Kwa ngome ya supapawa kupasuliwa licha ya miezi yote waliyotumia kujichimbia na kujihami sio kitu cha mchezo, wazalendo wa Ukraine wanasonga mbele kwa mbele.....
===========================...
Hii nchi imevuka malengo na kupitiliza kuwa taifa lenye nguvu za kijeshi mashariki ya kati
Kwa sasa Iran ni mwamba mashariki ya kati, sidhani kama kuna taifa lolote mashariki ya kati lina ubavu...
According to a video published on the Twitter account "Ukraine Weapons Tracker" on August 1, 2023, Russian forces have destroyed the first Ukrainian IRIS-T SLM air defense missile system using...
Mwanamitandao huyo aliyejizolea umaarufu kwa kuzungumza masuala yaliyonekana kuwakwaza baadhi ya Watumiaji Mitandao, ameshinda Rufaa ya Kesi ya Ubakaji, Biashara ya Binadamu na Unyanyasaji...
Walinzi wa Ikulu ya Niamey nchini Niger, wamemuweka kizuizini rais wa nchi hiyo, Mohamed Bazoum huku wanajeshi wa nchi hiyo wakiizingira ikulu katika kile kinachotajwa kuwa ni jaribio la kumpindua...
Kundi la wanafunzi wa udaktari kutoka Sudan wamekaribishwa nchini Rwanda kuendelea na masomo baada ya vita ya wenyewe kwa wenyewe kuibuka katikati ya mwezi Aprili, mwaka huu.
Chuo Kikuu cha...
Yaani mpaka unamfikia kumuua kamanda utakua umefagia wanajeshi kama senene...jameni Urusi nani atawaokoa...
Enzi za kunyang'anyana ardhi ziliisha, hatupo kwenye zama za kale ambapo mvamizi alikua...
Nimeona katika vyanzo mbalimbali vya habari kuhusu mkutano wa Putin na watawala wa Africa uliofanyika huko St.Petersburg ambao wengi waliususia na kupeleka wawakilishi tu tena wengi wakiwa maafisa...
Mahakama imetoa adhabu hiyo dhidi ya Saïd Boukioud aliyekosoa uamuzi wa Serikali ya Mfalme Mohammed VI wa kurejesha na kuimarisha uhusiano wa Kidiplomasia na Serikali ya Israeli.
Boukioud...
Juzi meli ya uingereza imelipuliwa ikiwa inashusha silaha badari ya odesa. Yameshushwa mabom 4 ya kilo haswa. Kwa video nlivtoona hayo mabom sijui ni aina gani maana ni kama limelipuka ila linatoa...
Burkina Faso na Mali kwa pamoja zimewaonya Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Kiuchumi ya Afrika Magharibi (ECOWAS) kwamba wakithubutu kuvamia Nchi ya Niger ili kuwakabili Wanajeshi waliompindua Rais wa...
Wiizara ya Ulinzi ya Marekani, Pentagon, imetangaza kuwa wanajeshi 1,000 wa nchi hiyo wametumwa tena nchini Niger.
Televisheni ya CNN imetangaza kuwa, afisa wa Pentagon ametangaza kuwa takriban...
Kileta bahati cha Michezo ya Kimataifa ya Wanafunzi wa Vyuo Vikuu ya Majira ya Joto ya Chengdu “Rong Bao” kimepata jina la Kiswahili la “Jasiri”, ambalo linaonesha matarajio ya watu wa Kenya kwa...
Mamlaka ya Senegal imechukua uamuzi huo ikiwa ni katika mwendelezo wa kupunguza nguvu ya wapinzani, siku chache tangu kumweka kizuizini kiongozi wa upinzani.
Mgogoro wa kuwania madaraka kati ya...
Milionea wa Zimbabwe atazikwa na utajiri wake na watakaohudhuria kuvalia mavazi meupe.
Marafiki wa milionea raia wa Zimbwabwe, Genius Kadungure aliyejulikana kama Ginimbi kwa muktadha wa...
Wanaharakati wamefunika sehemu ya mbele ya jengo hilo kwa kitambaa cheusi
Wanaharakati wamepanda juu ya paa la nyumba ya waziri mkuu katika eneo bunge lake la NorthYorkshire kupinga vibali vipya...
Ndoa ya Waziri Mkuu wa Canada imefikia ukomo baada ya Miaka 18 toka ilipofingwa mwaka 2005.
---
Justin Trudeau and his wife Sophie Gregoire-Trudeau have announced they are separating after 18...
Malalamiko kuwa vita vya kukomboa majimbo ya Ukraine sasa yako wazi kutoka kila upande.Kutoka kwa raisi wa Ukraine,makamanda wake ,askari wa kawaida na hata kutoka nchi za NATO ambazo zilichangia...
Naibu Imamu ameuawa baada ya kundi la Wahindu wenye misimamo mikali ya mrengo wa kulia kuteketeza na kufyatua risasi msikiti mmoja katika kitongoji cha mji mkuu wa India, New Delhi, saa chache...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.