Watu 12 wamekamatwa katika Maandamano hayo akiwemo Katibu Mkuu wa Umoja wa Waandishi wa Vyombo vya Habari vya Guinea (SPPG), Sekou Jamal Pendessa, kwa pamoja wameitisha Maandamano wakiitaka...
Kuna taarifa kuwa wanamgambo kutoka Iraq na Iran wamekuwa wakimiminika kwenye mipaka ya Israel hasa upande wa Lebanon.Pamoja nao ni malori yenye shehena za silaha.
'Very clear' Iran is moving...
Waziri wa Fedha Olawale Edun, ambaye pia ni Mratibu wa Uchumi, amesema Baraza limetoa baraka hiyo kwa lengo la kufanya marekebisho ya Sera ili kukuza Uchumi ambao umeatajwa kuwa kwenye mdororo kwa...
Mkutano wa tatu wa kilele wa ushirikiano wa kimataifa wa Ukanda Mmoja, Njia Moja utafanyika Beijing. Ikiwa moja ya nchi 52 za Afrika ambazo zimesaini kumbukumbu ya maelewano ya ushirikiano katika...
Kipindi chote ambapo Marekani imekuwa taifa kubwa ushawishi wa wayahudi nchini humo umekuwa mkubwa. Ushawishi wa Marekani nao kutoka na nguvu za kiuchumi umeweza kudhibiti hata mawazo na tamaduni...
Kuna hili andiko la kiislamu linaloonekana kuamrisha Wayahudi wachinjwe hadi ambao watakuwa wamejificha nyuma ya mawe, je inawezekana kuwa sababu za hizi chuki?
sahih muslim 2921
Abdullah b...
Hivi karibuni Wananchi wengi wa Iran walianza kusanuka na system iliowajenga kwa miaka na miaka. Wamekuja kugundua wao wanatumika kama instruments za sera za chuki na unyonyaji za mamlaka ya Iran...
Baada ya siku za hivi karibuni kuhusishwa na mpango wa kutuma wanajeshi kwenda kujiunga na Hezbollah kuipiga Israel, uongozi wa Taleban umejitokeza na kukanusha tuhuma hizo.
Taleban imetamka wazi...
Wengi tunatazama mgogoro wa Palestine na Israel katika sura ya kidini,ila ukweli ni kua kinavhogombaniwa hapo ni ardhi na pia maslahi ya nchi kama Marekani na wabia wake kwenye kulinda maslahi yao...
Licha ya mazungumzo ya kutosha na Bwana Blinken Misri wamwgoma kupokea Wakazi wapatao 600 wa Gaza wenye uraia Pacha wa Palestina-US.
Misri wamwgomea hilo wakidai kuwa bila kuruhusiwa kwa misaada...
Kwenye kitabu cha Matayo 21:42-46, Yesu akawaambia, Hamkupata kusoma katika maandiko, Jiwe walilolikataa waashi, Hilo limekuwa jiwe kuu la pembeni;
Neno hili limetoka kwa Bwana,
Nalo ni la ajabu...
Umoja wa Mataifa (UN) umedai kuwa umejulishwa na Jeshi la Israel kuwa Wakazi wa Gaza Kaskazini wanatakiwa kuwa wameondoka eneo hilo ndani ya Saa 24.
UN imesema jambo hilo ni gumu kutekelezeka kwa...
Safari ya Antony Blinken mataifa ya kiarabu baada ya kuanza kuomboleza na Israel imegeuka dhidi ya matarajio yake.
Alipofika kwa Rais wa Misri ambaye huenda ndiye wanayemtegemea nambari moja...
Martti Ahtisaari
Rais wa zamani wa Finland, Martti Ahtisaari, ambaye alikuwa mpatanishi mashuhuri wa amani, amefariki akiwa na umri wa miaka 86. Martti ambaye pia alikuwa ni mshindi wa Tuzo ya...
Protase Rugambwa ni kati ya Makardinali watatu pekee kutoka Afrika waliopewa Hadhi ya kuwa Makadinali wa Kanisa Katoliki leo Septemba 30, 2023.
Baada ya kupokea hadhi hiyo, Rugambwa ambaye ni...
Mazungumzo yanaendelea vizuri sana,. Inasemekana HAMAS wamekubali kwa masharti kuwa Israel waache kushambulia Majengo na kuuaraia, pia misaada ya kibinaadamu iruhusiwe kuingia uwanja wa vita.
Mi...
Raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo watapiga Kura za Kuchagua Rais, Wabunge na Wawakilishi wa Mabaraza ya Majimbo ambapo Kampeni rasmi kwa Wagombea wote zitaanza Novemba 19, 2023.
Kati ya...
Egypt, nchi ya kiarabu iliyopo Afrika inayopakana na Nchi ya Palestina kwa upande wa Kaskazini imekataa kabisa kuwapokea wanawake, watoto, vijana wasio wanajeshi pamoja na wazee kutoka Gaza
Siku...
Daniel Naboa
Mfanyabiashara huyo wa chama cha mrengo wa kati-kulia, mwenye umri wa miaka 35, atakuwa rais wa kwanza mwenye umri mdogo zaidi Ecuador. Lakini anakabiliwa na changamoto kubwa.
Baada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.