Wizara ya Elimu imepiga marufuku kuwekwa kwa miziki, nyimbo ama picha za video zinazokwenda kinyume na maadili, mila, desturi na tamaduni katika mabasi yanayotumika kusafirisha watoto kuwapeleka...
SPIKA wa Bunge la Marekani, Kevin McCarthy amekataa mwaliko wa Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskiy wa kuzuru taifa hilo, CNN imeripoti.
Licha ya changamoto za kivita wanazokutana nazo Ukraine...
Katika masaa saba yaliyopita wale wanaanga wa crew 5 walianza safari ya kurudi nyumbani duniani baada ya kumaliza mission yao ya miezi sita katika kituo cha anga za mbali
Kila kitu kilikuwa sawa...
Bosi wa Wagner Prigozin sasa ametangaza rasmi kuikalia Bakhmut. Hata mkuu wa NATO naye japo hajasema kwa wazi naye amekubali kazi ya Bakhmut imeisha kwani yeye ametabiri kuanguka kwa Bakhmut baada...
MAMLAKA YA MAREKANI YAYAOMBA KWA SIRI MAKAMPUNI MAKUBWA YA BIASHARA KUENDELEA KUSAFIRISHA MAFUTA YA URUSI.
Waswahili husema, "mbio za panya, uishia ukingoni". Marekani inaanza kukubali kuwa Urusi...
Wageni weusi kutokea mataifa kutokea mataifa mengine Afrika waanza kuikimbia Tunisia baada ya rais kufyatuka na kuwalaumu kwa wao kujaribu kubadilisha kizazi cha watu wa Tunisia (ambao ni waarabu)...
Rais Cyril Ramphosa amesema hatambui Maisha ya Kifahari ya Mawaziri baada ya Kiongozi wa Chama cha Upinzani cha Democratic Alliance (DA) John Steenhuisen, kumhoji ikiwa ni haki kwa Mawaziri...
Elon Musk's Neuralink's request to begin testing brain chips in humans has been rejected by the FDA, citing safety risks including overheating and potential damage to brain tissue.
The company...
AZERBAIJAN YAFYATA MKIA KWA IRAN.
Balozi wa Azerbaijan Mukhutar Muhammadov amekataa katakata kuhusiana na taarifa za nchi yake kuipa Israel ardhi yake kuishambulia Iran.
Balozi huyo aliyasema...
URUDISHAJI WA MAHUSIANO MEMA KATI YA SAUDIA NA IRAN NI PIGO KWA ISRAEL NA MAREKANI.
Saudi Arabia leo hii imemaliza sintofahamu yake baina yake na Iran na nchi hizo mbili zimekubaliana kufungua...
Nigeria waliojiandikisha kupiga kura ni milioni 87, waliopiga kura ni milioni 25 tu sawa na 29% au theluthi moja tu ya wapiga kura wote! Hii inamaanisha watu milioni 62 hawakuona umuhimu wa kwenda...
Political Martyrdom lingering.
March 20, 2023 Afro writes new history by militancy.
Ruto must go on 20th March, 2023.
Ramaphosa must go on 20th March, 2023.
These confirm that Autos-da-fe...
Wachambuzi wa masuala ya kisiasa Nchini Malaysia wamesema kwamba kukamatwa kwa waziri mkuu wa zamani Muhyiddin Yassin, Alhamisi hakushangazi , lakini ni jukumu la serikali kuonyesha kwamba kesi...
Wave of Russian strikes: At least 11 people are dead and more than 20 injured following a barrage of Russian strikes against critical infrastructure across Ukraine, according to regional...
🚩 “Rwandans sio maadui wetu, ni dada na kaka zetu, adui yetu ni Kagame na Serikali yake, nawaambia wanyarwanda mnahitaji msaada wetu ili muwe huru, nahitaji sasa kuwasaidieni dhidi ya mu imla...
Serikali ya Rais Xi Jinping kupitia Bunge la Kitaifa la Wananchi (NPC), imetangaza ongezeko la Bajeti ya Kijeshi kwa zaidi ya 7% mwaka 2023, huku ikionya kuhusu vitisho vinavyoongezeka.
Bajeti...
Hivi kuna nini Bakhmut hadi Warusi wameamua kujitoa mhanga almradi wasiipoteze, wanauawa kila siku lakini wamekomaa kishenzi hadi wanatia huruma, jameni mbona Putin atakua na wakati mgumu kueleza...
Mahakama Kuu nchini Ghana imetoa adhabu hiyo kwa Genge la Watu hao baada ya kuwakuta na hatia ya kuwaibia na kuwabaka baadhi ya Wafanyakazi wa Kujitolea wa #Uingereza huku wakiwa wamewaelekezea...
IRAN AND RUSSIA SECRET NUCLEAR DEAL WOULD ALLOW URANIUM TRANSIFER TO TEHRAN.
International Atomic Energy Agency (IAEA) wamesema kwamba, Iran inakaribia kutengeneza mabomu ya nyuklia pamoja na...
Kimbunga hicho ambacho kimetokea Kaskazini Magharibi mwa Australia zaidi ya siku 30 zilizopita kinaendelea na kina uwezekano wa kuweka rekodi ya kuwa kimbunga kilichodumu muda mrefu zaidi.
Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.