Waziri Mkuu Sheikh Hasina ameripotiwa kujiuzulu na kuondoka katika mji mkuu wa Dhaka wakati kukiwa na maandamano makali ya kumtaka ajiuzulu
Uamuzi huo umekuja ikiwa ni muda mfupi tangu Umoja wa...
Hizi jumuiya huenda zimeshakufa.Kama zingekua hai kusingekuwa na uwezekano wa watu wa Gaza kuuliwa kinyama bila ya wao kuingilia kati au angalau kutoa matamko makali ya kulaani kinachotokea.
Na...
Viongozi wa nchi za kiislamu wasijitumbukize katika ujinga utakaowagharimu dunia na akhera yao.Kama ni maazimio ya umoja wa mataifa kuhusu Palestina yapo makumi kadhaa na hayajatekelezwa hata...
Mgombea nafasi ya urais kwa tiketi ya chama cha Democratic nchini Marekani Bibi Kamala Harris ameanza kumuwashia taa ya indicator mgombea wa chama cha Republican Bw. Donald Trump.
Hii ni kufuatia...
Hali gani?
Sifahamu Watibeli mnasalimiana vipi, hivyo naomba nitumie salamu ya kawaida ya kitanzania. Habari!
Nimeshawishika kuja na swali kufuatia vita na migogoro inayoendelea kati ya Israel...
Leo nimetamani kumchana makavu mchungaji wangu..
anadanganya kanisa eti mkono wa Mungu bado uko juu Ya Israel🤬🤬
Eti Mungu anailinda Israel dhidi ya wabaya wake ambao ni Arab nations, Jamani...
Hii ni kwa madai yale yale ambayo naye kama Ruto mapema alikuwa katupia masikio ya kenge:
----
President Bola Tinubu has told Nigerians protesting against a cost of living crisis that he has...
Waziri wa ulinzi wa Ujerumani,Boris Pistorius, amesema kulitumia jeshi la nchi yake kuilinda Israel iwapo itashambuliwa na Iran si jambo linalohitaji kujadiliwa.
Kauli hiyo ya Ujerumani...
Hayakuwa mazungumzo bali kufokewa kama mtoto mdogo, kwenye kuambatana na kupewa maelekezo:
Majibu ya Natenyahu: "nimekosa mimi. Nimekosana sana. Nimekosa baba." Yobbo style.
Transcript nzima...
Israel imezungukwa maadui pande zote na wengine wenye uchumi mkubwa.
Kimsingi waarabu wote wanatamani Israel ipigwe, ifutwe kwenye ramani ya dunia.
Cha ajabu, wote Wamekwama, wanaiogopa. Nchi...
Ukraine imethibitisha kuzamisha Submarine ya Russia itwayo The Rostov-on-Don ilyokuwa huko Crimean Peninsula, shambulio hilo pia limehusisha kuharibu mifumo 4 ya ulinzi ya S-400 iliyopo Cremea.
Jeshi la Ukraine lipo nchini Mali likijiunga na waasi wa Tuareg wanaopambana na jeshi la Mali pamoja na Russia wakisaidiwa na mercenaries wake. Hii imefichuka baada ya Serikali ya Mali kutangaza...
Vurugu hizi ni kufuatia Shambulio la Visu katika Darasa la Dansi huko Southport lililosababisha Vifo vya Wasichana Watatu wadogo, huku kadhaa wakijeruhiwa.
Kulingana na Polisi, uvumi wa uongo...
Ndege ya mizigo ya Jeshi la Russia inashusha zana za Kivita huko Tehran ikiwa ni katika kuhakikisha package ya kipigo kwenda Israel kinafanyika kinatekelezwa kiustadi..
A military transport...
Hali ya usalama inazidi kuwa tete huko Tehran, Iran baada ya serikali ya nchi hiyo kuanza uchunguzi wa maafisa wake wa usalama kuhusu kuhusika kutoa usaidizi kwa Israel katika njama za mauaji ya...
Iran Issues NOTAM for "Military Action." IRGC Commanders did not show up at prayer ceremony
AUGUST 01, 2024
The government of Iran has issued Notice(s) to Air Missions (NOTAM) closing certain...
Kufuatia viashiria vya vita kuibuka wakati wowote huko Mashariki ya Kati UK na US wameanza kuwaondoa Raia wa Lebanon na Iran
Afrika Mashariki tuungane Ili nasi tuwaondoe Raia wetu kwa haraka...
Uturuki nayo imetuma Ndege mbili za mizigo yavsilaha kwenda Tehran
Two days in row,at 31-07-2024 & 01-08-2024 , Airbus A400 of the Turkish Air Force flew twice to IRAN,
on the route...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.