International Forum

News and Stories from rest of the World
FAHAMU UNDANI WA VITA KATI YA ISRAEL NA PALESTINA KIBIBLIA. ISRAEL ALIPEWA YAKOBO NA SI YAKUB. MPENDWA ENDELEA KUIOMBEA ISRAEL Na Douglas Majwala Katika makala hii ya mafundisho ninawaletea...
9 Reactions
78 Replies
26K Views
Tarehe 29 ya mwezi wa sita M23 wameichukua Kanyabayonga Kaskazini mashariki mwa Congo na wanaelekea Butembo. Sasa naona wanacheza karibu na nyumbani ili likitokea la kutokea wakimbilie nyumbani...
17 Reactions
74 Replies
3K Views
Ninajua Wapalestina sio wakazi halisi wa ile ardhi hilo linafahamika ila shida ni hawa wazungu wa Ulaya ya Mashariki na Kaskazini kujifanya wao ndo Waisraeli na kuwauza wenzao ilhali wamewakuta...
10 Reactions
196 Replies
3K Views
Angalau watu 116 wameuawa katika msongamano kwenye mkusanyiko wa kidini kaskazini mwa India, afisa wa polisi Inspekta Jenerali Shalabh Mathur amesema. Tukio hilo lilitokea kwenye satsang (tukio la...
1 Reactions
7 Replies
592 Views
1. Osama Bin Laden 2. 2 PAC 3. Daud T Balali 4. Michael Jackson 5. Yevgeny Prigozhin 6. Elvis Presley
8 Reactions
28 Replies
4K Views
Wanamgambo wa Houth baada ya kuteka meli yenye inayomilikiwa na kupeperusha bendera ya Israel bado haikukomea hapo kwani juzi kwa mara nyengine walirusha makombora kuelekea Israel. Kwa bahati...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Wanaukumbi. Jeshi la Yemen lilitangaza: Kulenga meli ya "TRANSWORLD NAVIGATOR", mali ya kampuni inayokiuka marufuku ya kuingia kwa bandari za Israeli, kwa boti iliyojaa vilipuzi mnamo Juni 23...
5 Reactions
20 Replies
999 Views
Nchi za Afrika zimetajwa kuwa zinaweza kujifunza kutoka kwenye mtindo wa maendeleo wa China kama zikitaka kupata maendeleo ya kasi. Akiongea kwenye mahojiano maalum na Shirika Kuu la Utangazaji...
1 Reactions
8 Replies
340 Views
Copy&Paste KANYABAYONGA, DR CONGO — The M23 militia group has seized another town in the war-torn east of DR Congo, as the rebels gain more ground, sources told AFP Sunday. Kinshasa accuses...
0 Reactions
0 Replies
271 Views
Wakuu salaam! Nimeijifunza kidogo Israel, uwezo wake kiteknoloji, uwezo wake kiintelijensia, uwezo wake kiuchumi na structure ya uongozi wake! Kwanza nianzie mwisho.. Huwezi niamini ila...
13 Reactions
64 Replies
1K Views
Wanaukumbi. 🚨BREAKING: Wakati wa mkutano na waandishi wa habari, Mkurugenzi wa Al-Shifa Complex, Muhammad Abu Salamiya, baada ya kuachiliwa: Mwanzo Israel ilivamia hospitali ya Shifa na kuwauwa...
0 Reactions
17 Replies
692 Views
Kura ya maoni ya CBS News/YouGov iliyotolewa Jumapili ilionyesha kuwa 72% ya wapiga kura waliojiandikisha wanaamini kuwa Biden hana uwezo wa afya ya kiakili ya kuhudumu kama rais - ongezeko kubwa...
1 Reactions
9 Replies
656 Views
Iran imetangaza kuwa itafanya uchaguzi wa rais mnamo Juni 28, kufuatia kifo cha rais Ebrahim Rais na maafisa wengine katika ajali ya helikopta wakati mazishi yakitarajiwa kufanyika Jumanne...
2 Reactions
42 Replies
2K Views
On Thursday, a New York court suspended Giuliani's license to practice law in the state for two years, making him the first attorney to experience professional consequences for perpetuating lies...
0 Reactions
8 Replies
836 Views
Wadau hamjamboni nyote? Mahakama ya Juu iliamua Jumatatu kwamba Donald Trump anaweza kudai kinga dhidi ya mashtaka ya jinai kwa baadhi ya hatua alizochukua katika siku chache za urais wake katika...
1 Reactions
2 Replies
428 Views
Wabunge wawili wa vyama vya Republican na Democratic nchini Marekani wamefikia makubaliano ya pande mbili ambayo kwa mara ya kwanza yanaweza kutoa haki ya msingi ya faragha ya kidijitali kwa...
0 Reactions
0 Replies
234 Views
Mhadhiri mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Katoliki cha Kenya Profesa Becky Ndeto, amesema sera zilizotekelezwa na China baada ya kuanza kutekeleza sera ya mageuzi na ufunguaji mlango, zimesababisha...
0 Reactions
0 Replies
260 Views
India chaired its first meeting as Chair of the Colombo Process at the Permanent Representative Level Meeting at the International Organisation for Migration (IOM) Headquarters in Geneva...
0 Reactions
0 Replies
162 Views
Mwendo wa maandalizi...... Kwa kifupi sasa hivi swali la kujiuliza ni lini yataanza maana ukanda ule unaelekea kuchafuka. Israel conducted a test launch for a missile with a range of up to 1,800...
8 Reactions
18 Replies
799 Views
Gavana wa Florida, Ron DeSantis amesaini Muswada ambao unapiga marufuku Watoto wenye umri chini ya Miaka 14 kutumia Mitandao ya Kijamii na kuhitaji Watoto wenye umri wa Miaka 14 na 15 kupata...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Back
Top Bottom