Serikali ya Burundi imetishia kuondoa askari wake wa kulinda amani nchini Somalia katika kikosi cha Umoja wa Afrika AMISOM iwapo umoja wa ulaya, mfadhili mkuu wa kikosi hicho, hauto rejelea uamuzi...
Hahah hii ni USA na siyo Kongo, Sudani au sijui Uganda! Where is the respect of the the so called will of the people? Nilifikiri chaguzi USA ni free and fair sasa kwa nini tunaona militias...
Wasalaam,
Shirika la Urusi la Irkut na Comac la uchina wamefanya maonyesho ya ndege ambazo nchi hizo mbili zinategemea kutengeneza. Mkataba wa makampuni hayo ulishasainiwa mwaka 2014 baina ya...
Mpango wa Uingereza kujitoa kwenye umoja wa Ulaya umeingia dosari baada ya Mahakama Kuu nchini humo kuagiza isijitoe mpaka Bunge liidhinishe.
Serikali imesema itakata rufaa kupinga uamuzi huo...
Opinion #ForeignAffairsNOV 3, 2016
Richard Miniter ,
CONTRIBUTOR
I investigate foreign policy and national security issues.
Rwanda is one of the world’s smallest countries and one of its...
Economic hit are highly paid professionals who cheat countries around the globe out of trillions of dollars. They funnel money from World Bank, the U. S. Agency for International Development...
Siku zote nilikuwa nikijiuliza maswali mengi kichwani bila kupata majibu yake kuhusu ni kwa vipi nchi kama Burundi yenye migogoro mingi ya kiusalama inawezeje kutoa wanajeshi wake wengi kwenda...
Maafisa wawili wa ngazi za juu nchini Italia wamekanusha vikali ripoti ya shirika la kulinda haki za binaadam, Amnesty International kwamba polisi nchini humo wamewanyanyasa wahamiaji wanaotafuta...
Uingereza haiwezi kuondoka EU, na habari ndiyo hiyo sasa Bunge la Uingereza ndiyo litaamua na siyo kura ya Mwananchi tena, na kama tujuavyo Wabunge ni corrupt hivyo na siajabu sehemu...
Umoja wa Mataifa umesema kuwa takribani wahamiaji 4,220 wameshapoteza maisha mwaka huu kufuatia ajali zinazotokea majini pale wahamiaji wanapokuwa kwenye majaribio ya kwenda barani ulaya.
Taarifa...
Image copyright AFP
Image caption Jemedari Johnson Mogoa Kimani Ondieki amefutwa kazi na UN
Kenya imetangaza kuwa inawaondoa wanajeshi wake kutoka kikosi maalumu cha Umoja wa Mataifa cha...
وفاة محمد سعيد الصحاف وزير الاعلام السابق العراقي في عهد صدام حسين
في الامارات اليوم
AMEFARIKI LEO ALIEKUA WAZIRI WA HABARI KIPINDI CHA UTAعن عمر WALA WA SADDAM HUSSAIN IRAQ. MUHAMMAD SAID...
Commisioner of Elections wa New York ajulikanye kama Alan Schulkin amerekodiwa akitilia shaka uchaguzi wa USA unavyofanyika, na kwamba kuna voters fraud au wizi wa kura unafanyika USA, kwa maneno...
Ni kweli wengi hatumdhanii na Wamarekani wa mlengo wa kawaida pia hawamtazamii, lakini inaonekana FBI kurudia kufukunyua uchunguzi wa the former and the expected first lady itakuwa imeathiri...
Kuna haja yakumtuma Jecha kuokoa jahazi mpaka sasa hakuna mshindi wa uchaguzi labda kwa msaada wa goli la mkono..
======
With Trump, Clinton Deadlocked, Race Is In 'Brexit' Zone: IBD/TIPP Poll...
IRAN: Mahakama mjini wa Tehran yamhukumu viboko 135 aliyekuwa mkuu wa mashtaka ya umma Bwana Saeed Mortazavi kwa makosa ya ufisadi.
=========
A former prosecutor general of Tehran described by...
Mwanaume mmoja amezua taharuki katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kamuzi katika mji mkuu wa Malawi Lilongwe baada ya kufika uwanjani hapo akiwa amevalia nguo ya ndani (Chupi pekee) akitaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.