Ndege za Israel za F-16 na mbili Aina ya F-35 usiku WA kuamkia Leo zimeingia kwenye anga LA Syria na kuvurumisha makombora kwenda mji mkuu WA Syria Damascus.
Mashambulizi hayo yameharibu makao...
Vyombo vya habari vya Korea Kaskazini vimesema urushaji huo wa makombora ambao uliothibitishwa na jeshi la Korea Kusini, ulikusudiwa kuthibitishwa kutegemewa kwa makombora hayo na uwezo wa kujibu...
Hii kitu sijui kama Serikali wanaona au Maana nimekuwa ni kufikiria nini sababu ya vita hivi huku apande wa sud Kivu ya nchi yetu pamoja na nord Kivu.
Mkono wa Rwanda unaweza ukausika kufanya...
Posted on February 26, 2023
Lee County Republican Party Executive Committee votes on resolution calling for ban of covid vaccine statewide.
Local GOP calls on Governor Ron DeSantis and state...
Hivi sasa nchi za Ulaya zinaendelea kukabiliwa na mgogoro mkubwa wa nishati baada ya nchi za bara hilo kuiwekea vikwazo Russia kwa kisingizio cha vita vya Ukraine.
Mwaka jana, Orbán mara kadhaa...
Mamlaka zinamshikilia Mir Ali Koçer, Mwandishi, wa Habari wa Kujitolea anayetuhumiwa kuweka Mtandaoni taarifa za Uokoaji na hali za Majeruhi wa Tetemeko la Ardhi lililoua takriban watu 50,000...
Putin has said, without providing any evidence, that in the west “even paedophilia is announced as a normal thing.”
He says the west recognizes same sex marriage. He says “That’s fine. They’re...
Zambia mpaka sasa ukifika kuna mabango ya kichina na taratibu za China.
=======
Zambian President Hakainde Hichilema. His government owes $17 billion in external debt, with about $6 billion owed...
Ukanda na ukabila
Kanda ya kaskazini wapo wahausa ambao wanaongoza kwa wingi, hawa ni kama wasukuma hapa kwetu, asilimia kubwa sana ni waislamu, hawa wahausa wengi hawana elimu lakini wanajya...
Chinyere Igwe ameshikiliwa akituhumiwa kutakatisha fedha hizo ambazo ni Dola 500,000 zilizokutwa kwenye gari lake muda mfupi kabla ya Uchaguzi Mkuu.
Polisi wamesema Igwe ni Mwanasiasa wa upinzani...
Rais wa Urusi Vladimir Putin amekuwa akilihutubia Bunge la la nchi hiyo.
Ametumia mwanzo wa hotuba yake kurudia nadharia ambazo amekuwa akitumia mwaka mzima uliopita: anadai kuwa ni Washington...
Mask mandates now revealed to be a complete waste of time, junk science, fraud and dumb but have politicians leanred from the error of their ways?
Friday, February 24, 2023
Late last month, the...
Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump ameahidi kuimaliza vita kati ya Ukraine na Urusi ndani ya saa 24 tu endapo akipewa tena Urais wa Marekani.
Trump ambaye tayari ameonesha nia ya kugombea...
Msemaji Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China — Wang Wenbin Ametoka hadharani na kuzungumza ukweli wote kuhusu uhusika wa taifa la Marekani katika migogoro na uanzilishi wa vita duniani. Wang...
Marekani yasema wamarekani wanaopinga sera za vita za Washington wameandamana kwenda Ikulu ya Marekani (White House) massa kadhaa baada ya Biden kufika Kyiv wakipinga serikali yao kutengeneza na...
Kwa mujibu wa Taarifa ya Ikulu ya #WhiteHouse, ziara hiyo inayoanza leo Februari 22, 2023 inalenga kuimarisha uhusiano kati ya #Afrika na #Marekani, kuangalia hali ya Usalama wa Chakula na...
Tangu tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 7.8 liikumbe Uturuki na Syria tarehe 6 Februari, na kuua zaidi ya watu 44,000, kumekuwa na mamilioni ya machapisho kwenye Twitter yakishiriki habari, picha...
Prigozhin (C) alidai mwezi uliopita kuuteka mji wa Soledar wa Ukraine kabla ya jeshi la Urusi kutangaza kwamba wanadhibiti eneo hilo
23 Februari 2023
Mkuu wa mamluki wa Urusi Yevgeny Prigozhin...
Hivi Africa kweli tulipatiwa uhuru au ilikuwa ni hadaa? Angalia congo watu wake wanavyouawa kisa nchi za magharibi zinataka kuchota Mali kwa kupitia kwa kagame na mseveni thru M23. Hawa M23...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.