International Forum

News and Stories from rest of the World
Waziri Mkuu Mpya wa Uingereza, Keir Starmer, baada ya kuchaguliwa kushika nafasi ya Rish Sunak, ameahidi kutotimiza mpango wa kuwapeleka nchini Rwanda Wahamiaji haramu. Ikumbukwe Wahamiaji hawa...
2 Reactions
7 Replies
922 Views
The Kyiv Post has published exclusive footage revealing Ukrainian special forces, alongside Syrian opposition fighters, conducting attacks on Russian military positions in the Golan Heights region...
0 Reactions
1 Replies
443 Views
Kumekuwa na gumzo kubwa Marekani ambapo watu wanashauri Biden apumzike asigombee kwa awamu nyingine kwa sababu ya umri. Ona mzee Biden alichowajibu; "Ikiwa Bwana Mwenyezi angeshuka na kusema Joe...
5 Reactions
59 Replies
1K Views
Safari ya kwanza ya kimbunga ya David Lammy kama waziri wa mambo ya nje wa Uingereza, iliyoandaliwa kwa taarifa fupi sana, haihusu matokeo ya papo hapo au hata upeo mpya wa ujasiri. Yote ni...
0 Reactions
0 Replies
301 Views
Uiengereza miaka hii inabadili viongozi kila baada ya miezi michache na mara nyengine miaka.Imekuwa kama Somalia.Sijui wamepatwa na nini au ni laana ya kudhulumu uchumi wa waafrika kwa muda mrefu...
6 Reactions
50 Replies
1K Views
Rais Kagame mpenda dili na mabeberu kupiga hela amepata pigo baada ya mpango wake kuleta wakimbizi wanaotaka kuingia Uingereza kuzuiliwa Rwanda kupata pigo kwa washirika wake Conservative Party...
2 Reactions
4 Replies
858 Views
USA🇺🇸 anazidi kupaa tu kila mwaka. Russia hayupo tena top 10. Putin anapotea Maxima Kwa hiyo gap, China apambane Sana, alafu ana population kubwa, 1.4 billion, mwenzie familia ndogo. Labda...
5 Reactions
24 Replies
1K Views
Utabiri baada ya kura kupigwa nchini Uingereza unaonesha kuwa chama cha Labour kimeibuka na ushindi wa kishindo, huku kiongozi wake, Keir Starmer akielekea kuchukuwa nafasi ya Rishi Sunak kama...
1 Reactions
13 Replies
686 Views
Askofu Mkuu wa Italia Carlo Maria Viganò, aliyekuwa balozi wa kipapa nchini Marekani ambaye aligeuka kuwa mkosoaji wa kihafidhina wa Papa Francis, amefukuzwa kutoka kanisa kwa ajili ya kuzua...
0 Reactions
0 Replies
589 Views
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Uingereza James Cleverly (kushoto) na Waziri wa Mambo ya Nje wa Rwanda Vincent Biruta baada ya kutia saini mkataba mpya huko Kigali Desemba 5, 2023. Picha na Ben...
1 Reactions
5 Replies
622 Views
Waziri Mkuu wa Israel amewaambia wanahabari kuwa baada ya mafanikio makubwa Gaza hasa eneo la mwisho la Rafaa yanabadili upepo na sasa wanahamishia vikosi mpakani mwa Lebanon kupambana na Hizbolah...
14 Reactions
121 Replies
5K Views
Nimeona na kusikia mpango wa mazungumzo ya kuachiwa kwa mateka wanne wa israel wanaoshikiliwa na Hamas. Nimeshangaa sana. 1. Hamas wanafanya njni na hawa watu ambao hawana maana yoyote kwao? Na...
4 Reactions
54 Replies
2K Views
Ebana wanajamvi inakuwaje? Ningependa kujuwa na kuuliza wajuvi wa mambo mbali mbali kwenye hili jukwaa kama kuna uwezekano wa Uingereza kurudi jumuiya ya ulaya European union baada ya ushindi...
3 Reactions
6 Replies
401 Views
Kuna maswali mengi sana kuhusu mgogoro wa nchi hii ya Israel na mamlaka ya bandari ya Palestine Palestine ndiyo wa kwanza kuvamia Israel, bila shaka hawa ndio walikuwa na malengo mahususi dhidi...
2 Reactions
24 Replies
936 Views
Mtumishi wa kike wa USA mwanadada Cerestrial anakuja na utabiri wake wa kiroho ambao unajirudiarudia kua Mungu amekua akimuonesha kua taifa la Marekani linaenda kupigwa vibaya sana na na Urusi...
9 Reactions
98 Replies
3K Views
Sir Keir Starmer atakuwa waziri mkuu ajaye wa Uingereza baada ya Rishi Sunak kukubali kushindwa katika kukabiliana na chama cha Labour. Waziri Mkuu Sunak alisema wapiga kura wametoa "uamuzi wa...
11 Reactions
114 Replies
4K Views
Niliposikia Urusi akisema kuwa atawawezesha maadui wa marekani kwa silaha kama NATO wanavoisaidia Ukraine sikuelewa vizuri maana yake. Leo hii jarida la Newsweek la marekani pamoja na vyombo...
20 Reactions
68 Replies
2K Views
Ni kuhusu OpenAI. Karibuni hapa imetangaza kwamba developers wa China hawataweza kutumia API zao kutengeneza products. Ikumbukwe kwamba nchi hizi mbili zipo kwenye vita ya kiuchumi na...
9 Reactions
47 Replies
2K Views
Vita kati ya Hamas na Israel ni kioja kikubwa sana katika historia ya vita. Misikiti na hospitali zote zimevunjwa ikisemwa kuna taarifa za uhakika kuwa viongozi wa Hamas na mateka wapo humo lakini...
9 Reactions
97 Replies
4K Views
Katibu mkuu wa jumuiya ya kiarabu mwishoni mwa wiki hii ameitembelea Lebanon na kukutana na kiongozi wa chama kinachoiwakilisha Hizbullah katika serikali ya Lebanon Bwana Hossam Zaki baada ya...
9 Reactions
69 Replies
2K Views
Back
Top Bottom