Jeshi la Polisi la Afrika Kusini limethibitisha kutokea kifo cha mpelelezi huyo mkongwe anayefuatilia kesi ya Thabo Bester anayetuhumiwa kwa mauaji na ubakaji akijulikana kwa jina la “Mbakaji wa...
Katika nchi wanachama za BRICS za Africa Kusini na Brazil mahusiano ya kishoga na ndoa za jinsia moja zinaruhusiwa kwa katiba na sheria za nchi hizo.
Katika mataifa ya India na China ushoga sio...
Kwa ufupi, makao makuu ya shirika la kijasusi ya Ukraine leo yamepigwa kiberiti na makombora ya Urusi.
Zaidi soma hapa: Russian strikes targeted ‘decision-making centers’ – MOD
A 160-year-old Massachusetts church was completely destroyed by a six-alarm fire Friday after the historic building was reportedly struck by lightning.
Firefighters were called to the First...
Muda umefika wa vijana wa Ukraine kuchukua kilicho chao, walichoachiwa na mababu zao, mito yao, milima yao, mashamba yao, ni mwendo wa mbele kwa mbele, nitawahabarisha humu hadi basi furaha hadi...
ANC, Chama tawala cha muda wote nchini Afrika Kusini kimeazimia kujitoa katika mahakama ya ICC sababu mojawapo ikiwa ni mahakama hiyo kutoa waranti ya kukamatwa kwa Putin, Rais wa Urusi.
Hayo...
Ndege ya abiria iliyoundwa Iran yafanyiwa majaribio kwa mafanikio
Ndege ya abiria na mizigo ya iliyopewa jina la Simorgh imeundwa kikamilifu na wataalamu wa Shirika la Viwanda vya Anga la Wizara...
Slava Ukraini
Urusi ni wazi kuwa toka ukomunisti uanguke haina Jeshi imara tena ndio maana wakakodi Wagner Group kuwasaidia kupigana na Ukraine
Hii vita imefichua siri za Jeshi la Urusi kuwa...
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amesema mauaji yametokea katika shambulizi la Al-Shabab kwenye kambi ya walinda amani wa Umoja wa Afrika Nchini Somalia.
Wiki iliyopita Museveni alisema kumetokea...
Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeitaka Serikali ya Sudan kutoa maelezo kuhusu shambulio hilo lililofanywa katika eneo linalokaliwa na Wananchi wasio na Silaha ikiwemo...
Habari wana jamvi.
Maandamano makubwa yanaendelea Senegal nzima baada ya kiongozi wa upinzani Ousmane Sonko kuhukumiwa kifungo cha miaka miwili jela kwa kosa la kulaghai watoto chini ya miaka 21...
Huyu mzee hehehe eti ndiye tegemezi la Warusi na anavyofyatuka.... asema hizo ni ndoto za mchana
Russia's claims that its military had inflicted massive casualties on advancing Ukrainian troops...
‘Large-scale’ Ukrainian offensive repelled – Russian MOD
Kiev’s troops have unsuccessfully attempted to break through the front line in Donbass, the Defense Ministry in Moscow has said
FILE...
Tume ya Biashara ya Shirikisho (Federal Trade Commission) imedai kuwa kuanzia 2015 hadi 2020, Microsoft ilikusanya taarifa binafsi za watoto wa chini ya miaka 13 ambao walijiandikisha kwenye mfumo...
Je, Uamuzi wa Russia kuivamia Ukraine ni mbinu au mkakati ulioshindwa (Strategic Failures)? hili ni swali linahitaji majibu.
Sababu mojawapo iliyotolewa na Russia kwa kuhalalisha uvamizi wake...
Wakuu habari za majukumu
Nimeona Kwa takribani majuma kazaa jukwaa letu limejaa nyuzi za kujilipua namimi nikasema ngoja nijaribu kuandika chochote kuhusu kuingia USA nilichojifunza Kwa Nigeria...
Haya yamesemwa na kiongozi wa Wagner, ambaye kila siku anatoa matamko baada ya kukimbia mapambano ya Bakhmut
June 2 (Reuters) - Russian mercenary boss Yevgeny Prigozhin, who has been arguing with...
Msharau wa Moise Katumbi, Solomon askadela kalonda Jumamosi alikamatwa na Jeshi la Kongo kwa tuuma za kutaka kupindua serekali ya Felix Tshisekedi kwa kushirikiana Na kikundi cha M23 pamoja na...
Mauaji hayo yametokea katika vijiji sita Kaskazini mwa Nigeria, eneo ambalo hukumbwa na ghasia za uhalifu na mapigano kati ya jamii mara kwa mara.
Wakazi kutoka vijiji viwili kati ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.