International Forum

News and Stories from rest of the World

JF Prefixes:

Kwa wanaofuatilia siasa za Mozambique, hali ni mbaya kwa chama tawala cha Frelimo pamoja na serikali iliyoko madarakani. Baada ya uchaguzi kuisha na serikali kujitangaza kushinda kwa wastani wa...
34 Reactions
248 Replies
10K Views
Jamaa ni jeshi kamili siku wakipata hiyo two state solution wakaanzisha vita Israel anaweza asichomoke ni Bora aendelee kukaza 😂
4 Reactions
89 Replies
3K Views
Sijajua vimetumika vigezo gani. Lakini nadhani TZ ilipaswa iwe ya kwanza au angalau kwenye 3 bora.
4 Reactions
57 Replies
2K Views
SIMULIZI YA RAIS PAUL KAGAME: MKIMBIZI ALIYEONJA JOTO YA JIWE NA KUWA RAIS WA RWANDA ( SEHEMU YA 1) Na, BRIGHT KAROLI. Ijapokuwa ni mmoja kati ya mwanajumuiya ya Watusi, ameonekana kuunganisha...
11 Reactions
21 Replies
6K Views
Mzuka wanajamvi! Kagame kapeleka majeshi yake Central African Republic haraka haraka kwa kisingizio cha kuleta amani na kusaidia serikali ya sasa isipinduliwe na waasi kuelekea uchaguzi mkuu...
10 Reactions
30 Replies
4K Views
Nimechagua kua upande wa kagame kwa kua na sifa zote za kiongozi bora anazo loyal kwa watu wake wa Rwanda anaiweka rwanda kwanza na watu wake hutu and tuts na sio maslahi binafsi Intelligence, ni...
4 Reactions
34 Replies
479 Views
Kundi la wazungu 288, waliokuwa wakioigana vita na M23 upande wa DRC, leo wametolewa kwenye kambi ya MONUSCO huko Goma, kuelekea mpakani mwa Rwanda na DRC. Wakisindikizwa na jeshi la M23, kundi...
4 Reactions
68 Replies
3K Views
© ITAOUA Burkina Faso has launched its first 100% homemade electric vehicle, ITAOUA, produced at a cutting-edge plant in Ouaga 2000, a well-known residential district in Burkina Faso, with...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
CHIMBUKO KUU LA VITA NA MAPIGANO NCHINI CONGO DRC. Ni muhimu sana kuelewa historia kujua kwanini hadi sasa kuna vita hizi na mapigano haya. Ndani ya nchi ya Congo DRC kuna makabila mengi ikiwa ni...
2 Reactions
2 Replies
557 Views
Ana umri wa miaka 41. Ni raisi wa nchi ya el Salvador, nchi ndogo iliyopo Latin America. Ni raisi machachari kwelikweli. Siku za nyuma nchi hii ilikuwa na rekodi ya kutisha kabisa ya matukio ya...
3 Reactions
29 Replies
1K Views
🇨🇩#RDC: Jeshi la Afrika Kusini linatangaza kwamba limefaulu, pamoja na FARDC na washirika, kusimamisha maendeleo ya muungano wa M23/RDF kuelekea Goma: "Vikosi vya maadui vya M23 vilikuwa...
26 Reactions
213 Replies
9K Views
Kwa namna yeyote ile ni lazima Tanzania ihakikishe amani inapatikana congo na Rwanda. Nchi zote mbili hizi Zina mchango mkubwa katika Uchumi na biashara katika nchi yetu. Tanzania kwa sasa tupo...
2 Reactions
11 Replies
424 Views
Amani iwe kwenu wadau Rais wa Kongo ameenda kuonana na rais wa Angola na amemwomba jeshi likasaidie kuwaondoa m23 Na ameapa inyeshe mvua lipige jua lazima awaondoe M23 Kibabe sana Tuendelee...
5 Reactions
21 Replies
902 Views
Nchi kuwa kubwa, na dhaifu halafu kuwa na makao makuu pembezoni ni hatari sana kwa usalama wake. Kwa nchi zetu hizi kadri unavyozidi kuwa mbali na Capital City ndivyo unavyozidi kusahaulika. Na...
6 Reactions
27 Replies
959 Views
Aliahidi ndani ya saa 24 za kua ofisini atasitisha vitaa ya Ukraine, ila mpaka sasa ni kama ameshaona moto ni mkali sana. Zaidi alivyoondoa misaada Ukraine ndio Russia itajipigia zaidi. Huyu mzee...
0 Reactions
3 Replies
264 Views
Amani kwenu wakuu Watu wameona kuendelea kumwachia MUNGU haiwezekan wameamua watende wenyewe, maana wameona MUNGU mwenyewe hampi ukichaa yule jamaa aliye choma Quran bali anazidi kudunda na...
18 Reactions
180 Replies
4K Views
Nahisi mgogoro wa congo ni zaidi ya tunavyoelezwa,ila hakuna anaetaka kusema ukweli. 1) Dhana ya wizi wa madini, Mnashangaa sana Kwa Nini wanunuzi wakubwa wa madini na rasilimali za congo kwa...
4 Reactions
3 Replies
362 Views
Lawam nyingi zimeelekezwa kwa Donald Trump Rais wa Marekani kufuatia ajali mbaya ya ndege iliyotokea jimbo la Virginia ambapo ndege ya abiria imegongana na helicopter ya jeshi na kuua watu zaidi...
4 Reactions
24 Replies
1K Views
Ilikuwa katika Press Conference kujadili air accident kati ya ndege na helicopter. Reporter mmoja mwanamke kutoka Africa akamuuliza Trump maoni yake kuhusu mgogoro uliopo Congo Trump akasema...
3 Reactions
10 Replies
551 Views
Vipi wakuu. Ki ukweli inashangaza sana raisi wa nchi ambayo ina jeshi, polisi na serikali, lakini anakosa kupata habari za kiintelejensia kuhusu kile kinachoweza kumtokea mbeleni endapo atataka...
13 Reactions
155 Replies
29K Views
Back
Top Bottom