International Forum

News and Stories from rest of the World
Wakuu Russia-Africa Summit imebuma huko ambapo Wakuu wa Nchi 17 tuu wamehudhuria Mkutano huo. Rais wa Urusi Putin ametoa lawama Kwa Wazungu Kwa kudai eti inawadanganya Waafrica.🤪🤪🤪🤪 Wakuu wa...
4 Reactions
45 Replies
3K Views
Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema anatazamia kuona Umoja wa Afrika (AU) unakuwa mwanachama kamili wa mataifa ya G20, akizungumza wakati wa kuanza kwa mkutano wa viongozi wa Afrika mjini St...
10 Reactions
28 Replies
2K Views
Top 7 ways the the Globalists plan on reducing the World population by 50% or more over the next few years. 1. Vaccines, especially the Covid jabs, reduce the population by injecting known...
0 Reactions
1 Replies
421 Views
Huu ndiyo ukatili wa hali ya juu unaoendelea huko Palestina na huku Dunian ikifumbia macho haya yote.
5 Reactions
30 Replies
2K Views
Mahakama Kuu imewaondoa Wagombea 12 wa Ubunge kutoka Chama kikuu cha upinzani nchini humo (CCC) kushiriki katika uchaguzi Mkuu wa mwezi Agosti kwa kigezo cha kuwa maombi yao yaliwasilishwa baada...
1 Reactions
5 Replies
569 Views
Sio kawaida kwa huyu jamaa kukiri kipigo, ukiona mpaka anaisema ujue mle kwenye medani ni kichinjio cha wanajeshi wake... Putin says Ukrainian attacks have intensified in recent days Russian...
0 Reactions
4 Replies
657 Views
Top 10 largest economies on the continent 2023 1)- Nigeria 🇳🇬 - $477 Billion 2)- Egypt 🇪🇬 - $477 Billion 3)- South Africa 🇿🇦- $406 Billion 4)- Algeria 🇩🇿 - $192 Billion 5)- Morocco 🇲🇦 -...
4 Reactions
61 Replies
5K Views
Jeshi la Niger kupitia televishen ya taifa limetangaza kupindua serikali ya nchi hiyo. Shughuli site za serikari zimesimamishwa na mipaka ya nchi imefungwa. ====== Wanajeshi wa Niger wadai...
6 Reactions
59 Replies
5K Views
Wafuasi hao wameshambulia makao makuu ya Chama cha Rais aliyepinduliwa na kuchoma moto, kupiga mawe na kuchoma magari yaliyokuwa nje ya jengo husika. Wakati hayo yakitoka Jeshi la Niger nalo...
0 Reactions
1 Replies
925 Views
Katika kile kinachooneka Poland kuimarisha mipaka yake dhidi ya kitisho chochote cha usalama kutoka Belarus, Rais Putin wa Urusi ametoa kauli ya hovyo ya kibabe kwamba sehemu ya Magharibi ya...
18 Reactions
130 Replies
8K Views
Urusi ilitegemea kutumia hii hafla kuonyesha uungwaji mikono na dunia, ila imetengwa....na inazidi kutengwa na pia kupokea kichapo kutoka kwa kataifa kadogo jirani hapo.... Russian President...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Jenerali wa Sudan, Yassir al-Atta, amekataa kwa lugha ya vitisho pendekezo linaloongozwa na #Kenya la kupeleka Wanajeshi wa kulinda amani wa Afrika Mashariki, kusaidia kumaliza vita kati ya...
4 Reactions
33 Replies
3K Views
Bakhmut inandelea kuwa kichinjio cha Warusi, wamefia sana pale na wanasogeshwa nyuma, hivi kwenye vitabu vyao vya historia, itaandikwa walifia nini hapo Bakhmut maana hivi karibuni wataondolewa...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Hiki Kiherehere kipo sana tu na Maeneo mengine labda alichofanya huyu Mwanajeshi kitakuwa Funzo Kwenu. Taarifa Kamili: Aljazeera.com === A soldier in the northeastern Democratic Republic of the...
-1 Reactions
10 Replies
1K Views
Imeriporitwa drones kadhaa zimefanya mashambulizi huku nyingine ikitunguliwa katikati kabisa ya jiji la Moscow. Urusi imeitupia Ukraine lawama kwa shambulio hilo lilifonyika karibu na majengo ya...
11 Reactions
35 Replies
2K Views
Ni karibu miaka sita tangu Marekani izushe mgogoro wa kibiashara kati yake na China, na kuubazita mgogoro huo jina la vita ya biashara kati ya China na Marekani, wakati uhalisia wake ni vita ya...
2 Reactions
0 Replies
648 Views
Mwezi Julai mwaka huu unatajwa na wanasayansi kwa tabia nchi kuwa ni kipindi ambacho dunia imeshuhudia viwango vikubwa sana vya joto katika historia. Hali hii imefanya baadhi ya wanasayansi...
0 Reactions
0 Replies
410 Views
Habarini wanajukwaa, Leo nilikuwa navuka na kivuko cha MV Kamanga upande wa Kamanga katika Ziwa Victoria ilikuwa mnamo majira ya saa nane alasiri. Uwezo wa kivuko ni kubeba abiria 150 ila Kwa...
10 Reactions
56 Replies
4K Views
New Delh. Tesla has expressed an interest in building a factory in India that would produce low-cost electric vehicles (EVs) for the local market and for export, sources said Tesla...
0 Reactions
0 Replies
743 Views
Ghana imeingia katika orodha ya Nchi za Afrika ambazo zimeiondoa hukumu hiyo miaka ya hivi karibuni. Taifa hilo lina Wanaume 170 na Wanawake 6 ambao walihukumiwa kifo lakini adhabu yao sasa...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom