VLADMIR V. PUTIN
Achana na huyu mtu asee, ukiachana na ukweli kwamba ni msomi ila pia afisa usalama wa zamani hiki kichwa kina hesabu kubwa sana..
Baada ya Obama na wenzake kumtuhumu kuingilia...
Muungano wa Afrika AU umesema kuwa utaacha kumtambua Yahya Jammeh kama rais wa Gabon kuanzia tarehe 19 Januari wakati muda wake utakapokamilika.
Baraza la amani na usalama la muungano huo pia...
Kaondoka baada ya makubaliano kati ya Au na Yahya Jammeh kukwama ..
Bado haijajulikana ataenda nchi gani.
Wakati huo bunge la Nigeria wamepitisha sheria ya kuweza kumuifadhi yahya endapo...
Biden confirms Obama, VP were briefed on unsubstantiated claims against Trump
By Evan Perez, CNN Justice Correspondent
Updated 11:33 PM ET, Thu January 12, 2017
Chat with us in Facebook...
Serikali ya Ivory Coast imefikia makubaliano na wanajeshi wa nchi hiyo kumaliza mgomo uliodumu siku mbili kushinikiza malipo ya ziada na mazingira bora ya kuishi kwa wanajeshi.
Rais wa nchi hiyo...
Afrika hv tumelogwa na nani? Wanachokifanya viongozi wa ECOWAS no kichekesho kule Gambia, tunafahamika tuna drama za ajabu pamoja na kuwa taasisi (kuanzia AU, EAC,SADC na sasa ECOWAS lukuki bado...
1) Obamacare insured millions through new insurance markets.
The health law reduced the number of uninsured Americans by an estimated 20 million people from 2010 to 2016. One of the primary ways...
Wadau nini kinachoendelea kati ya shirika la utangazaji CNN na Rais mteule wa Marekani Donald Trump, imefikia hatua Donald Trump katika mazungumzo yake na waandishi wa habari alikataa mwandishi wa...
Mwanaume mmoja ambaye ametajwa kuwa ni raia wa Ufaransa kwenye taifa la Switzerlandamehukumiwa kwenda jela miezi 12 baada ya mpenzi wake kumshtaki kutokana na kuivua kinga ‘Condom’ wakiwa...
Gazeti la New York times na Aljazeera news wanaripoti kuwa Serekari ya Marekani imetoa kibali kwa Boing na Airbus kuwauzia ndege Iran. na Tayari serekari ya Iran imesaini mkataba na makampuni hayo...
Obama aliwaaga Wamarekani na dunia kwa ujumla kwa hotuba iliyojaa majonzi.Pengine mimi nabaki kujiuliza kwa nini Obama katumia mda wake mwingi ofisini kutekeleza yasiyo na manufaa kwa Wamarekani...
A Look Inside Trump's New Presidential Limo, AKA 'The Beast' — It Definitely Lives Up to Its Nickname
President-elect Donald Trump will be getting a brand new 2017 Cadillac presidential limo...
Ukiangalia D.Trump, sera zake zote haziingiliani na maisha yetu kama zilivyo sera za uliberari wengine kama Obama,Clinton &Co. hivyo nashindwa kuelewa kwa nini Waafrika walio wengi tena wale...
Mr Pompeo (L) and General Mattis (R) talk tough on Russia during their Senate confirmation hearings.
President-elect Donald Trump's nominees for defence secretary and spy chief have been taking...
Zaidi ya viongozi 40 wanatarajiwa kukutana leo kwa ajili ya mkutano wa 27 wa Africa na Ufaransa utakaojadili mambo ya Usalama na Jamii.
Rais wa Ufaransa Francois Hollande ataongoza viongozi hao...
On the third day of confirmation hearings on Capitol Hill, there was one emerging theme: Many of the nominees of President-elect Donald J. Trump have disagreements with him on policy.
There were...
Mwanamke mwenye umri wa miaka 30 amechinjwa kwa kukatwa kichwa baada ya kutuhumiwa kwamba alikwenda kununua vyakula madukani bila kuandamana na mumewe kule Afghanistan. Ni marufuku kwa mwanamke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.