International Forum

News and Stories from rest of the World
1. Huu ni muungano usio na vigezo(criteria) thabiti kwa ajili ya kuiingiza nchi kuwa wanachama. Ili muungano uwe imara kama ulivyo azima uwe na vigezo thabiti vya nchi kukidhi kabla ya kukubaliwa...
7 Reactions
12 Replies
1K Views
Ilikuwa makelele moja kwa moja ooh, mwamba Putin atatinga Sauzi kwenye mkutano wa BRICS. Kwamba hatishiki wala kukuruka. Ajabu na kweli tumesubiri wee hakuna cha Putin, Yeriko wala wale...
6 Reactions
50 Replies
3K Views
Habari kutoka Vatican City papa Fransisco ameomba apewe nafasi ya kujiunga na "global South " kama mwangalizi. Wachambuzi wa medani za kimataifa wanahofu kuwa huwenda ombi lake likagonga mwamba...
11 Reactions
119 Replies
7K Views
Urusi imepoteza wanajeshi 260,820 nchini Ukraine tangu ilipoanzisha uvamizi wake mwishoni mwa Februari 2022, Mkuu wa Jeshi la Wanajeshi la Ukraine amedai. Takwimu hazijathibitishwa na ni tofauti...
4 Reactions
11 Replies
939 Views
Prigozhin ahofiwa kufariki katika Ajali ya Ndege Watu 10 wameripotiwa kufariki kwenye ajali hiyo ya ndege Watanzania tumuombee apumzike kwa amani! Source: Al jazeera ==== Kwa mujibu wa Idara...
18 Reactions
469 Replies
48K Views
Rais wa zamani Donald Trump anasema atajisalimisha kwa mamlaka katika jimbo la Georgia siku ya Alhamisi kujibu mashtaka katika kesi inayomtuhumu kwa kupanga njama kinyume cha sheria, ya kugeuza...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Ikulu ya Urusi (Kremlin) imekanusha vikali kuhusika kwa namna yoyote na ajali ya ndege inayosemekana kumuua Mkuu wa kundi la mamluki la Wagner, Yevgeny Prigozhin, ikisema tuhuma hizo ni uzushi...
10 Reactions
27 Replies
2K Views
Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Zimbabwe (ZEC) imetangaza kuwa Kiongozi huyo aliyeingia Madarakana mara ya kwanza mwaka 2017 kwa kumpindua Robert Mugabe, ametetea Kiti chake kwa 53% ya Kura...
1 Reactions
25 Replies
2K Views
DILEMMA ni Ile hali ya kujikuta njiapanda ukiwa na pande mbili,tatu, au zaidi hambazo zote zinaitaji sana attention yako kwa wakati huohuo Ni bahati mbaya sana hii Hali ndio inawakumba watetezi...
6 Reactions
11 Replies
1K Views
Warusi wanaishi maisha ya kukazia macho angani muda wote Russia blocks fresh drone attack on Moscow, says mayor Russia reported a new drone attack on Moscow in the early hours of Saturday which...
2 Reactions
5 Replies
887 Views
Sasa BRICS itakuwa na wanachama 11 wenye sifa zifuatazo ● BRICS itakuwa na mataifa 6 kati ya 9 ambayo ni wazalishaji wakubwa wa mafuta na gesi duniani. ● BRICS itakuwa na mataifa ambayo yana 80%...
35 Reactions
148 Replies
10K Views
Mamlaka ya huduma za dharura na zile za usalama zimewataka raia na wageni mjini Makkah kuchukua tahadhari husika ili kujilinda na dhoruba ya upepo mkali, mvua na mafuriko iliyoikumba mji huu wa...
3 Reactions
22 Replies
4K Views
1. Umoja wa Ulaya (EU) Huu ndio mfano wa umoja wa nchi bora zaidi kuwahi kutokea duniani. Wana pesa yao yenye nguvu na heshima duniani. Wana vigezo thabiti vya kujiunga na umoja huo, hakuna...
6 Reactions
25 Replies
2K Views
Mafanikio makubwa yamepatika Kusini Ukraine na kwamba ngome za Urusi zimemungunyuka na kupoteana hivyo wanazidi kusonga mbele kwa haraka haraka kukomboa ardhi yao
6 Reactions
17 Replies
1K Views
Mahamakama ya Uhalifu wa Kivita, ICC walitoa order ya kumkamata Putin popote atapoenda. Sasa yupo Afrika Kusini, tunasubiri wamkamate. Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
24 Reactions
150 Replies
10K Views
Huu ndiyo ukweli hata kama ni mchungu. Siku Urusi au Uchina, au Iran mojawapo ikawa ndiyo inasimamia maslahi ya ulimwengu wetu huu, dunia itageuka kuwa uwanja wa kuchinjana na mwenye nguvu mpishe...
22 Reactions
107 Replies
4K Views
Bado dunia iko kwenye kizungmkuti cha kinachoitwa kifo cha Boss wa Wagner PMC Prigozhin na wenzake katika ajali ya ndege. Huyu mwamba aliwahi kufeki kifo chake hivihivi kwa jina lake kuonekana...
12 Reactions
49 Replies
4K Views
Reuters yasema kuwa leo Urusi imeipelekea Ukraine moto mkali mno na kuchoma vibaya vituo vya kijeshi vya Zelensky. Mashambulizi ya anga yamechoma uwanja wa ndege wa kijeshi pamoja na ndegevita...
9 Reactions
30 Replies
3K Views
Kupitia ripoti yao, Waangalizi kutoka Ujumbe wa Umoja wa Ulaya (EU EOM) wamesema Uchaguzi huo ulikuwa na Uminyaji wa Haki, Ukosefu wa Fursa Sawa na Mazingira Magumu kwa Wapiga Kura. EU EOM...
0 Reactions
9 Replies
988 Views
Back
Top Bottom