International Forum

News and Stories from rest of the World
Wadau hamjamboni nyote? Ni suala la muda tu kabla ya watajwa hapo juu kutumbuliwa Waziri wa ulinzi yeye anasubiriwa arejee kutokea ziarani Marekani nchini Marekani. Ilikuwa atumbuliwe mapema...
1 Reactions
15 Replies
967 Views
Moderator tafadhali rekebisha kichwa cha habari pale mwishoni kisomeke ndani ya hotel inayomilikiwa, kuendeshwa na kulindwa vikali na Jeshi la Iran Wadau hamjamboni nyote? Hiyo ndiyo...
5 Reactions
69 Replies
3K Views
Ule ukimya wa muda mrefu wa mataifa mawili makubwa ya kiarabu sasa umefika mwisho.Mataifa hayo ni Misri na Saudi Arabia. Misri ilitoa onyo lake dhidi ya Israel na nia yao ya kupiga eneo la Rafah...
4 Reactions
63 Replies
3K Views
Karma itamrudia Israel atapigwa vifo vitakuwa vingi itakuwa kilio na kusaga meno.hii sio chai but unabii .
0 Reactions
6 Replies
389 Views
Nigeria: Watu kadhaa wauawa kwa kupigwa risasi katika maandamano ya kulalamikia gharama ya maisha Watu kadhaa wameuawa kwa kupigwa risasi nchini Nigeria katika mji wa Kano, kaskazini mwa Nigeria...
0 Reactions
2 Replies
329 Views
Wadau hamjamboni nyote Ama kweli IDF na Mossad wako kazini na hawatanii linapokuja suala la kuwasaka Viongozi wa magaidi ya Hamas na Hezbollah. Shambulizi moja tu chini ya ardhi laua magaidi 5...
15 Reactions
50 Replies
2K Views
Burundi imetangaza kuufunga mpaka wake na Rwanda ikiwa zimepita wiki mbili baada ya kuituhumu Nchi hiyo jirani yake kuunga mkono Waasi waliofanya mashambulizi kwenye ardhi yake.Mtandao wa DW...
6 Reactions
37 Replies
21K Views
Wadau hamjamboni nyote? Kumekuchaaa! Mawaziri Israel wapigwa marufuku kutumia simu za kawaida za smart phone Serikali ya Israel imepiga marufuku mawaziri wake kutumia simu za kawaida za smart...
6 Reactions
16 Replies
1K Views
Hii Dunia mambo yanaenda kasi sana na kuna Watu ni muhimu kwa Dunia kuliko tunavyowatazama Source: Al jazeera news
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Wanigeria wakabiliwa na marufuku ya kutotoka nje ya saa 24 kufuatia maandamano Maelezo ya picha,Waandamanaji wanapinga gharama ya juu ya maisha na kile wanachosema ni "utawala mbaya" Mamilioni...
1 Reactions
0 Replies
210 Views
Hapa rais wa nchi ya Iran Masoud Pezeshkian kaketi chini Ali Khamenei akiwa amepozi juu ya kiti. Ki itifaki wenzetu yupi ni kiongozi wa mwenzake hapo.
1 Reactions
30 Replies
1K Views
Kawahishwa kwa mabikira.... The scene of an Israeli drone strike near the town of Shaat, in Lebanon's Baalbek district, July 6, 2024. (Social media; used in accordance with Clause 27a of the...
7 Reactions
33 Replies
2K Views
Wadau hamjamboni nyote? Taarifa za muda mfupi uliopita Gaidi mwingine wa Hezbollah ameuawa kwa drone ya IDF baada ya kuongoza kurusha maroketi ya kadhaa kuelekea kaskazini mwa Israel. Hata...
5 Reactions
13 Replies
964 Views
Hawa jamaa wameonyesha wamejipanga kusafisha mashariki ya Kati . Wamesambaratisha Gaza kila jiwe likapinduliwa huku misri ,Iran , uturuki, Hezbula na houth wakishindwa kufanya chochote zaidi ya...
20 Reactions
32 Replies
1K Views
Baada ya Iran kutangaza kujibu kwa njia ya Kijeshi dhidi mauaji ya Kiongozi wa Siasa wa Hamas Marekani imeanza kuropoka mara tutailinda Israel, Mara tunalinda Interest zetu mara tunapeleka meli 12...
1 Reactions
24 Replies
1K Views
Mtandao wa Reuters umeripoti Watu watatu kufariki katika maandamano yaliyofanyika Agosti 1, 2024 kwa ajili ya kupinga Utawala Mbovu wa Rais Bola Tinubu. Waandamanaji nchini huko wamelazimika...
1 Reactions
1 Replies
243 Views
Naam wakuu, karibia kila idara inaiogopa Israel, hata hapa JamiiForums kuna member alipost uzi akiomba ushauri Jinsi ya kukabiliana au kukomesha udhalimu wa Israel dhidi ya majirani zake. Uzi...
2 Reactions
32 Replies
1K Views
Kitendo cha Israel Kumuua Haniya akiwa nchini Iran kwa shambulizi ambalo hata Iran wenyewe hawajui limefanyikaje, kuwapiga wahouth na kulipua maghala yao ya mafuta na kupiga na Lebanon kwa wakati...
23 Reactions
60 Replies
2K Views
Viongozi wa Iran wanakutana na washirika wao kutoka Palestina, Lebanon, Iraq na Yemen kujadiliana uwezekano wa kulipiza kisasi kufuatia mauaji ya kiongozi mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh, aliyekuwa...
3 Reactions
44 Replies
726 Views
Israel ndilo taifa linaloongoza kwa kutengenezewa vikundi vingi vya kigaidi ili tu lisiwe na amani na pengene mpango wa viongozi wenye kutengeneza vikundi hivyo, ni kulifuta Taifa hilo. Irani...
2 Reactions
0 Replies
466 Views
Back
Top Bottom