilia mbali pingamizi la Rais Donald Trump la kuzuia wananchi wenye visa ama wakimbizi walioruhusiwa kuingia Marekani kabla hajatia sahihi sheria mpya ya...
2 Reactions
105 Replies
10K Views
Salaam ziwafikie. Eti ni swali tu. Is it by accident au by design? Kila ukanda wa Afrika una mgombea wake wa uenyekiti isipokuwa Afrika Kaskazini. Kuna sheria yoyote inayozizuia nchi za North...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Watu 47 wakiwemo watoto 10 na maharusi waliotoka kufunga ndoa wamefariki dunia na wenginie 22 kujeruhiwa baada ya lori kuacha njia na kutumbukia mtoni huko Madagascar. Lori hilo lilikuwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mtu uje kuniambia Trump ni ana nia nzuri, nitaomba ukapimwe akili kwanza. Nia ya Trump ni kurudisha nguvu ya Marekani iliyokuwa hapo awali na si kuongeza maendeleo, hivyo waafrika acheni...
4 Reactions
47 Replies
5K Views
Iran imejibu mashambulizi baada ya wairan wawili kuzuiliwa kuingia Marekani kufatia sheria mpya ya Trump. Iran imweka Ban pia kwa Raia wa Marekani hakuna Kuingia Marekani. Nimeanza kuamini maneno...
12 Reactions
140 Replies
13K Views
Mhubiri wa zamani wa Kiislamu nchini Nigeria, ambaye alioa takribani wake 86 amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 93. Mohammed Belo Abubakar, maarufu kama Baba Masaba, amefikwa na mauti akiwa...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Yahoo news and Fox News Ina report watu wengi wa iran na Iraq na nchi za waslam wengi wamekwama transit na ticket zimefutwa .ATF wameomba Airline yoyote kutokubali mtu yoyote kupanda ndege ambayo...
3 Reactions
22 Replies
3K Views
Back
Top Bottom