Kampuni kadhaa nchini China zimetoa onyo kali kwa wafanyakazi wake na kuwataka wasinunue simu mpya ya kampuni ya Apple, iPhone 7.
Kampuni zilizotoa marufuku hiyo zinasema ni kwa sababu za...
Tuzo ya AMANI ya Nobel imekuwa ikitolewa kwa nadra sana kwa Bara la Africa.
Nimesikia Rais wa Colombia ametunikiwa Tuzo hii baada ya kusaini makubaliano ya kusitisha miongo mitano ya mapigano...
Tyson: Ninatumia Cocaine kukabiliana na ugonjwa wa Kiakili
Tyson Fury katika pigano.Bondia huyo anakabilia na matatizo ya kiakili
Bingwa wa ndondi katika uzani mzito duniani Tyson Fury amesema...
Wakuu nimeona kwenye vyomba vya habari haya majaribia na sijatosheka na mimeenda youtube na kushuhudia hizi silaha nazosikia watu wakizipigia debe na hakika nimeshuhudia.
Hizi missile za mrusi na...
Polisi nchini Ujerumani wanawachunguza mume na mke ambao wanadaiwa kumfungia mwanao wa kiume ndani ya nyumba kwa miaka 30, katika jimbo la Bavaria
Mwanamme huyo wa miaka 43 hajawahi kuonekana...
Baraza la Mawaziri nchini Burundi, kwa kauli moja limeidhinisha mswada wa kuliondoa taifa hilo kutoka kwa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu, ICC.
Serikali ya nchi hiyo tayari imewasilisha mswada...
Rais wa Colombia Juan Manuel Santos ameshinda Tuzo ya Amani ya Nobel ya mwaka 2016 licha ya kuvunjika kwa mkataba wake wa kusitisha vita na waasi wa Farc nchini humo.
Rais Santos aligongwa vichwa...
Idadi ya watu waliofariki kutokana na gharika la kimbunga Mettew lililoikumba nchi ya Haiti yafikia takribani waty 339 vikosi vya uokoaji vimerioti kuwa idadi ya majeruhi na vifo inaongezeka kwa...
Kama kichwa cha taarifa kinavyosomeka. Link ya habari hiyo chini.
www.ronpaulinstitute.org/archives/featured-articles/2016/october/02/pentagon-paid-pr-firm-540-million-to-make-fake-terrorist-videos
Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe amesema Bara la Afrika lipo tayari kujitoa katika Umoja wa Mataifa (UN) iwapo madai yake ya kutaka mabadiliko katika umoja huo hayatatekelezwa.
Mugabe ametoa kauli...
Rais wa Palestina, Mahmoud Abbas akimbizwa hospitali baada ya kupata tatizo la kiafya ghafla, kiongozi huyo amekimbizwa katika Hospitali moja iliyopo Ukanda wa Magharibi ili afanyiwe vipimo vya...
Watu 6 wameuawa baada ya wanamgambo wa kundi la Al- Shabaab kufanya shambulio eneo la Mandera, Kaskazini Mashariki mwa Kenya.
========
Mandera, Kenya: Six people were killed in suspected...
K-DEVELOPEDIA)
Development encylodedia for scholars, policy makers and students working on their researches. www.kdevelopedia.org
Take a look on :
Emerging Asian approaches to development...
China: 'Ukinunua iPhone 7 umejifuta kazi!'
Wateja wakiwa na iPhone 7
Baadhi ya kampuni China zimetishia kuadhibu wanaonunua iPhone7
Kampuni kadha nchini Uchina zimetoa onyo kali kwa...
Ziara za Magufuli na Kagame zimeanza kuzaa matunda baada ya ushauri wake toka rohoni; ili Rwanda na Congo zisonge mbele lazima wakutane viongozi wenyewe na kuleta suluhu; aina haja ya watu kutoka...
A Tanzanian military parade on 26 April to mark the 50th anniversary of the union of Tanganyika and Zanzibar shed light on the Tanzania People's Defence Force's (TPDF's) recent...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.