Hii ni risasi iliyomkosa mgombea urais wa Marekani kupitia chama cha Republican Donald Trump. Nawaza kule kugeuka geuka ndiyo kulimsaidia! Au mnasemaje CIA, FBI, MOSSAD na MI6 wa bongo...
Marekani, chama cha Republicans kina Rais mmoja mstaafu, George Bush na makamu watatu wa Rais wastaafu, Dan Quayle, Dick Cheney na Mike Pence. Kwa nini huwa hawaalikiwi kabisa au hata angalau...
Baada ya Wanamgambo wa NATO kukimbia Afghanistan kwa kasi ya mwendo wa Ngiri mkia juu na kutelekeza Silaha Vifaru ndege na zana zingine kuwaachia Taliban, Military base zote kama Bagram Military...
Ndugu zangu watanzania,
Rais Mstaafu wa Marekani Mheshimiwa Donald Trump amemteua mgombea Mwenza wake Mwenye Umri wa Miaka 39 anayefahamika kama J.D Vance ambaye amewahi kutoa maneno makali sana...
Records show he was registered as a Republican voter in Pennsylvania,
but previously made a $15 donation to a Democratic aligned group,
Source
Meg Oliver CBS News,
Ila wa hapa wanadhani Lissu...
Wabunge wa Gambia Jumatatu waliidhinisha marufuku ya mwaka 2015 dhidi ya ukeketaji licha ya shinikizo kutoka watu wenye mila za kidini katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi, wakitupilia mbali...
THE WRITING ON THE WALL
"When you see that in order to produce, you need to obtain permission from men who produce nothing,when you see that money is flowing to those who deal, not in goods, but...
Wale jamaa na wamama nimewakubali kuliko walinzi wote niliowahi kuwaona. Wamefanya kazi kwa welediwa wa hali yajuu, tena wakiwa na sura tulivu zisizopanic hadi wakampa Trump morali ya kutamba...
Tuzidi kumuomba Mungu wa Mbinguni aifanye Dunia kuwa Mahali salama
Hivi hawa Watoto wetu wamepatwa na nini jamani?
Mungu wa Mbinguni utuhurumie sisi
===
Soma Breaking News: - Marekani: Donald...
Mh, mwamba anapambana sana! Hata akishindwa tunalo la kujifunza nalo ni kutokukata tamaa kwa namna yoyote ile!
US judge in Florida dismisses classified documents case against Trump
A judge in...
Endelea kusoma kwa Kiingereza.
IDF waited weeks to strike Salameh’s compound in hope Deif would visit — report
Military believed Hamas military chief would likely join his close ally at some...
Early Sunday morning, the Vatican condemned acts of violence in the wake of the shooting that injured former U.S. President Donald Trump and others and left one dead at a campaign rally in...
Wakuu hawa jamii ya watu inakaribia kupotea Africa?
Sasa je nini kinasababisha na wakati wao hawatumii uzazi wa mpango, wala hawachangamani na watu kifupi hawakubali maisha tunayoishi sisi jamii...
Ndugu zangu Watanzania,
Sote naamini tunaendelea kufuatilia taarifa ambayo imeisimamisha Dunia nzima na kuitikisa pamoja na kuteka vyombo vyote vya habari na mitandao ya kijamii ulimwenguni kwote...
Channel 12 airs footage of an explosion three nights ago in the area of Iran’s main drone manufacturing plant near the city of Kashan.
The video, taken from a main road, shows what appears to be...
Matokeo ya awali yanaonesha Paul Kagame amevunja rekodi yake mwenyewe kwa kushinda uchaguzi wa Jumatatu kwa zaidi ya 99% ya kura.
Kagame mwenye umri wa miaka 66 alishinda uchaguzi wa 2017 kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.