International Forum

News and Stories from rest of the World
Huku uvamizi ukiwa tayari kuanza muda wowote, Israel wanaendelea na fagia fagia za HAMAS, wanafyeka sio mchezo. =========================== The Israeli military said it killed a Hamas commander...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Wana JF leo nimeamua kuanza kuielezea North Korea. Kuna watu wengi sana wanaijua North Korea kwa mambo hasi(Negatives) kutokana na propaganda nyingi sana za watu wa magharibi. Nitaongelea...
20 Reactions
382 Replies
18K Views
Operesheni bado iko pale pale.... ======= The evacuation of residents from the Gaza border town of Sderot is set to begin in the coming hours. The municipality emphasizes that evacuation is not...
0 Reactions
9 Replies
966 Views
Mvua kubwa iliyonyesha kusini mwa Burundi imesababisha vifo vya watoto wanne baada ya kanisa walimokuwa kuporomoka huku watu wengine 15 wakijeruhiwa siku ya Jumapili, kulingana na afisa wa eneo...
2 Reactions
5 Replies
959 Views
Waziri wa diplomasia za kimataifa wa ujerumani Nancy feaser amesema wanaoliunga mkono kundi hilo wanapaswa kutimuliwa kutoka ujerumani Hotuba hiyo imeungwa mkono lars kingbel kiongozi wa chama...
10 Reactions
24 Replies
1K Views
Kwa kinachoendelea Huko Gaza, sijui itakuaje kwa ukanda huo wa Gaza na Palestina, maana inaonekana vigogo wote na mataifa yenye nguvu kubwa duniani kiuchumi, kisiasa na kijeshi Kama vile China...
9 Reactions
65 Replies
8K Views
Rais Cyril Ramaphosa wa South Africa ametangaza kuwaunga mkono Wapalestina huku alisema kwamba wanaadhibiwa Kwa kupigania Ardhi Yao ubaguzi kutoka Kwa Mabeberu wa Kiyahudi (occupation and...
4 Reactions
14 Replies
886 Views
Kikosi cha jeshi cha Hizbollah ni kikosi cha waislamu wa dhehebu la Shia ithna asharia kinachopata mafunzo na udhamini kutoka kwa jamhuri ya kiislamu ya Iran. Ikifika tarehe 14 Agosti 2016...
1 Reactions
9 Replies
7K Views
Wizara ya ulinzi ya Israel imetoa masaa 24 kwa raia wote waishio upande wa Gaza Kaskazini kuondoka mara moja. Raia hao wameamriwa kuelekea upande wa kusini mwa Gaza haraka iwezekanavyo. Taarifa...
2 Reactions
6 Replies
837 Views
I do predict that we are at Edge of World War 3 if the UN Organization continues it's failure like previous before world War 2. This Organization has showed up a huge difference, and weakness...
1 Reactions
1 Replies
609 Views
Baada ya mashambulizi makali ya kundi la wanamgambo wa Kipalestina la Hamas dhidi ya Israel, ambayo yamezua mshtuko katika eneo zima, bingwa wa ngumi wa kimataifa Floyd Mayweather ameonesha...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Israel walitoa amri watu waondoke Gaza, amelfu wakatii ila kunao wengi waliona kama mkwara wakabaki, wamelipuliwa wakaanza kutoka nduki, miili ya watoto imetapakaa pembezoni mwa barabara, inataka...
12 Reactions
36 Replies
3K Views
Hizi meli ni zenye uwezo mkubwa sana tena ikiwemo kubeba mindege ya kisasa ya kivita, Marekani kazisogeza hapo ili kuhakikisha hakuna kenge ataingilia kati wati Israel inatembeza kichapo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
“One would have to be almost hopelessly naïve to buy the corporate state media line that the Hamas invasion was an Israeli “intelligence failure”. Mossad is one of, if not the, most powerful...
0 Reactions
1 Replies
410 Views
Tatizo lilopo Palestina ni la muda mrefu kutokea kwenye unyakuzi wa maeneo yaliyokuwa ya wapalestina kufanywa taifa la Israel. Pia unyakuzi wa maeno zaidi ulioendelea kufuatia vita mbali baina yao...
6 Reactions
86 Replies
5K Views
Kwa mara nyengine viongozi wa Iran wameionya Israel iache unyama wake inaoufanya huko Gaza haraka kabla haijakumbwa na tetemeko la upinzani. Kauli hiyo imetolewa na Iran huku wanamgambo wa...
12 Reactions
102 Replies
9K Views
Yafatayo ni mahojiano na Miko Peled. Mwanaharakati Myahudi wa Israel na Marekani Miko Peled anaelezea kile Israel inakifanya na kwa nini wanafanya hivyo. Pia anaelezea baadhi ya historia yake...
1 Reactions
6 Replies
771 Views
Waziri wa fedha wa Ukraine amelalamika kuwa rafiki zao wa magharibi wameanza kupoteza focus yabkuisaidoa nchi yake kwa sababu ya matatizo yanayotokea mashariki ya kati. Aliyasema hayo leo kwenye...
0 Reactions
4 Replies
629 Views
Hitler ni moja ya madikteta maarufu kuwahi kutokea duniani. Alizaliwa April 20 1889 nchini Austria karibu na mpaka wa Germany na Australia. Sababu kuu ya kuwaua wayahudi ni baba yake Adolf...
6 Reactions
183 Replies
27K Views
Waandishi walioko mstari wa mbele kwenye vita ya waisrael na magaidi ya Hamas, wanasema wanasikia sauti za mamia ya wanamgambo wa hamas wanaopiga kelele za uchungu. Ikumbukwe raia wema wanaopenda...
4 Reactions
8 Replies
965 Views
Back
Top Bottom