Boris aliyekuwa mapumzikoni Visiwa vya Caribbean ameungwa mkono wa Wabunge wa Conservative, atahitaji kupata kura 100 za Wabunge hao ili aweze kuchuana na Rishi Sunak na Penny Mordaunt.
Mchakato...
Putin alishangilia Sana baada ya Boris kujiuzulu ila sasa kabla ya fungate kuisha Borsi huyooo Anarudi kuwa PM..
Putin na Pro Russia wameanza kuziba vizibo.
Update..
Mods futa Uzi Li Boris...
Washington. Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump ameitwa mbele ya Kamati ya Bunge (Capitol Hill) kuhojiwa kuhusiana na vurugu za wafuasi wake waliovamia Bunge wakipinga ushindi wa Joe Biden...
US nuclear industry has a Russia problem
New state-funded atomic energy reactors need the type of fuel only Moscow can provide
US nuclear industry has a Russia problem.
US companies may fail to...
Serikali inaendelea kuua wananchi wake kama jitihada za kumpigania "mungu" na uislamu....japo wananchi wamechachamaa, masuala ya kidini waachiwe kila mmoja ajiamulie, sio mwanamke anauawa kisa...
Zelensky alalamika kuwa Urusi yataka kupiga kiberiti Ikulu ya Ukraine.
Kwa upumbavu wake anaomba eti nchi za magharibi zimtishie Putin kuwa akiipiga kiberiti ikulu ya Zelensky, nao wamagharibi...
Hizo wameshazijulia hamna kitu humo; mrusi akaombe teknolojia nyingine "mpya" kwa madikteta wengine - NK, then Nicaragua, Venezuela, kisha amalizie Belarus. Hope atakuwa ameshinda vita...
Benjamin Netanyahu - בנימין נתניהו AONYA UPELEKWAJI WA SILAHA ZA ISRAEL NCHINI UKRAINE.
Aliyekuwa waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ametoa onyo kwa Israel kutopeleka silaha nchini Ukraine...
Jeshi la nchi ya Congo DR limeonyesha uborekaji wa hali ya juu kwasasa . tangu waasi wa M23 wafanikiwe kutwaa mjii wa mpaka wa Bunagana nimekua nikifuatilia kwakaribu sana mapigano ya kila siku ya...
Published on Friday, October 21, 2022
Much of the conversation surrounding mRNA (messenger RNA) “vaccines” centers around their impact on humans, but how about all the animals that are being...
ENDELEENI KUSHABIKIA RUSSIA IKILIPUA SHULE, HOSPITAL, MABEMBEA YA WATOTO WAKATI UKRAINE ANAZIDI KUIPA KIPONDO RUSSIA FRONT LINE
Russian forces have been driven back by an ongoing Ukrainian...
Graham Brady, Mwenyekiti wa Kamati ya 1922 ya kundi la Wabunge wa Conservative ambao si Mawaziri wa Serikali amemtangaza Truss kuwa mrithi wa Boris Johnson aliyelazimika kujiuzulu baada ya...
Kama kuna jambo linalolipa ukipatia ni game development. Basi mwaka 2012 kijana mmoja wa Vietnam aliyekuwa na umri wa miaka 25, akiwa kaanzisha kampuni yake ya kutengeneza magame ya simu ambayo...
Leo msikitini tumeambiwa kuwa Marekani ndio mfadhili mkuu wa vikundi vya kigaidi kama ISIS, Al qaeda, Al shabaab, Uamsho na wengineo.
Je, wajuvi wa haya mambo, ni kweli?
Ijumaa Karim.
"Kwakuwa Rais wa Congo DR amekataa Kuzungumza nasi sasa tunamuomba asitulaumu kwani sasa tutampiga na kuanza Kukamata miji yote Muhimu na asidanganywe na Wanajeshi wa nchi Mbili Viherehere...
Elite US unit ready to fight in Ukraine if conflict ‘escalates’ – CBS
America’s 101st Airborne Division, deployed close to the Ukrainian border, would step in if NATO were attacked, its...
Mwaka 1997 Aliyekuwa raisi wa Kongo mobutu aliwahi kusema kuwa ili Kongo ipate amani inahitaji kuongozwa na raisi mzungu.
Je, unafikiri moise katumbi atakuwa chaguo bora kwa wakongo mwaka 2023?
Rais Vladimir Putin ameweka sheria ya kijeshi - kwa mara ya kwanza katika historia ya Urusi ya sasa, kwa sasa sheria hiyo inatekelezwa katika eneo pekee lililotwaliwa na Moscow.
Baraza la...
Nionavyo mimi ni kwamba urusi wana haki kabisa ya kufanya walichofanya, hebu fikiria leo hii warusi wangeweka muungano wa kijeshi na mexico ili wawe na uwezo wa kuweka silaha za nyuklia pale...
Idadi hiyo imetolewa na mamlaka za usalama za Serikali na kuwa watu wengine 300 wamejeruhiwa katika maandamano hayo.
Waziri Mkuu Saleh Kebzabo amedai baadhi ya waandamanaji walikuwa na silaha na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.