International Forum

News and Stories from rest of the World
Sikukuu ya mwaka mpya yapigwa marufuku Korea Kaskazini Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-Un amepiga marufuku sherehe za Krismasi na mwaka mpya kusherekewa nchini humo Hata katika sherehe za...
2 Reactions
35 Replies
4K Views
Ipo scandal inaendelea sasa hivi Washington DC Hii scandal inaitwa pizzagate. Inahusisha watu maarufu katika serikali. Yaani watu wanaagiza pizza, kumbe wanaagiza watoto wadogo kufanya nao ngono...
0 Reactions
1 Replies
611 Views
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetuma shehena zingine mbili za misaada ya kibinadamu katika mji wa Aleppo (Halab) uliokombolewa hivi karibuni kutoka mikononi mwa magaidi wakufurishaji. Mkuu wa...
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Mswada wa sheria mtandao nchini Thailand uliwekwa mezani kujadiliwa takriban wiki kadhaa zilizo pita. Muswada huo ambao ulikua ukingoja kupitishwa kua sheria umepelekea kelele nyingi Nchini humo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
A Jet Airways plane carrying 161 passengers has crashed off a runway in Goa after smoke was seen in the cabin ahead of take-off from the the Indian holiday resort. The Boeing 737 careered across...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
SIKU chache baada ya Umoja wa Mataifa (UN) kupiga kura kulaani ujenzi wa makazi ya walowezi wa Kiyahudi katika Ukingo wa Magharibi na Yerusalem Mashariki, Rais mteule wa Marekani, Donald Trump...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Wanajeshi 34 wa Uturuki walikamatwa katika mji mkuu Ankara kwa madai ya kuwa na mahusiano na imamu wa Kiislamu Fethullah Gulen, ambae serikali inamlaumu kwa jaribio la mapinduzi mwezi Julai tarehe...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Aisee katika majamaa manyang'au huyu ni namba kwenye zama zetu, Leo kwenye mahojiano na gazeti moja la nchi hiyo amejisifia kwamba aliwahi kumtupa mhalifu wa utekaji kutoka kwenye helikopta iliyo...
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Kerry defends US decision not to veto UN condemnation of Israeli settlements US secretary of state pushes two-state solution and criticises Netanyahu in toughest remarks on Israel by a US...
0 Reactions
5 Replies
887 Views
Wabunge 29 wa Bunge la Korea kusini wamejiondoa katika chama tawala nchini humo. Hatua hiyo imekuja kufuatia tuhuma za rushwa ambazo pia zinamgusa Rais wa nchi hiyo Park Geun-hye kwa mashtaka ya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Vifijo na nderemo vimetokea katika mji wa Alepo baada ya majeshi ya serikali ya syria ya kiongozwa na Russia kuutwaa kabisa mji huo mikononi mwa waasi Pongezi nyingi kwa jeshi la...
6 Reactions
18 Replies
2K Views
Kweli UN ni genge la kupigia soga za kijinga na wala sio kusolve matatizo ya dunia. TRUMP AMELIGUNDUA HILO NA AMEAHIDI KULISHUGHULIKIA kumbuka zaidi ya 50% ya bajeti ya UN inachangiwa na Marekani...
7 Reactions
21 Replies
3K Views
Leo mugabe kawajibu wababe wake. Kaongelea pia CCM
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Bolivia’s President Evo Morales was left red-faced after what sounded like wild sex noises blared from his mobile phone during an international court hearing. The South American leader was in...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Serikali ya Uganda imetangaza kutekeleza dhamira yake ya muda mrefu ya kufufua shirika lake la ndege ili lianze kutoa huduma ambapo maofisa wa Serikali wametaja Agosti 2017 kuwa mwezi ambao...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Baada ya CIA kutoa ripoti yao kuhusu ushiriki na ushawishi wa Urusi katika uchaguzi wa Marekani, Rais Obama alisema ni lazima Marekani itachukua hatua dhidi ya Urusi katika namna wao...
4 Reactions
53 Replies
6K Views
It has always been very hard on me while deciding new year resolutions. This year I want to keep it simple! "I won't be doing anything new"
0 Reactions
0 Replies
537 Views
Jeshi LA Senegal likuungwa mkono na wanachama wa ECOWAS wataongoza pambano LA kijeshi LA kumwondoa dikteta wa Gambia kama hata achia madaraka ifikapo 19 January 2017. ecowas wakifanikiwa katika...
22 Reactions
256 Replies
20K Views
Former Argentine President Cristina Fernandez de Kirchner has been charged over corruption allegations. A federal judge approved charges of illicit association and fraudulent administration...
1 Reactions
1 Replies
530 Views
Bilionea namba moja barani afrika, Aliko Dangote amekanusha uvumi unaosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa amefariki dunia akiwa nchini Ujerumani Taarifa hizo zinaeleza kuwa bilionea huyo...
3 Reactions
11 Replies
5K Views
Back
Top Bottom