Kwanini raia wa israel kumilik na kutembea
na bunduki kwao ni kitu cha kawaida?
Kwa walioishi israel
Nadhan wamewah kulishuhudia hili tukio
La raia wa nchi hiyo kutembea na siraha!
Wakati...
Huko india wahindu walikerwa na msikiti uliokuwa jirani na makazi ya watu kuwa unawapigia kelele na kuamua kuubomoa bila kuita serikali
Waislam wa msikiti huo walijaribu kwenda mahakamani kupinga...
Kila mtu anataka kuzamia Marekani, hata Wachina wambao tunaambiwa jinsi uchumi wao umeboreka.....
Chinese migrants flock to U.S.-Mexico border on economic pressures
Their encounters with American...
Lebanon wanaendelea kupokea adhabu kwa ajili ya Hezbollah...
Three civilians were killed in an Israeli strike on a residential building in the south Lebanon city of Nabatiyeh this evening, a...
A distinguished researcher and academic, Nikolaos Tzenios boasts extensive expertise in public health, medical research, and education.Read More
But who is Nikolaos Tzenios?
Nikolaos Tzenios'...
$60 billion Ukraine
$14 billion for Israel
$9 billion Gaza + West bank
$4.83 billion Taiwan
---
Senate gives $60 billion for Ukraine, $14 billion for Israel, $9 billion in humanitarian assistance...
Ndugu zetu wenye uchungu na Waarabu tunaomba kidogo muelekeze macho yenu kwa hawa weusi wenzetu wanaoteseka.
Humu utakuta kunao hata wa dini yenu kama dini ndio hufanya mkomalie kuwalilia Waarabu...
Nigeria inatafuta usaidizi wa Interpol ili kuwakamata washukiwa Watatu wanaodaiwa kuiba Dola 6.2m (Tsh. Bilioni 15.1) kutoka Benki Kuu ya Nigeria kwa kutumia sahihi ya kughushi ya aliyekuwa Rais...
Jana nilipost ugunduzi wa madini ya RE-E rare earths nchini marekani Jimbo la Wyoming.
Kuna baadhi ya watu walibisha kwamba marekani ni waongo. Hawana hayo madini. Nilijiuliza sana uwezo wa Hawa...
Japan ilitumbukia katika mdororo wa kiuchumi bila kutarajiwa mwishoni mwa mwaka jana, na kupoteza yake kama taifa la tatu kwa uchumi duniani kwa Ujerumani na kuzua mashaka kuhusu ni lini benki kuu...
Habari wana JF,
Kwa wanaojua Kifaransa kuna clip nimekutana nayo inaonesha mtoa hotuba amechukizwa na matamshi ya Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron, na ameishtumu Ufaransa kubwa ni nchi...
Jimbo LA Wyoming nchini Marekani wamegundua madini ya aina ya rare earths. Haya madini ni ya kimkakati sana katika tasnia ya sayansi na technology.
Ugunduzi wa 2.3 billion tons unaifanya Marekani...
Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema angependelea urais wa Joe Biden badala ya Donald Trump kabla ya uchaguzi wa Marekani mwezi huu wa Novemba.
Bwana Biden alikuwa mtu mwenye uzoefu zaidi...
Kwa madiba na ubora wao katika uharifu wa "cash in transit heist".
Infact ni kwamba kazi ya kusafirisha pesa kwenye magari huko SA ndio imekuwa the most dangerous job maana roho yako inakuwa juu...
idadi ya wa iran iliyopo kitakwimu 5000 na ikadiliwa kuongeza south afrika. nacho jiuliza wameipendea nini south africa.
Unamkumbuka huyu mama anayetishiwa na waisraeli .kumbuka miliki nyingi za...
[emoji599][emoji599][emoji599][emoji599][emoji599][emoji599][emoji599][emoji599][emoji599][emoji599][emoji599][emoji599]Israe inajutia kitendo cha kishambulia kwa kuvizia Nchini Lebanon sasa...
Kila vita vya Gaza vinavyokuwa vikali na kuzidi kuangamiza watu na unafiki wa nchi nyingi duniani unazidi kudhihirika.
Sauti za kutetea zimekuwa zikisikika sana kutoka Ulaya na Marekani ijapokuwa...
Wed 14 February 2024
Kansas City, Missouri
https://m.youtube.com/watch?v=mk9H0c7aOjE
Katika Paredi ya Super Bowl kusherehekea ubingwa timu ya nyumbani ya Kansas City Chiefs mjini Kansas City...
King Abdullah mfalme wa Jordan alikuwa White House
Amefanya mazungumzo wa raisi Biden kuhusu special operation ya kivita Kati ya Israel na HAMAS
Amemuomba raisi Biden kwamba Israel isitishe...
Baada ya ukimya wa muda mrefu hatimae Misri imetoa tamko kwamba iwapo Israel itashambulia eneo la Rafah basi itafuta mkataba wake wa muda mrefu uliotiwa saini baina yao.
Mkataba huo uliotiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.