Greetings....
Direct to the point, Psychological warfare is being waged upon you but most have no idea they are on the battlefield.
It's time people admit that the mainstream media's job is not...
Tume ya Uchaguzi ya Namibia (ECN) imeeleza wasiwasi wake kuhusu idadi ndogo ya watu wanaojiandikisha kupiga kura kwa ajili ya uchaguzi ujao ikiwa zimebaki wiki mbili tu.
Hayo yamesemwa na afisa...
SHORTFALLS OF WESTERN DEMOCRACY IN AFRICA
Democracy can take different forms depending on nature and composition of the country in question. Democracy in the USA isn't the same as that in Canada...
Ukifuatilia kwa karibu jinsi risasi zilivyomiminwa kuelekea alipo kuwa amesimama mgombea Urais D.Trump, kwakweli kama ahadi yako ya kufa haijafika huwezi kufa. Amekufa mshabiki wake mmoja yeye...
Hatuwezu kaa Kimya huku Democrasia ikiwa kwenye majaribu makubwa sana, tunaitaka Serikali kupitia Balozi wake au kupitia waziri wa mambo ya nje watoe tamko rasimi la kulaani Jaribio la kutaka...
Tukio hili ni aibu kubwa kwa taifa kubwa la Marekani ambalo linajinasibu kuwa na uhuru mkubwa wa demokrasia.
inamaana kama hamumtaki mgombea njia ni kumuuwa?
Pole kwa Trump na wanachama wote wa...
Mambo yanazidi kuwa mambo Mashariki ya kati. ... Anyway, twende kazi.
Mfalme wa Jordan Abdullah wa pili ameruhusu NATO kusimika makao yake makuu (HQ) mapya jijini Amman nchini Jordan...
Now the table has turned against them you are going to hear every sort of excuse.
1. This is an isolation incident and we have sorted it out.
2. The gun man had history of mantle illiness.
3...
Hili jaribio la kumuua Trump akiwa katika kampeni linafikirisha sana.
Madhara ya kumuua Trump akiwa katika kampeni yangekuwa makubwa sana, kifo cha Trump kingeweza kupelekea machafuko makubwa...
Zaidi ya miaka 30, nchi ya Somalia imekuwa ni uwanja wa mapambano wa makundi yanayopingana na hakuna mwelekeo wa kupata suluhu karibuni. Ilikuwa ni nchi yenye kheri nyingi mpaka pale walipomkufuru...
MAREKANI: Rais wa zamani wa Marekani, ametoa madai dhidi ya Rais Joe Biden kuwa aliwaagiza Majasusi wa FBI kumuua kwa Risasi wakati walivamia makazi yake na kufanya upekuzi ulioibua nyaraka za...
Staa wa zamani wa Man United na Timu ya Taifa ya Ufaransa Patrice Evra (43) amehukumiwa miezi 12 kwenda jela kwa kosa la kutelekeza Familia yake Nchini Ufaransa.
Evra ambaye alitamba akiwa katika...
Hii vita kwanini isiishe? Zelensky akubali kuwa chini, aombe radhi na ajifanye mjinga kuliko kupambana na Russia ambae ipo wazi jamaa wamedhmiria ni bora watumie nuclear lakini si kukaribisha NATO...
"Whenever people needs a hero, we shall supply him" ~ Albert like
The best way to control the opposition is to lead it ourselves.” ~ Vladimir Lenin
Order out of chaos and their created Messiah...
1. Biashara holela ya bunduki kwa raia
Hizi taarifa za kupigana sana risasi hovyo hovyo kila siku kwa sababu ya biashara holela ya silaha isiyo na udhabiti mpana kama mataifa mengine ya West na...
Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema takriban watu Milioni 25.4 katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanakabiliwa na Mgogoro wa Kiafya na Kibinadamu kutokana na kuongezeka kwa mzozo na...
Muda wote kuanzia sasa kinaenda kunuka hali ni mbaya sana jamaa keshaanza kusogeza majeshi
BREAKING:
[emoji298] [emoji1134][emoji1146] Israel is preparing to invade southern Lebanon
Reports are...
History inatufundisha Mambo mengi Sena. History ya Russia na Soviet imejaa Mambo mengi ktk uso wa dunia. Watu wengi wa kizazi hiki wanamfuatilia Sana raisi Putin wa urusi na aina ya uongozi wake...
Kwenye mbio za nani atatangulia kwenye teknolojia ya mawasiliano ya 6G ilikuwa ni race kati ya China na Marekani na washirika wake.
China ilikuwa imeshajiwekea mkakati wa kuifanyia tafiti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.