Mchina huyo Amewaambia waandishi wa habari was gazeti la Washington post kwamba
"Nilisimamishwa na polisi, nikaulizwa jina langu, ghafla nikashngaa naanza kushambuliwa na polisi hao bila kuambiwa...
Idadi kubwa ya watu walijitokeza katika mji wa Yamai, mji mkuu wa Jamhuri ya Niger, wakitaka wanajeshi wa Marekani na nchi nyingine kuondoka nchini humo.
Niger tayari imefuta makubaliano ya...
Marekani yapeleka Saudi Arabia Askari elfu 20 na silaha nzito kwa utayari dhidi ya vitisho vya Iran kushambulia Israel
https://youtu.be/W_7b-V41rNM?si=O2LkYAa1OSie7X4N
* The US has urged Ukraine to halt attacks on Russia’s energy infrastructure, warning that the drone strikes risk driving up global oil prices and provoking retaliation, according to three people...
Wanaukumbi.
Mkuu wa Huduma ya Usalama ya Shirikisho la Urusi alisema leo, "Marekani, Uingereza, na Ukraine, ndizo zilizohusika na shambulio la ukumbi wa tamasha la Moscow".
Hayo ni madai mazito...
Mkazi mmoja wa maeneo ya kati ya Israel amekamatwa na kikosi cha kijasusi cha Shin Bet kutokana na kutoa vitisho vya kutaka kumuua waziri mkuu wa Israel.
Wiki iliyopita kitisho kama hicho...
Video hapo chini ikimuonesha kiongozi mkuu wa kundi la Palestina Hamas Ismail Haniyeh
akipokea kwa mara ya kwanza taarifa za vifo za vijana wake watatu Hazem, Mohammed na Amir pamoja na wajukuu...
Mamlaka za usalama nchini BELARUS zimekamata kijana alieshangilia vifo vya raia wa kiberalus na kirusi waliouwawa na kujeruhiwak ktk tukio la kigaidi jijini Moscow kwenye ukumbi wa crocus city hall.
Haiti hatimaye imeunda rasmi Baraza tawala la mpito lililopewa jukumu la kujaza pengo la uongozi nchini humo na kurejesha hali ya utulivu kufuatia ghasia zilizozuka za magenge ya kihalifu.
Amri...
1. Kibri chote kwishney, amri ni moja; kila mtu kaufyata:
Natenyahu maji ya shingo, Marekani yamwamuru kusitisha vita mara Moja!
2. Iran kaombwa kutulizana, Natenyahu kuufyata; mazungumzo kuwa...
Poleni kwa msiba, familia imepigwa bomu wakafa ndugu, watoto wake na wajukuu, yote hii kisa aliamrisha HAMAS wavamie Israel na kuchinja watoto wa Wayahudi......
Jamaa anakula maisha tu...
Chanjo ya Ugonjwa wa Malaria inayojulikana kama RTS,S, imeanza kutolewa kwa Watoto barani Afrika baada ya kuidhinishwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) ikiwa ni baada ya Majaribio yaliyofanyika...
Takriban watu milioni 55 wanakabiliwa na kitisho cha njaa katika kanda ya Afrika Magharibi na Kati kutokana na kupanda kwa bei za vyakula.
Taarifa ya pamoja iliyotolewa na Shirika la Mpango wa...
Wadau hamjamboni?
Hatimaye siri zimetoka hadharani
Ushahidi mpya umepatikana unaothibitisha kuwa Serikali ya Iran ndiyo mfadhili Mkuu wa magaidi wa Hamas na hadi kufikia Oktoba 7, 2023 walikuwa...
DAKAR, Senegal — Russian soldiers arrived in Niger this week, according to Nigerien state television, less than one month after the military junta announced that it was ending military agreements...
Sitaki kueleza mengi lakini hii video fupi ina majibu yaliyojitosheleza.
https://www.youtube.com/watch?v=8-CbgmH895g&ab_channel=Ab%C5%ABIsr%C4%81%27%C4%ABl
Why Are Elections Not Democratic in Africa? Comparisons Between the Recent Multi-party
Elections in Zimbabwe and Tanzania
LIISA LAAKSO
University of Helsinki, Finland
Hapa ngoja nizungumze kitu kimoja, muone jinsi dunia ilivyo. Hii dunia ina watawala wake ambao kimsingi si wale wanaomuabudu Mungu, kuna mambo mengi wanataka kuyaficha, hawataki wewe uyajue hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.