International Forum

News and Stories from rest of the World
Ramani ya kwanza inayotumika kueneza uwongo, ila ramani ya pili ndio yenye uhalsia
3 Reactions
26 Replies
2K Views
Vita vikali vya maneno vimetokea kwenye bunge la knesset nchini Israel baina ya wabunge wahafidhina wa kiyahudi na makundi ya ndugu za mateka wanaokisiwa 247 walioko Gaza. Mapambano hayo...
4 Reactions
22 Replies
1K Views
Miaka 600 iliyopita, baharia wa China Zheng He aliongoza kikosi cha majahazi kusafiri hadi kwenye pwani ya mashariki ya Afrika mara nne, na kwamba Njia ya Hariri Baharini ilishuhudia historia...
0 Reactions
0 Replies
521 Views
Ghaziabad (Uttar Pradesh) [India], Juzi Novemba 19 Ndege ya pili ya Jeshi la Anga la India (IAF) C17, iliyokuwa na tani 32 za msaada kwa raia huko Gaza iliyopatikana katika vita vinavyoendelea...
1 Reactions
2 Replies
517 Views
Tarehe 20 Novemba ni Siku ya Maendeleo ya Viwanda Barani Afrika. Ikiwa ni sehemu muhimu ya ushirikiano wa kirafiki kati yake na Afrika, China imewajibika kuzisaidia nchi za Afrika kuendeleza...
2 Reactions
0 Replies
278 Views
Wafanyabiashara watano huko Accra wamekamatwa na polisi kwa kushindwa kujiandikisha kwenye Tume ya Ulinzi wa Data (DPC) na kuvunja Sheria ya Ulinzi wa Data. Wafanyabiashara hao ni wawakilishi wa...
0 Reactions
1 Replies
923 Views
Wapiganaji wa Palestine wameteka vifaru vya Israel wakati wanarudi nyuma kutoka Gaza, pia Wapiganaji Hao wamewateka na Wanamgambo wa Israel waliozidiwa mapigo pic.twitter.com/p2Nxk1Yixf The...
8 Reactions
43 Replies
4K Views
Kutana na mwamba wa kuitwa 'The Madman' ambaye ameshinda uchaguzi wa urais wa Argentina. Huyu mwamba ni mfuasi wa mrengo mkali wa kulia ambaye anamu-inspire sana "Madman" mwenzake Donald Trump...
7 Reactions
28 Replies
2K Views
Hawa jamaa wa hezbullah hawana mchezo naona wao wameamua liwalo na liwe. Leo wameshambulia na kuharibu kabisa kambi ya kijeshi ya wazayuni Birnit huko kusini mwa Lebanon. Israeli imekua...
8 Reactions
162 Replies
8K Views
Azov Brigade ya Ukraine inatambuliwa na ulimwengu wa magharibi kama mashujaa walinzi wa Ukraine ila Hamas wana tambulika kama kundi la kigaidi kutoka Palestine. Ulimwengu wa Kimagharibi wakiamua...
9 Reactions
42 Replies
2K Views
Magaidi wamekuwa walalamishi kwa visingizio kibao, eti IDF anapiga sana watoto na wake zao, kwa nini asiwapige wao tu? Wanasema hivyo, huku wakijificha sehemu ya watoto na wake zao, sasa wanataka...
7 Reactions
16 Replies
1K Views
Naona mkuu wa HAMAS anasema yupo kwenye hatua za mwisho kuishawishi Israel isitishe mapigo kwa siku tano na yenyewe itaachia mateka 100. Japo wanajifichia kwenye mgongo wa misaada, ila kimkakati...
1 Reactions
26 Replies
2K Views
Ndugu watu wa Jf amani ya Bwana ikae nanyi. Awali ya yote naomba ninukuu 1Samweli 15: 2 - 3 iwe ndio msingi wa mada yangu. 2 - Bwana wa majeshi asema hivi "Nimeyatia moyoni mwangu mambo hayo...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Itoshe tu kusema Happy Birthday Joe Biden Mungu wa Mbinguni ambariki!
1 Reactions
8 Replies
497 Views
Wakati wagombea urais wa Tanzania wakitoa Sh5 milioni kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano, kwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) wagombea urais wanatakiwa kuonyesha risiti ya malipo ya...
2 Reactions
2 Replies
316 Views
Kwanini ukristo kupitia ukatoliki na dini washirika iliamuru kushika upanga na kuchinja wale wote wasiowaamini huko Ulaya na sehemu nyingine duniani? Nakaribisha wajuvi wa mambo.
6 Reactions
121 Replies
5K Views
FORCE OF IRON Major General Tomer Bar made the chilling warning in an TV address today Pichani :Meja Generali Tomer Bar ametoa Onyo kwenye Televisheni leo Israel vows they are ready to bomb...
15 Reactions
73 Replies
6K Views
Wayahudi, idadi yao ni ndogo sana, japo kuna wakati walikuwa wengi kidogo. Mwaka 1939, kabla ya vita kuu ya Dunia, idadi ya Wayahudi ilifikia 15.3 million Hitler aliwaua Wayahudi wapatao milioni...
11 Reactions
63 Replies
4K Views
Wajumbe 300 wa Umoja wa Mataifa wamelazimika kutazama unyama uliofanywa na HAMAS na kilichosababisha Gaza ichezee kichapo, ni video zilizokua zinachukuliwa na HAMAS wenyewe kwa walivyo wapumbavu...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Clemens Matanga ni kijana wa miaka 22 tu aliyekuwa Israel akitafuta Elimu yake kwa ajili ya kulisaidia taifa na familia yake kwa ujumla. Bahati mbaya tarehe 7/10 alitekwa na magaidi wa Hamas...
15 Reactions
127 Replies
7K Views
Back
Top Bottom