Baada ya kisa cha nabii mmoja kutoka nchini Afrika Kusini kuzua hofu juu ya afya ya waumini wake baada ya picha kusambaa akiwapulizia dawa ya kuulia wadudu, kisa kingine kimeibuka nchini Zimbabwe...
Mwanamume aliyewashambulia na kuwajeruhi watu 11 katia Chuo Kikuu cha Ohio ni asili a Kisomali na alikuwa mwanafunzi katika chuo hicho, maafisa nchini Marekani wanasema.
Abdul Razak Ali Artan...
Kuhesabiwa upya kwa kura za urais Marekani 2016 kutaleta mabadiliko?
Wengi hawaweza kukubali kushindwa kwa Bi Clinton katika uchaguzi wa urais 2016
Kufuatia juhudi za mgombea wa chama cha kijani...
SATAN-2 Made in Russia likionyeshwa live tarehe 27/10/2016,hili kombora ndio hatari zaidi kwa sasa duniani limetengenezwa kwa advanced technology ni inter-continental linafika popote duniani na...
Moja ya mataifa yenye uthubutu mkubwa ni Korea Kusini ambayo imefanikiwa kufanya jambo ambalo Marekani imeshindwa mwaka huu. Park Geun-hye ni rais wa kwanza wa kike kuiongoza Korea Kusini. Pamoja...
Jamaa mmoja katika mji wa Zhengzhou mkoa wa Henan nchini China, alikwenda kununua gari la kifahari kwa kutumia sarafu na noti zenye thamani ndogo ndogo
Katika hali hiyo isiyokuwa ya kawaida...
Rais wa zamani Cuba, Fidel Castro awaaga wajumbe wa Chama Cha Kikomunisti Cuba na kuwaambia atakufa siku si nyingi lakini mapinduzi yataishi
Mwanamapinduzi na kiongozi mzalendo wa Taifa Timamu la...
Chanjo mpya dhidi ya virusi vinavyosababisha Ukimwi itaanza kufanyiwa majaribio nchini Afrika Kusini Jumatano wiki hii.
Wanasayansi wanasema huenda ikawezesha binadamu kukabiliana na virusi hivyo...
Twelve people, including eleven teenagers, were killed when a fire swept through a girls dormitory in the southern Turkish province of Adana on Tuesday, officials said.
The fire, which broke out...
November 27, 2016 at 5:10 pm
By KT Press Staff Writer
Clock wise-Celestin Mutabaruka, Dr Vincent Bajinya, Emmanuel Nteziryayo, Celestin Ugirashebuja, Charles Munyaneza
Rwandan Genocide...
Kinachoendelea Marekani sasa hivi ni uthibitisho kwamba mshindi alikuwa sahihi. Mshindi alishinda ushindi wa haki pamoja na kwamba yeye ndie alikuwa katika upande unaodhulumiwa.
Hawa wahamiaji...
Uchaguzi wa urais nchini Somalia, ambao ulikuwa umeahirishwa kwa mara mbili awali, umeahirishwa tena kwa muda usiojulikana.
Mwenyekiti wa bodi ya uchaguzi nchini humo Omar Mohamed Abdulle...
Mambo usiyoyajua kuhusu bank kuu ya marekani(federal reserve bank).
1. Federal reserve sio sehemu ya serikali ya marekani. Au kwa kifupi serikali ya marekani haimiliki benki kuu yake.
2. Mabenki...
Hii imetajwa kama msumari wa mwisho kwenye jeneza la kuzika UKIMWI. Imefanyiwa utafiti kwa umakini wa hali ya juu na sasa ipo kwenye hatua za majaribio. Watu tayari wamejitolea (nawaita mashujaa...
Burundi imemlaumu jirani wake Rwanda kwa kupanga jaribio lililofeli la kutaka kumuua msaidizi mkuu wa rais Pierre Nkurunziza.
Msemaji wa polisi Pierre Nkurukiye, alisema kuwa maagizo yalitumwa...
Wataalamu wa mambo ya siasa, diplomasia na uongozi, hivi tweet kama hii ni sahihi kutolewa na kiongozi mkubwa kama Donald Trump? Anamaanisha nini katika hii tweet?
===========
Rais Mteule wa...
Kwa mujibu wa vyombo vyetu dhaifu vya habari, balozi wa UK ameenda kuonana na waziri wa mambo ya ndani ya nchi kwa ajili ya "kumshukuru Waziri Mwigulu kwa mazungumzo waliyoyafanya na kumhakikishia...
Baada ya mwezi mmoja wa wananchi wa Korea Kusini kuandamana wakimshinikiza Rais ajiuzulu kutokana na kashfa ya rushwa pamoja na kuvujisha nyaraka za serikali kwa rafiki yake.
Rais Park Geun...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.