International Forum

News and Stories from rest of the World
Takriban watu sita wameuawa na zaidi ya 50 kujeruhiwa katika mlipuko uliotokea katikati mwa jiji kubwa la Türkiye, Rais alisema. Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan ametangaza kuwa mlipuko...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Kwa mujibu wa taarifa ya Waziri Mkuu, #ShehbazSharif shambulio hilo liliwalenga Polisi waliokuwa Ibadani katika #Msikiti ulioko ndani ya eneo la Makao Makuu ya Polisi na lenye ulinzi mkali...
0 Reactions
23 Replies
1K Views
Tukio hilo limehusisha magari mawili katika Jimbo la Hiraan ambapo Kundi la Al-Shabab likidaiwa kuhusika. Milipuko hiyo iliyokuwa na nguvu kubwa imetokea kwenye gari na katika eneo la soko ambapo...
0 Reactions
23 Replies
1K Views
Tukio hilo limeacha watu wengine watatu wakijeruhiwa katika Mji wa Neve Yaakov ambapo Polisi wameelezea kuwa hilo ni shambulio la kigaidi na ni baya kutokea katika miaka ya hivi karibuni. Vyombo...
1 Reactions
30 Replies
2K Views
Wanajeshi 17 wa niger wauwawa kwenye shambulio mpakani na chad kutoka kwa makundi yenye silaha. Makundi mbalimbali yenye silaha kama isil hufanya shughuli zake maeneo hayo. Kwa mujibu wa...
1 Reactions
5 Replies
872 Views
Hawa watu na dini yao sijawahi kuwaelewa, wanaua maskini waafrika wenzao..... No fewer than 29 fishermen have lost their lives to suspected Boko Haram terrorists while fishing in the Lake Chad...
4 Reactions
38 Replies
2K Views
Polisi imesema mlipuko huo umetokana na bomu la kujitoa mhanga lililotokea Kaskazini Magharibi mwa Pakistan Zaidi ya 100 wamejeruhiwa kati yao 17 hali zao ni vibaya, katika shambulio...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Iraq imejenga ukuta kwenye mpaka wake na Syria ili kuzuia wanajihadi wa kundi la Islamic state kujipenyeza, chanzo cha jeshi la Iraq kimesema Jumapili. Katika hatua ya kwanza ya ujenzi, ukuta wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Video ya IS yasemekana kuonyesha mauaji ya wakristo wa Nigeria Kundi la Islamic State limechapisha video ambayo inasadikiwa kuonyesha raia 20 waumini wa Kikristo wakiuawa katika jimbo la Borno...
5 Reactions
490 Replies
21K Views
Makumi ya Wakristo waliuawa na kujeruhiwa katika shambulio la wapiganaji wa Islamic State ndani ya kanisa moja mashariki mwa Kongo. Kongo - Kivu Kaskazini - Shirika la Amaq: juzi, mlipuko mkali...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Serikali ya #Marekani imesema Wanajeshi wake wamefanikiwa kumuua #BilalalSudani ambaye ni kiongozi wa Kikanda wa ISIS pamoja na viongozi wengine waandamizi 10 katika shambulio la kushtukiza...
7 Reactions
36 Replies
3K Views
Hawakusubiriwa wamalize mfungo wa ramadhani kabla kuwahishwa mbele za haki... In an operation that saw the joint forces make a surprise attack on an ADF camp in the thick forests South West of...
3 Reactions
8 Replies
919 Views
Suspected Allied Democratic Forces militants, an insurgent group with ties to the "Islamic State," have killed at least 36 people in an overnight attack in eastern Congo. Rebels killed at least...
2 Reactions
29 Replies
2K Views
Watu 50 wameuawa katika shambulizi la vikundi vya waasi katika Jimbo la Seno Kaskazini mwa Burkina Faso, ambapo washambuliaji hao wamehusishwa kuwa na uhusiano na vikundi vya Al-Qaeda na ISIL...
0 Reactions
3 Replies
662 Views
Serikali ya Mali imesema raia wa kawaida 132 wameuawa baada ya vikundi vya waasi wanachama wa kundi lenye silaha la Katiba Macina linalotajwa kuwa na uhusiano na Kundi la Al-Qaeda kuvamia vijiji...
0 Reactions
3 Replies
728 Views
Zaidi ya saa moja baada ya jua kuchomoza tarehe 31 Julai, mkuu wa muda mrefu wa kundi la al-Qaeda Ayman al-Zawahiri alitoka kwenye balkoni ya eneo la katikati mwa jiji la Kabul - inaripotiwa kuwa...
1 Reactions
5 Replies
829 Views
Ripoti ya Jeshi la Nigeria iliyotolewa leo Agosti 8, 2022 imeeleza taarifa ya kuuawa kwa kiongozi wa Kundi la Boko Haram, Alhaji Modu ‘Bem Bem’ baada ya kufanyika kwa mashambulizi ya anga. Mbali...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Mashambulizi yaliyofanywa na ndege isiyo na rubani na mizinga yameua Wanajeshi 42 Nchini Mali katika shambulizi la Waasi Nchini humo. Serikali ya Mali imesema katika shambulizi hilo lililotokea...
0 Reactions
11 Replies
722 Views
Tukio hilo limetokea Kaskazini mwa Iran karibu na Mji wa Kirkuk ikidaiwa Kundi la IS limehusika. Bomu lililipuka kwenye gari lililobeba askari hao karibu na Kijiji cha Chalal al-Matar, kisha...
0 Reactions
5 Replies
828 Views
Baada ya drone kumuua Mmarekani mmoja Syria, Marekani walijibu kwa kushambulia ngome ya magaidi wa Iran na kuua kadhaa.... US airstrikes killed eight pro-Iran fighters in eastern Syria following...
2 Reactions
19 Replies
1K Views
Back
Top Bottom