International Forum

News and Stories from rest of the World
Pwani ya Yemen limeokotwa gaidi la kimarekani Citizens in the Al-Tuhayta district of Al-Hodeidah governorate have discovered the body of an American soldier on the beach. Tayari Yemen wameifanya...
4 Reactions
13 Replies
935 Views
Habari za hivi punde no kwamba, Shirika la habar la Serikali ya urusi RUSSIA TODAY (RT) limeripoti kwamba magaid hao wamekamtwa mkoani BRYANSKI walipokua katika juhudi za kutoroka kupitia mpaka...
21 Reactions
188 Replies
10K Views
Scientists propose eating more python These big reptiles may be a sustainable meat source, if farming can be scaled up. Burmese pythons can reach lengths of 20 feet. DEPOSIT PHOTOSSHARE The...
0 Reactions
3 Replies
549 Views
Russia imerusha makombora kuelekea Ukraine yaliyopitia ndani ya Anga la Poland masaa machache yaliyopita na kusababisha Poland kurusha ndege zake F 16 lakini zilisha chelewa na kusababisha mzozo...
7 Reactions
13 Replies
1K Views
SENEGAL: Kura za Uchaguzi Mkuu utakaoamua muelekeo mpya wa Taifa hilo zinatarajiwa kupigwa leo Machi 24, 2024 ambapo Wagombea 19 wanawania nafasi ya Urais kwa lengo la kumrithi Rais Macky Sall...
2 Reactions
1 Replies
688 Views
Shirika la Exit International la Marekani limezindua mashine maalumu la kujiua iitwalo ‘Sarco Pod’ ambayo inafanya mtumiaji afurahi na kuchanganyikiwa kwa wakati mmoja kabla ya kuaga Dunia, pia...
11 Reactions
30 Replies
2K Views
Waziri mkuu wa poland, Donald tusk ameviamrisha vyombo vya usalama nchini Poland (POLISH SECRET SERVICE) kujiandaa ipasavyo kwa matokea yoyote ya kutisha ya kikanda baada shambulio la kigaidi...
3 Reactions
27 Replies
2K Views
Na yakatimia kweli! Intelligence ya Marekani ni habari ingine kabisa. But that doesn’t mean it’s foolproof https://youtu.be/M665-CETLH4?si=X_wFcE6FcXOZJAI6 Hii hapa habari kutoka New York Post...
8 Reactions
53 Replies
2K Views
Katibju mkuu wa umoja wa mataifa, Antonio Guterres kwa mara nyengine amewaambia viongozi wa jumuiya ya Ulaya wazitumie sheria za kimataifa kwa hali ya usawa. Yale wanayoona ni sawa au kuyapinga...
3 Reactions
6 Replies
810 Views
Mojawapo wa maombi ya HAMAS kwenye mazungumzo ya amani ni kwamba viongozi wake wataihama Gaza na wasiuawe popote watakapokwenda, wahakikishiwe uhai wao. Hilo ombi ni ngumu kutekelezeka maana...
4 Reactions
0 Replies
894 Views
Gharama ya vita ni kubwa sana.“Matumizi ya vita yamefikia dola trilioni 2.2 katika vita mbalimbali ulimwenguni pote. Kiwango hicho hakijawahi kufikiwa wakati mwingine wowote.”—The Washington Post...
0 Reactions
2 Replies
450 Views
Yaani warusi wa Moscow wameambukizwa tabia za warusi wa tandahimba. ——––———————————————— Ikulu ya Marekani imethibitisha kuwa ilionya mamlaka za Urusi mapema mwezi Machi kuhusu kuwepo na uwezekano...
3 Reactions
6 Replies
611 Views
Msaada wa CCTV mimi naona ni bure yani linapotokea tatizo uwezi kuona picha vizuri.
3 Reactions
5 Replies
540 Views
Matamshi yaliyotolewa hivi karibuni na Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis, akisifu historia na utamaduni wa Russia, yameliweka jina lake katika orodha nyeusi ya maadui wa Ukraine...
2 Reactions
7 Replies
927 Views
Princess of Wales, Kate Middleton ametangaza kuwa anapatiwa matibabu wa ugonjwa wa Saratani baada ya kugundulika nao. Taarifa hii inakuja baada ya sintofahamu ya muda mrefu kidogo waliokuwa nayo...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
My take :Waarabu pia wamechoshwa na ugaidi wa Hamas. .... https://www.middleeastmonitor.com/20240321-saudi-uae-among-states-fuelling-israels-offensive-on-gaza-report-finds/
1 Reactions
3 Replies
399 Views
NIGERIA: Rais Bola Tinibu amepiga marufuku safari zote za Nje za Viongozi kwa muda wa miezi mitatu kuanzia Aprili 1, 2024, lengo likitajwa kuwa ni mpango wa kubana na kupunguza Matumizi ya...
0 Reactions
5 Replies
888 Views
Poleni kwa msiba.... The IDF Spokesperson's Unit confirmed that a fighter jet killed Hamas terrorist Hadi Mustafa on Wednesday. Mustafa was a key Hamas operative and significant in directing...
5 Reactions
6 Replies
826 Views
Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesaini Mpango wa Jeshi la IDF kuuvamia mji wa Rafah Ni Hatari sana --- etanyahu "approved the plans for action in Rafah," his office said in a...
11 Reactions
103 Replies
5K Views
Vyombo vya habari vya Kizayuni vimetangaza kuwa, wanajeshi 17 wa utawala wa haramu wa Israel wameangamizwa katika mashambulizi ya Harakati ya Hizbullah ya Lebanon. Shirika la habari la Palestina...
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Back
Top Bottom