International Forum

News and Stories from rest of the World
Hii video hapa chini inaonyesha namna Warusi kwenye mji wao mkuu wanakipata freshi, Zelensky amewaambia mpaka hapo walipofika hamna jinsi ila kuhakikisha Warusi pia na wao wanapokea, itabidi...
5 Reactions
17 Replies
1K Views
Kitendo cha serekali kumpa mtu ambaye ni muislamu mhamiaji kutoka Syria kuchoma biblia na torah nje ya ubalozi wa Israel kama njia ya kulipiza kisasi kwa kuchomwa quran nje ya ubalozi wa Iraq...
3 Reactions
35 Replies
2K Views
Argentine court starts trial of Catholic bishop accused of sexual abuse By Agustin Geist BUENOS AIRES, Feb 21 (Reuters) - The trial of a Roman Catholic bishop accused of sexually abusing young...
5 Reactions
100 Replies
6K Views
Kadiri unavyotaka kuujua kwa undani zaidi mkoa wa Xinjiang Uygur, China, ndivyo mkoa huu unavyoendelea kukuacha mdomo wazi, na kama ulidhani kwamba unaujua vizuri, basi kuna mambo mengi ya...
1 Reactions
2 Replies
416 Views
Hiki ndio kinawasumbua kumbe na ndio kimesababisha Putin aamue tu bora jeshi lake liishe lote tu. Hapa kiaina kuna kaukweli maana Urusi imepoteza hadhi yote mpaka hapo, na ikishindwa kabisa na...
5 Reactions
3 Replies
897 Views
External Pressure followed by a range of sanctions now looming for KK regime. What ODM oughtn't to do is to let go Ruto's lame-duck governance that now cost Kenya in terms of bloodshed. ODM...
2 Reactions
8 Replies
756 Views
Akizungumza katika Mkutano wa Kimataifa wa bunge uliopewa jina la "Russia-Africa in a Multipolar World", Raisi Putin alitangaza kuwa Urusi imefuta madeni ambayo nchi hiyo inayadai baadhi ya...
20 Reactions
55 Replies
3K Views
Mji wa Karamay uliopo mkoani Xinjiang, China, ni mojawapo ya maeneo yenye maajabu makubwa ya kiikolojia duniani. Tangu enzi na dahari mji huu ulihifadhi hazina iliyokuwa tuli kwa mamilioni ya...
4 Reactions
1 Replies
585 Views
Wahenga wanasema tembea ujionee. Ikiwa hii ni mara ya pili kutembelea mkoa wa Xinjiang Uygur, nimebaini kwamba hata utembee mara ngapi katika sehemu mbalimbali za mkoa huu, basi hakika hamu...
2 Reactions
1 Replies
378 Views
Hii picha inaonyesha uharibifu wa drones ndani ya Moscow, kwa kifupi Warusi wanaishi kwa hofu ya kuangza macho angani muda wote, yaani mjini kati, tena mji mkuu.... Putin alisema Urusi ikiguswa...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Baadhi yetu tukìwa tunaendelea kumtetea USA na NATO ambao wamekua wakiiba rasilimali kila siku Putin kama rais wa Urusi ametoa msamaha wa dola 23 bilioni kwa nchi za Afrika! NB: wenda wewe...
2 Reactions
26 Replies
1K Views
Egypt is on the verge of overtaking Nigeria to clinch spot as Africa's Economic Powerhouse. Kwa miaka Mingi Baba wa Uchumi wa Africa alikuwa South Africa kabla ya kupitwa na Nigeria miaka 4...
0 Reactions
36 Replies
2K Views
Rais wa Urusi Vladimir Putin amemzawadia mwenzake wa Zimbabwe helikopta ya Rais, kwa mujibu wa wizara ya habari ya Zimbabwe. Zawadi hiyo itatolewa hivi karibuni, taarifa hiyo iliyowekwa kwenye...
11 Reactions
46 Replies
4K Views
CHANZO CHA PICHA,AFP Maelezo ya picha, Rais wa Niger Mohamed Bazoum Maelezo kuhusu taarifa Author,By Tchima Illa Issoufou & Cecilia Macaulay Nafasi,BBC News, Niamey & London 29 Julai 2023, 10:27...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
FORTUNE GLOBAL 500 -The Fortune Global 500, also known as Global 500, is an annual ranking of the top 500 corporations worldwide as measured by revenue. The list is compiled and published annually...
2 Reactions
3 Replies
505 Views
Dozens of extremists from Germany have travelled to the war zone since the beginning of the full-scale Russian invasion of Ukraine, the Interior Ministry said in response to a question from the...
3 Reactions
6 Replies
792 Views
Walichoambulia ni Urusi kutoa ahadi ya kutuma chakula Somalia na mataifa mengine tano, chakula chenyewe kiduchu yaani tani 25,000 ukizingatia umaja wa Mataifa (UN) hutuma tani 725,000 Afrika hii...
0 Reactions
3 Replies
696 Views
Wapiganaji wa Wagner nchini Belarus wanaweza kujifanya wahamiaji na kuingia EU, Waziri Mkuu wa Poland Mateusz Morawiecki ameonya. Wagner pia wanaweza kunaweza kuchangia uhamiaji haramu kutoka...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Vita vya kisasa vimebadilika sana, yaani drone inatumika kuondoa mfumo wa gharama hadi inafikirisha sana..... Waafrika haya mambo ya drones sijui tumejiandaaje. Footage shared on social media...
0 Reactions
9 Replies
744 Views
Donald Trump ametangaza azma yake ya kuwania urais kwa mara ya tatu, katika jaribio nadra sana la kiongozi wa zamani wa Marekani kutaka kuingia tena Ikulu ya White House baada ya kushindwa katika...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom