International Forum

News and Stories from rest of the World
Image captionRais wa Rwanda Paul Kagame ameionya ufaransa kuhusu ufufuzi wa uchunguzi wa mauaji wa aliyeluwa kiongozi wa taifa hilo Juvenal Habyarimana Rais wa Rwanda ,Paul Kagame ameonya...
0 Reactions
0 Replies
836 Views
‘The price is not a problem,” says the man on the phone. "We will show our appreciation if things are beautifully done. They will be rewarded." The tone of this offer, calm and confident, is so...
8 Reactions
360 Replies
30K Views
Serikali ya Ethiopia imesema leo kuwa maadui wa nje kama Misri ndio wanaohusika na maandamano yanayoendelea nchini humo ambayo yamepelekea serikali kutangaza hali ya hatari kwa kipindi cha miezi...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Izrael ilianzishwa na waizraeli waliotoka nchini misri chini ya uongozi wa musa na yoshua ambae alivamia kanaani mnamo mwaka wa 1200 kk. Muungano wa vikundi na makabila mbalimbali yasemekana ndio...
3 Reactions
82 Replies
20K Views
Gari moshi hilo la kipekee linasafiri kwa kuning'inia kwenye chuma kilicho hewani na linaweza kusafiri kwa kasi ya kilomita 60 kwa saa moja na lina ukubwa wa kubeba wasafiri 120 kwa kila bogi...
16 Reactions
136 Replies
16K Views
Wananchi nchini Malawi wanaomba rais wao arudi nyumbani ikiwa ni takribani wiki ya pili tangu alipoenda kuhudhuria mkutano wa umoja wa mataifa,story za kuaminika zinadai amezidiwa na kula...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
A torched bus in the Sebeta region of Ethiopia. PHOTO | BBC By AFP Posted Monday, October 10 2016 at 09:24 In Summary Ethiopia is facing its biggest anti-government unrest in a decade...
0 Reactions
0 Replies
528 Views
Serikali ya Malawi imekanusha ripoti kuwa Rais wa nchi hiyo Peter Mutharika yuko mgonjwa sana nchini Marekani Raia wa Malawi kwenye mitandao ya kijamii wametumia 'BringBackMutharika' wakitaka...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Kijana mwenye mkia wa sentimita 20 unaomea chini ya uti wa mgongo wake amefanyiwa upasuaji ili uondolewe Ulianza kutokea katika mgongo wa kijana huyo wa miaka 18 baada ya siku yake ya kuzaliwa ya...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
'Bill raped me and Hillary threatened me!' Trump brings FOUR Clinton 'sex victims' to tonight's debate - to cast BOTH of them as sexual abusers Donald Trump hosted a brief photo-op with three...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
@email:gallerykhately@gmail.com mobile:+254 (0) 723 728 806 American RnB singer Chris Brown was in Mombasa County for the much anticipated concert dubbed #MombasaRocks. The A-List singer, who was...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
"If I will be elected to become the next president of united state of America I will tell my Antony general ( AG ) to prosecute Hillary Clinton emails scandal and I make sure that she will go in...
2 Reactions
23 Replies
3K Views
1st Debate (FULL): 2nd Debate (LIVE): UPDATE Donald Trump vows to jail Hillary Clinton if he wins White House A defiant Donald Trump on Sunday attacked former President Bill Clinton...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Kampuni ya Samsung imesitisha kabisa uzalishaji wa simu zake za Galaxy Note 7, imechukua hatua hiyo baada ya kubaini hata mpya zinazotengenezwa sasa kuna uwezekano mkubwa zikawa zinalipuka kama za...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Vikosi vya usalama nchini Myanmar vimesema kuwa watu 17 wameuawa wakiwemo polisi tisa, mauaji hayo yametokea katika kituo cha polisi huko katika mpaka wa nchi hiyo na Bagladesh Afisa mmoja wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
D.Trump! Baada ya kuona kila wanaposhika na kupotosha ili kuzuia gharika la D.Trump ambaye ni kipenzi chetu wengi na cha Dunia kwa ujumla, maelite wa USA&Co. wameendeleza character assassination...
5 Reactions
28 Replies
5K Views
KILE KINACHOENDELEA BURUNDI JE KINASADIFU HISTORIA YAKE? Makala yangu no 01. Juu ya ziara yangu East, Central & Great lake zone of Africa. Na. Comred Mbwana Allyamtu. Burundi ndio taifa lenye...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
BANGO KUBWA LA PUTIN LAWEKWA NEW YORK Polisi walifika na kuliondoa muda mfupi baada ya picha za bango hilo kuanza kusambazwa sana katika mitandao ya kijamii. Bango kubwa lenye picha ya Rais...
16 Reactions
29 Replies
5K Views
Korea Kaskazini inadaiwa kutekeleza jaribio la tano na kubwa zaidi la kifaa cha nyuklia, maafisa wa jeshi la Korea Kusini wamesema. Rais wa Korea Kusini Park Geun-hye ametaja jaribio hilo kuwa...
3 Reactions
31 Replies
5K Views
Antonio Guiterres (67) kutoka nchini Ureno kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa. Huyu jamaa naona kuwa anafaa sana wakati huu. Ataweza kuifanya UN kurudi kwenye mstari na kuwa visible tena...
0 Reactions
62 Replies
9K Views
Back
Top Bottom