[emoji1078][emoji632]
Wakati ambapo matarajio ya Wakongomani walio wengi yakiwa ni kumsikia Rais wa Ufaransa akiilaumu angalau Rwanda waziwazi kwa uvamizi wake dhidi ya Jamhuri ya kidemokrasia ya...
Z-Library ni digital library ambayo imejipatia umaarufu wake Duniani kwa kuwa na nakala za vitabu zaidi ya 11,733,087 pamoja na Articles 84,837,643.
Z-Library pia ina aina za nakala kama...
Urusi ilitegemea kutumia musimu wa baridi kali yenye theluji ili ijaribu kuiparamia Ukraine, ikapiga miundo mbinu ya umeme kwa kutumia mizinga ya kila aina, ila Ukraine wamekomaa mpaka musimu...
Wanadiplomasia wa Marekani na Urusi wamezungumza kwa ufupi pembezoni mwa mkutano wa mawaziri wa mambo ya kigeni kutoka kundi la nchi 20 zilizopiga hatua kiviwanda G20, mkutano ulioshindwa kutoka...
Vanessa Bryant atalipwa na Maafisa wa Polisi na Zimamoto wa Kaunti ya Los Angeles zaidi ya Bilioni 65 za Kitanzania kwa kusambaza Mtandaoni picha za Ajali Mbaya ya Helkopita iliyoua Mumewe na...
Mkuu wa kampuni ya masuala ya kijeshi nchini Urusi, Wagner Group, amesema wapiganaji wake wameuzunguka mji wa Bakhmut mashariki mwa Ukraine, ambao Urusi imekuwa ikijaribu kuutwaa kwa miezi kadhaa...
Mwaka jana wakati wa uvamizi wa Urusi wafuasi wengi wa Putin na washangiliaji wa uvamizi wake walikuwa wakijinasibu kwamba ushindi wa Urusi katika vita utahitimishwa kwa kipindi cha majira ya...
Nilifikiri Moise Katumbi ni mjanja kumbe bado anatumia siasa zile za kupana sijui vitenge sijui mapipi sijui nini
Kuliko kujikita zaidi katika siasa za akili.
Afrika ukiwa chama pinzani hata uwe...
Iran inapumuliwa kote, kwa sasa inafuatiliwa kwa makini, meli yoyote yenye silaha za Iran ni halali ya wababe wa dunia hii....
The British navy seized anti-tank missiles and fins for ballistic...
Mapigano katika mji wa Mashariki mwa Ukraine wa Bakhmut ambayo ni ngome muhimu, yanaongezeka na Rais Volodymyr Zelensky anasema hali huko inazidi kuwa mbaya.
Rais huyo anasema wanajeshi wa Urusi...
Wahamiaji takriban 18 wanadaiwa kufariki na wengine kujeruhiwa wakati umati mkubwa ulipojaribu kuvuka mpaka kuingia eneo la Melilla, Uhispania Kaskazini, baadhi ya waliofariki walikuwa wanadaiwa...
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis amerejea wito wake wa kutaka kusitishwa kile alichokiita vita vya "kipuuzi na kikatili" nchini Ukraine.
Wito huo ameutoa Jumatano mjini...
Ziara hiyo ya Rais Emmanuel Macron imeanzia Nchini Gabon na kufanya mazungumzo na Rais Ali Bongo na baadaye ataelekea Angola, Congo-Brazzaville na DRCongo ambako tayari kumeibuka vurugu za...
There are estimated to be only a few hundred thousand believing Catholics left in the world today. It is believed that even these few do not actually believe in Jesus Christ,but in the doctrine...
Aliyekuwa Mgombea Urais kwa Chama cha Labour Party, Peter Obi ameahidi kupinga matokeo yaliyompa ushindi Rais Mteule, Bola Tinubu wa Chama Tawala cha APC.
Obi alishika nafasi ya 3 amedai matokeo...
Miaka ya hivi karibuni wafuasi wa dini ya Kihindu huko India wamezidi kuchukua mrengo mkali wa kidini kitaifa dhidi ya wafuasi wa dini nyingine na wakosoaji wa dini yao.
Wafuatiliaji wa India...
Tangu juzi Rais Zelensky amesikika akisema hali kwenye mji aliosema hautowaponyoka hata siku moja kuwa ni mbaya na inadorora kwa upande wao kila saa.
Pamoja na malalamiko hayo lakini alikuwa...
Hivi karibuni, puto moja la China ambalo lilifika Marekani kwa bahati mbaya lilisababisha wasiwasi mkubwa kuhusu “tishio la China” nchini Marekani.
Mwishowe, jeshi la Marekani liliangusha puto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.