International Forum

News and Stories from rest of the World
Huko nchini Nigeria Kamanda wa Polisi wa jimbo la Ekiti amethibitisha kwamba mwanamume mmoja ambaye ni mganga wa Kienyeji amefariki baada ya kushiriki ngono na mke wa Mchungaji kwenye hoteli moja...
8 Reactions
53 Replies
4K Views
Wizara ya masuala ya kiislamu ya Saudia ilitangaza sheria mpya za Ramadhani ambazo zinawakera Waislamu wengi duniani kote. Wizara ya hiyo ilitoa kanuni na vizuizi vya kuadhimisha mwezi mtukufu wa...
20 Reactions
166 Replies
9K Views
Waziri wa Mambo ya Nje wa China Qin Gang hivi karibuni alisema mtazamo na maoni ya Marekani kuhusu China yamepotoshwa sana, na uhusiano kati ya nchi hizo mbili una hatari ya “kuacha njia”. Kabla...
1 Reactions
4 Replies
879 Views
Federal Reserve Bank imesema itakopesha Bank kadhaa $2 tril ili kusaidia kuondokana na mdororo wa mabenki. Tayari mabenki kadhaa yamefungwa kutokana na mdororo uliochangiwa na uwekezaji mbovu...
6 Reactions
30 Replies
929 Views
Uamuzi huo umetangazwa na Rais Lazarus Chakwera ambaye pia ameagiza Bendera kupepea Nusu Mlingoti kwa siku 7. Hadi sasa zaidi ya Watu 19,000 wamepoteza makazi yao na wengine hawajulikani walipo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Rais wa China Xi Jinping amepitishwa rasmi kuiongoza nchi hiyo kubwa inayoendelea kwa awamu ya tatu mfululizo. Tangu alipoingia madarakani mwezi Machi mwaka 2013, Xi Jinping amesisitiza mara kwa...
1 Reactions
2 Replies
597 Views
Waandishi wa habari wawili kati ya wanne walioshikiliwa baada ya kusambaa kwa video ikionesha suruali aliyovaa Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir Mayardit ikiwa imelowa hadharani ikitafsiriwa kuwa...
0 Reactions
1 Replies
831 Views
Mwanaharakati ambaye pia ni Mtangazaji wa Redio na Televisheni, Mohamed Youssouf Bathily maarufu kama #RasBath anakabiliwa na mashtaka kadhaa yakiwemo ya kuvuruga utulivu wa umma. Anadaiwa kusema...
1 Reactions
3 Replies
941 Views
Muendelezo wa wataifa kubwa lenye akili nyingi kushinda dunia. Mnakumbuka USA baada ya kushtuka chip zake na kurudusha nyumbani ili kuwa siri sasa urusi kashindwa kudukua vifaa vilivyo kamatwa...
0 Reactions
3 Replies
914 Views
Moja kwa Moja kwenye mada. Angola imesema itatuma Wanajeshi kwenda DRC Congo kufuatia kutoheshimiwa Kwa makubaliano ya kusitisha amani Kati ya M 23 na Wanajeshi wa Serikali.. Angola kama...
4 Reactions
66 Replies
3K Views
Hi hawa wazungu wanatuonaje Africans. Ila ameshushuliwa vizuri.
5 Reactions
5 Replies
932 Views
Mamia ya wafuasi wa Upinzani wameanza maandamano ya Siku 3 kupinga hatua ya Rais Macky Sall wa Senagal kupanga njama za kubadili Katiba Ili kumuwezesha Kugombea muhula wa 3. Wafuasi hao wengi...
1 Reactions
3 Replies
564 Views
Kimbunga hicho kinachoambatana namvua na upepo mkali kimesababisha mafuriko na uharibifu wa makazi na miundombinu na kuna uwezekano wa kongezeka kwa madhara zaidi. Mashirika ya misaada yanaonya...
0 Reactions
0 Replies
944 Views
MAOFISA WA NATO NA MAREKANI WAUAWA NA URUSI MJINI KIEV NCHINI UKRAINE Mashambulizi ya ndege za anga za Urusi yaliyofanywa tarehe 09/03/2023 yaliweza kuvunja mahandaki mjini Kiev kwa makombora...
12 Reactions
53 Replies
4K Views
Marufuku hiyo ni kuanzia leo Machi 14, 2023 baada ya Shirika la Kitaifa la Kudhibiti Ubora, Ushindani na Ulinzi wa Walaji (Rica) kusema kuwa nyama ambayo haijawekwa kwenye jokofu ina vimelea...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Idadi ya waliofariki upande wa #Malawi ni 99 na 10 kwa Msumbiji wakati 16 wakiwa hawajulikani walipo Nchini Malawi. Inaelezwa kutokana na mvua kubwa inayoambatana na upepo mkali zaidi ya nyumba...
0 Reactions
2 Replies
945 Views
Mahakama ya Rufaa ya Kazi Nchini humo imeamuru Wahudumu wa afya kurejea kazini na kusitisha mgomo ulioathiri utoaji na upatikanaji wa huduma katika baadhi ya hospitali kubwa. Tangu wiki...
0 Reactions
0 Replies
737 Views
Sioni dalili ya kuisha hii Vità Leo au Kesho làkini vitazidi kusambaa. Na wakati huu Viongozi wa Afrika hasa ukanda wa Jangwa la Sahara kama hawatakuwa na maamuzi ya Hekima Kuna Hatari maisha...
6 Reactions
16 Replies
1K Views
Maelfu ya madaktari wa ngazi ya chini waliojiunga hivi karibuni katika taaluma hii wapo kwenye mgomo kote Uingereza wakidai malipo bora, ambapo wameanza siku tatu za usumbufu mkubwa katika...
3 Reactions
2 Replies
789 Views
Kulingana na Bhutan Live,India na Bhutan zina uhusiano maalum wan chi mbili na Bhutan ina sehemu kubwa zaidi ya bajeti yake inayotengwa kwa ajili ya wizara ya mambo ya nje(MEA) chini ya misaada na...
1 Reactions
1 Replies
501 Views
Back
Top Bottom