Carlos Slim on Trump's border wall plans: 'The best wall is investment'
Mexican billionaire praises US president as ‘great negotiator’ but calls for development and employment rather than barrier...
Waliofanyakazi na Obama wote wajiuzulu serikalini
Gazeti la Washington Post limeandika kuwa, kujiuzulu kwa wakurugenzi na maofisa wote wa ngazi za juu ni sehemu ya mwenendo wa kuachia ngazi...
Samwel Doe wa Liberia Aliingia Madarakani kwa Mbwewe za Kuwapiga Risasi hadharani Watendaji wa Serikali kwa madai ya rushwa Hila, Uonevu na ufisadi. Alishangiliwa sana, Nafikiri ni sawa kupigana...
Rais wa Marekani Donald Trump aunga mkono mfumo wa kuwatesa magadi, asema lazima watumie moto kupigana na moto, hamna cha huruma au haki za kibinadamu wala nini. Finya, kandamiza, fyonza, piga ua...
Miezi michache iliyopita Mbowe, Tundu Lisu na chadema kwa ujumla walifunga safari kwenda Ulaya kuishitaki nchi yetu kwa Mzungu, kwa walichokiita ukandamizaji wa demokrasia kwa jinsi waonavyo wao...
Rais mpya wa Marekani Donald Trump amepiga marufuku wakimbizi wote wa Syria kuingia Marekani hadi wakati anasema serikali yake itakuwa imeweka mkakati mkali zaidi wa kuwakagua wakimbizi...
Mhubiri mmoja nchini Afrika Kusini amewashabgaza wengi baada ya kuwataka watu waliohudhuria mkutano wavue nguo kisha wajichue mpaka wafikie mshindo ili wapokee baraka.
Waamini hao walisikika...
Sasa ni rasmi kwenye ubabe Wa computer mbabe zaidi ni Russia....
Baada ya kuingilia uchaguzi Wa Marekani na kumsaidia Trump kuwa rais Wa 45 ....
Watu wa kazi wameshajipanga kuingilia uchaguzi Wa...
Ant Financial ambayo ni kampuni inayomiliki mtandao wa biashara wa Alibab, inainunua kampuni ya kimarekani ya MoneyGram kwa kima cha dola milioni 880.
MoneyGram ina karibu vituo 350,000 kwa...
In 1972, President Richard Nixon’s White House dispatched burglars to bug Democratic Party offices. That Watergate burglary and related “dirty tricks,” such as releasing mice at a Democratic press...
Rais mpya wa Gambia, Adama Barrow amemteua Bi. Fatoumatta Tambajang kuwa Makamu wake wa Rais, taarifa hii ni kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini humo.
Mwanamama huyo amekuwa mwanaharakati wa...
Ikulu ya Marekani imesema Rais wa nchi hiyo Donald Trump anaweza kutoza asilimia 20 ya kodi kwa bidhaa zinazoingizwa nchini humo kutoka Mexico kuweza kusaidia mpango wa kujenga ukuta kati ya nchi...
Check out @realDonaldTrump's Tweet:
Ule mkutano uliokuwa ufanyike kati ya marekani na Mexico Sasa ni rasmi umeyeyuka.. ..
Manasema magufuli hana diplomasia ona Sasa mwanaume Wa Kazi ambavyo...
January 27, 2017
Dar-es-Salaam, Tanzania
Zimbabwe's Minister of local Gov't Hon. Saviour Kasukuwere visited Dar-es-Salaam, Tanzania and was briefed on the new DART (Dar -es-Salaam Rapid...
Zaidi ya dola milioni 11 zinaripotiwa kutoweka kutoka kwa hazina ya taifa nchini Gambia, kufuatia kuondoka kwa kiongozi wa muda mrefu Yahya Jammeh.
Jammeh alikwamia madaraka kwa karibu miezi...
Watu 6,000 wameyakimbia makazi yao na mmoja amefariki dunia baada ya moto mkubwa kuteketeza sehemu ya Mji wa Santa Olga nchini Chile.
Mataifa yameanza kutuma wazima moto nchini Chile kusaidia...
Hii natabiri kutokea, Waafrika wavamizi haramu ambao wako nchini Gambia mpka leo, siku wakitoa tu mguu Kibaraka Barrow anapigwa chini, hilo halina ubishi pamoja na propaganada nyingi zinazoendelea...
Zimbabwe women match against Trump, still you can't even march against Mugabe.
Sit down with your misplaced priorities.
=======
Zimbabwe women in the upmarket Borrowdale suburb of Harare were seen...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.