Wananchi wa Uingereza leo wanapiga kura katika uchaguzi mkuu wa kuchagua Waziri Mkuu na Wabunge.
Wagombea wanaopewa nafasi kubwa ya kushinda ni Waziri Mkuu wa sasa Rishi Sunak kutoka Chama cha...
Licha ya majeshi ya maitaifa ya SADC kupambana pale DRC, hao madogo wa M23 wanaendelea kujichukulia miji.
Sijui hawa madogo wana nguvu gani ukizingatia sio hata magaidi wa dini ile ya kigaidi...
Takwimu zilizotolewa hivi karibuni na Idara Kuu ya Forodha ya China zinaonesha kuwa, kuanzia mwezi Januari hadi Februari mwaka huu, thamani ya jumla ya biashara ya bidhaa kati ya China na nchi za...
Wanamgambo wa Israel wakiwa kwenye uwanja wa mapambano na Kifaru chao aina Merkava wameviziwa na makomando Hamas kisha kuwekewa mabomu bila wao kushtuka baada sekunde 3 kikalipuka na kubaki majivu
Hezbollah imesema mmoja wa makamanda wake wakuu aliuawa katika shambulio la anga la Israel kusini mwa Lebanon, huku kundi hilo la waasi linaloungwa mkono na Iran likilipiza kisasi kwa msururu wa...
Zelensky talks about Ukraine CAPITULATION! Says there are too many wounded and dead; doesn't therefore want war for years
JUNE 28, 2024
Volodymyr Zelensky, former President of Ukraine whose...
400,000 Germans quit Catholic Church as talks between Vatican, Synodal Way continue
CNA Newsroom, Jul 1, 2024 / 09:45 am
Just one day after the news that hundreds of thousands of Catholics left...
Kutokana na kuongezeka kwa changamato za mabadiliko ya tabia nchi, mahitaji ya mabadiliko ya nishati duniani yameongezeka katika miaka ya hivi karibuni, na kuonyesha umuhimu wa kimkakati wa Afrika...
Wanaukumbi.
⚡️Vyombo vya habari vya Israeli:
Kuanzia wiki iliyopita pekee, wanajeshi 12 wa Israel waliuawa.
Si haba wauaji wa watoto wanazidi kupata haki yao nao wajue uchungu wa vifo.
Leo...
Benki ya Dunia imechapisha ripoti ambayo imeidhinisha Urusi kama nchi yenye kipato kikubwa.
Kigezo cha nchi iwe katika kundi la mataifa yenye kipato kikubwa duniani ni pale wastani wa pato la...
MAREKANI: Mtandao wa New York Times umeripoti kuwa Rais Joe Biden anatafakari iwapo ataendelea na mipango ya kugombea Urais kwa awamu ya pili iki ni baada ya matokeo mabaya ya Mdahalo kati yake na...
Benki ya dunia imesimamisha haki ya Gabon kupewa mikopo na ruzuku kuanzia Julai 1 kutokana na kushindwa kulipa madeni yake ya zamani, barua ambayo Reuters imeiona imethibitisha hilo Jumatano...
Hivi karibuni Chombo cha Chang'e No. 6 cha China kilifanikiwa kumaliza kazi yake ya kuchunguza Mwezi na kurejea duniani, na kuleta sampuli ya kwanza duniani ya udongo na mawe kutoka kwenye upande...
Morocco imeingia mkataba na Marekani kununua Helicopter 24 za mashambulizi aina ya Boeing AH64E Apache ambazo wataanza kukabidhiwa mwaka 2024.
Hadi sasa Apache imeuzwa katika nchi 17 Ulimwenguni...
Meli ya kivita kubwa ya Marekani pamoja na kikundi chake inarudi nyumbani baada ya miezi 8 ya kupambana na HOuth ndani ya bahari ya Red Sea.Nafasi yake itachukuliwa na meli nyengine ya USS...
Russia imeionya Israel iache kiherehere Cha kupeleka Patriot Air Defence kwa wanamgambo wa Ukraine la sivyo itakumbana na kipigo cha mbwa mwizi. Ikumbukwe patriot zinapigwa kizembe na Hamas...
Baada ya vita vikubwa vya Gaza kuanza mayahudi wa ultra orthodox waliendelea kufaidi hifadhi yao ya kutoshiriki vita vyovyote inavyopigana Israel na maadui zake.
Muda mfupi baadae serikali ya...
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Jeshi la Urusi limepiga na kuiteketeza train kwa kombora la Iskender ikiwa na zana za Kivita za NATO zikiwa safarini kwa ajili ya kusaidia wanamgambo wa Ukraine
⚡️🇷🇺Russian forces...
All eyes will be on President William Ruto following his solemn promise to cut on budgetary expenses across all branches of the government to recoup Ksh.341 billion that was to be raised through...
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ambayo ukubwa wake ni takriban sawa na Ulaya Magharibi, ni nchi kubwa katika eneo la Jangwa la Sahara.
DR Congo imejaliwa kuwa na maliasili za kipekee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.