Wakati NATO wenzake wanataka vita iendelee, Rais wa Ufaransa anaonekana kutoamini kuwa wana uwezo wa kumaliza vita. Amemuomba Papa awaite warussi na USA wakae mezani kuyamaliza.
Urusi n USA ndo...
Mrussi Kumbe alipita kwenye mshono kwa hesabu kali. Muda Si mrefu wanaingia baridini na hali ni mbaya sana katika kukabiliana na janga hilo.
Nadhani uwanja wa vita utakuwa kama setup ya mwisho ya...
Raia wengi wa Asia(Uarabuni, China, India, Russia, Uturuki, Pakistan n.k) wamepata nafasi za juu na muhimu za uongozi huko West hasa US, Canada na Uingereza na pia katika bara la Amerika ya Kusini...
The Duchess of Sussex anasema majaribio ya ukoo wake yamebaini kuwa yeye ni "43% Mnigeria".
Meghan alimwambia mtangazaji wa kipindi cha mazungumzo cha Nigeria na Marekani Ziwe Fumudoh kwamba...
Waziri wa uwekezaji wa Saudi Arabia Khalid al-Falih ameliambia kongamano la biashara mjini Riyadh kuwa nchi hiyo ya utawala wa kifalme itapata utatuzi juu ya msuguano wake na Marekani kuhusu...
Mauzo ya Nishati hasa gesi kutoka Urusi ya vikwazo kwenda China yamevunja rekodi ya kiwango kikubwa.
Kocha ya mashinikizo toka Magharibi bado na taifa makubwa ya mashariki na mengineyo duniani...
Dubai authorities have announced total rejection of visa applications from Nigerians
It is not any politicians that caused it, it was Nigerians themselves. How will u go to another country and be...
Safi sana, Israeli hajawahi kuchelewa kufanya yake kwa mnyonge wake Iran......takbirrr
The operation that assembled Iranian drones was destroyed in the Israeli missile attack on Syrian territory...
Mapema kabisa kabla ya kuanza rasmi kwa mkutano mkuu wa 20 wa Chama Cha Kikomunisti cha China (CCP), kiongozi wa chama na Rais mstaafuu wa China Hu Jintao alionekana akitolewa nje ya ukumbi kwa...
Kombora limerushwa kutoka kwa ndege ya Urusi karibu na ndege isiyo na silaha ya RAF iliyokuwa ikishika doria kwenye Bahari Nyeusi, waziri wa ulinzi amesema.
Ben Wallace alisema tukio hilo...
Siku hazigandi na hakuna mjanja katika hii Dunia na unapofanikiwa tu wanaibuka maadui na vinaibuka vikwazo.
Hivyo mwaka 1911 Mahakama ya Juu ya Marekani iltoaa agizo kwamba Kampuni ya Standard...
Naomba mnisaidie kama taarifa hizi ni za ukweli maana huyu jamaa anasema nikifika Tehran na usd 100 nitaishi kifalme kwasababu hela yao imepoteza thamani na maisha yamekuwa magumu sana kutokana na...
Hawa ndio viongozi wa juu wa chama cha CCP, yani kamati tendaji ya juu ya chama (Politburo standing committee members), kamati hii ya watu 7 ndio kamati ya utendaji wa chama na serikali katika...
Wakati Urusi inaanza kuparamia Ukraine, ilikua na kila uwezo wa kuteka Ukraine yote kwa siku tano, huu ndio mfano mzuri wa kubwa jinga...
Maustadh mnalo...
Nimewahi kufanya kazi na watu wa jamii hizo mbili na wanaichukia sana hiyo miji iliyopo Saudi Arabia?
Wanasema kwamba Marekani na Israel ndio zilianzisha utaratibu wa kutembelea hiyo miji ili...
NCHI 22 DUNIANI ZATOA MAOMBI KWA IRAN KUNUNUA DRONES ZA KIVITA.
Mshauri wa jeshi la Iran ametamka leo hii kwamba, kuna nchi 22 zimetoa maombi ya kununua drones za kivita nchini Iran. Nchi hizo...
Ukweli ni kwamba mataifa lukuki kwenye umoja wa NATO ambao wanaisaidia Ukraine kwa hali na mali wameshindwa vibaya!
Kwanza waliweka vikwazo kwa maelfu na walitarajia Urusi itakwama fasta!! Maana...
Mindege ya kivita inajiangukia yenyewe sijui inatunguliwa au marubani wamejichokea au wanetu wa Ukraine waliopo Urusi wanafanya yao....
A Russian warplane slammed into a residential building in...
Hawa jamaa wa alshabaab ambao humpigania na kumlinda "mungu" na uislamu wamejilipua mabomu na kuua tisa akiwemo mwanafunzi kule Somalia....
Nine people were killed and 47 wounded Sunday in an...
Double-digit inflation hits another EU member
Economists label surging prices in Denmark a “true nightmare for Danish wallets”
Double-digit inflation hits another EU member
Annual inflation in...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.