International Forum

News and Stories from rest of the World
Ilipo Africa Kusini basi Tanzania tupo kwani sisi ndio tuliwasaidia kupata Uhuru Tumtakie kila la Kheri Rais Ramaphosa katika huo mkutano muhimu sana wa Viongozi 20 wa Dunia Nawatakia Sabato Njema 😄
0 Reactions
10 Replies
727 Views
Salaaaam, Shalom! Uchokozi kati ya wafilisti na Waisraeli haukuanza leo, kupata ukweli hasa wa swali la mada hapo juu, inabidi tupitie maandiko. Pia usomapo thread hii, uwe na uwezo...
6 Reactions
127 Replies
6K Views
Hili suala tulikuwa tunalisema humu kuwa Congress kuna mvutano kuhusu misaada ya Ukraine mpaka kuchochea kuenguliwa kwa aliyekuwa spika wa congress bwana Mccarrhy. Hatimaye ikulu ya Marekani...
1 Reactions
3 Replies
694 Views
Hii leo muda mfupi kuanzia sasa malori 20 ya misaada yataanza kuvuka mpaka wa Misri na Gaza kupeleka misaada kwa Wapalestina waliozingirwa Gaza. Misaada hiyo itakuwa ni ya mwanzo na aliyoitaja...
2 Reactions
19 Replies
1K Views
Mojawapo ya mataifa yenye nguvu za kiuchumi duniani Urussi wameingua makubaliano ya kuanza ujenzi wa 'Siberia 2' ikiwa ni bomba litakalosaidia kuongeza mauzo ya nishati hiyo toka Gazprom kwenda...
6 Reactions
17 Replies
2K Views
Salaam wanajamvi! Leo nimekamilisha kusoma kitabu cha Martin Luther kuhusu Wayahudi kwa mara ya tatu. Kwa yaliyomo kitabuni nimegundua kuwa viongozi wa kikristo wanamtazamo mkali dhidi ya...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
HAMAS walihojiwa na kuomba vita viishe waingie kwenye majadiliano, ila Israel inaendelea kupelekea moto na imechukua na kukalia eneo lote la Gaza na imeamua kufanya kitu ambacho kitakua suluhu kwa...
13 Reactions
120 Replies
13K Views
Watu wameandamana ndani ya Majengo ya bunge la Marekani kupinga mauaji ya Israel dhidi ya wapalestina huko Gaza!
4 Reactions
39 Replies
2K Views
Taasisi ya Kutetea Waandishi wa Habari (CPJ) imesema Waandishi 22 waliopoteza maisha kutokana na vita inaendelea iliyoanza Oktoba 7, 2023, Raia wa Palestina ni 18, Israel (3) na Lebanon (1). CPJ...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Wengi wamehojiwa na kusema kwa walivyopokewa yaani hawajaona upendo kama huo kwa muda mrefu. Hongereni sana Wakristo kwenye hilo kanisa, waonyesheni inawezekana kuishi na watu bila kuwachinja kwa...
29 Reactions
205 Replies
9K Views
Baada ya mwanajeshi wa Misri kuwaangamiza, sasa wanajeshi wa Israel wanagwaya kutumwa mpaka wa Misri Baadhi ya duru za kuaminika za utawala wa Kizayuni zimetangaza kuwa, wanajeshi wa Israel wana...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Tumeona wachezaji kadhaa waliojitokeza kulaani mauaji ya Israel dhidi ya Wapalestina huko Gaza wakitishiwa kufukuzwa kwenye klabu zao na kusimamishwa, haswa Ujerumani ambapo zaidi ya wachezaji...
7 Reactions
56 Replies
3K Views
Nipo zangu nje na shangaa Kila kukicha hakuna zaidi ni kuku tu na kitimoto. Nikajiuliza tatizo ni nini? Ufugaji wa mifugo kama ng'ombe sio kama kwetu Yani mazingira Yao ufanya kuwa hadimu na...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Iran amekuwa wazi ya Israeli ni uovu usiokubalika na wao kama nchi hawatakuwa watazamaji. Israel kaamuriwa na baba yake, hakuna kuivamia Gaza isije kuwa taabu Bure! Aachie maji na mafuta haraka...
14 Reactions
133 Replies
7K Views
The Israeli military has confirmed that 126 people are currently being held as hostages by Hamas, IDF spokesman Richard Hecht has said. It was initially estimated that some 150 Israelis and...
6 Reactions
40 Replies
4K Views
Baada ya hospitali maarufu kupigwa bomu hapo jana na wagonjwa na madaktari 500 kuuliwa, leo imekuwa ni zamu ya kanisa na misikiti iliyojaa wakimbizi kuripuliwa na majeshi ya Israel. Hayo...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Tume ya Umoja wa Afrika imekuwa muhanga wa uhalifu wa mtandaoni baada ya matapeli kutumia akili bandia ili kumuiga mkuu wa tume hiyo Moussa Faki na kuilenga miji mikuu ya nchi za Ulaya. Huu...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Jibwa hili linalojulikana kama Commander ameshang'ata wafanyakazi wa ikulu karibia mara 15 Kabla ya Commander, Biden alikuwa na mbwa mwengine aliyeitwa Champ ambaye alikufa akiwa na umri wa miaka...
3 Reactions
41 Replies
3K Views
Ni jambo rahisi sana kuwaambia na kuwaaminisha waafrika kuwa kuna nchi pale mashariki ya kati imebarikiwa na jamaa anaye itwa Mungu wakakuelewa na kukubaliana nawe na wakaipenda na kuijali kuliko...
6 Reactions
17 Replies
834 Views
Kinachoendelea Ulaya baada ya mchezaji wa Mpira Kareem Benzema kuonesha kuwa anaisupport Palestina — France officially accuses him of being member of the Muslim Brotherhood — MP in France wants...
10 Reactions
71 Replies
6K Views
Back
Top Bottom