International Forum

News and Stories from rest of the World
We regard the recent unfriendly steps taken by the outgoing US administration as provocative and aimed at further weakening the Russia-US relationship. This runs contrary to the fundamental...
4 Reactions
16 Replies
2K Views
Hiyo ndo tafsiri yake, ni kama vile Mkataba wako wa upangaji umeisha halafu unakunya chumbani ili kumkomoa anayekuja, Obama anawasha moto wakati amebakiza wiki 3 aondoke, kama siyo kukomoa ni nini?
2 Reactions
16 Replies
2K Views
IFAHAMU SUDAN جمهورية السودان Jumhuriyat as-Sudan Republic of the Sudan Bendera Nembo Kaulimbiu ya taifa: Al-Nasr Lana (Kiarabu: Ushindi ni Wetu) Wimbo wa taifa: نحن جند للہ جند الوطن Nahnu...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimeshangaa wakuu Obama anapita kila kona ya Marekani kuwaaminisha wamerekani na kutaka kufuatilia ile issue ya udukuzi wa uchaguzi, ikumbukwe wote yeye na yule mama walimpongeza Trump kwa ushindi...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Siku zote nilikuwa na wasi wasi sana na intelligence ya Raisi wa USA Obama na sasa kila kitu kiko wazi anazidi kujidhalilisha na Dunia inazidi kumuona wa ajabu ajabu kuanzia kutoa statement kama...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Marekani ipo katika mkakati wa kuizuia Russia kuuza sulaha za kisasa aina ya su-30sm.Silaha hizo ambazo Russia imepanga kuiuzia Tehran lakini U.S inasema itakuwa inakiuka makubaliano ya usalama ya...
3 Reactions
65 Replies
8K Views
Ndani ya Sudan huru. Wakati wa uhuru wa Sudan mwaka 1956 viongozi wa kusini walidai haki ya kujitawala ndani ya taifa jipya, lakini mapatano yalishindikana na hali hiyo ilisababishwa kutokea kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Historia ya kale Kuna nyaraka chache sana za historia ya mikoa ya kusini mpaka mwanzo wa utawala wa Misri upande wa kaskazini mapema 1820 na baadaye kuendelezwa kwa biashara ya utumwa kuingia...
1 Reactions
0 Replies
762 Views
Source: Letter from the north: PAUL KAGAME TREATED FOR BIPOLAR DISORDER. Letter from the north: PAUL KAGAME TREATED FOR BIPOLAR DISORDER. Madam Jeannette Nyiramongi Kagame’s frequent...
3 Reactions
57 Replies
11K Views
Waasi watiifu kwa aliyekuwa Makamu wa Rais, Riek Machar wanamshikilia ofisa wa Serikali Jimboni Liech, Kusini mwa nchi baada ya ndege ya kukodi kutoka Tanzania kutua kwenye ardhi ya waasi eneo la...
1 Reactions
19 Replies
4K Views
  • Closed
Picha: Kevin aliweka vipande vya nyama ya nguruwe katika mlango wa msikiti wa Jamia huko Totterdown, Uingereza. Mtu aliyeweka nyama ya nguruwe katika mlango wa msikiti nchini Uingereza amefariki...
2 Reactions
50 Replies
5K Views
Russia na Iran wanatarajia kuingia mkataba mwingine wa kuuziana silaha za kisasa zaidi zitakayoifanya Iran kuwa na uwezo mkubwa wa kulinda anga lake na bahari. Kama kuna kitu kinapingwa na...
2 Reactions
63 Replies
9K Views
Mwanamke mmoja raia wa Marekani mwenye asili ya Afrika amemsamehe mtu aliempiga na bilauri (glass) ya kunywe bia usoni baada ya kumsikia akongea kiswahili. Asma Mohhamed Jama aliekua pamoja na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
South Africa is a major player in the global cannabis industry, producing a top strain — Durban Poison — and a significant portion of the continent’s supply, Cannabis Now reported. Until now, the...
0 Reactions
1 Replies
933 Views
ECOWAS Standby Force Authorised To Intervene In Gambia
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Ni abiria wengine wachache ndio walipaza sauti kutaka Abiria waliokua wakiongea kiarabu washushwe kwenye ndege ya shirika la ndege la Marekani liitwalo Delta ambapo Wahudumu wa ndege hiyo...
8 Reactions
117 Replies
10K Views
Mhanga wa biashara ya usafirishaji watu aliyebakwa mara 43,000 hadi kufikia umri wa miaka 16 baada ya kuchukuliwa akiwa na miaka 12, amebadilisha maisha yake kusaidia watu wengine. Karla Jacinto...
10 Reactions
89 Replies
13K Views
Americans pick Obama over Trump as ‘most admired’ man in 2016 — and it’s not even close David Edwards 28 Dec 2016 at 10:20 ET AddThis Sharing Buttons Share to...
0 Reactions
1 Replies
773 Views
Hivi kuna ukweli wowote juu ya hili maana Mimi sijaelewa elewa
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Raisi Obama wa USA anayemaliza muda wake, aliyebakiza kama wiki 3 tu madarakani, ameamua kwa kutumia muda wake huu mfupi uliobakia kuiwekea nchi ya Urusi vikwazo vya kiuchumi kwa kosa ambalo yeye...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom