Maelfu ya raia na maafisa walioteuliwa na Urusi wanahamishwa kutoka eneo la kusini mwa Ukraine la Kherson kabla ya mashambulizi ya Ukraine, anasema kiongozi wa eneo hilo aliyewekwa rasmi na Urusi...
BBC.
China inadaiwa kufungua vituo vya polisi nchini Nigeria, Lesotho na Tanzania ili kudhibiti vitendo vya uhalifu vinavyofanywa na raia wake wanaoishi katika nchi hizo tatu za Afrika, tovuti...
Naona utawala wa kifalme wanachokitafuta watakipata kwa hawa walowaweka
MAREKANI KUIVAMIA KIVITA AMA KUIWEKEA VIKWAZO SAUDI ARABIA.
Saudi Arabia kwasasa ijiandae kwa kuvamiwa ama kuwekewa...
Mbunge wa Pakistan mwenye asili ya Tanzania alaani ubaguzi wa rangi Marekani
Mbunge mmoja wa Pakistan mwenye asili ya Afrika amekosoa vikali vitendo vya utumiaji mabavu na ubaguzi wa rangi dhidi...
Suella Braveman ambae alikuwa akiongoza wizara ya mambo ya ndani amejiuzulu leo jioni baada ya kukiuka kanuni za usalama wa habari mitandaoni kwa kutumia anuani binafsi ya barua pepe badala ya...
Inaonekana Biden anajua wamarekani wanapenda uovu wa utoaji mimba hata akashawishika kuwa atavutia wapiga kura kwa kuwaahidi kuruhusu tena utoaji mimba, kitu ambacho mahakama ya juu ya marekani...
Kuna baadhi ya vitu ukicheki tu unajiuliza: hivi hili lipo kweli au vipi?
Lakini ukichunguza kiundani kabisa unakuta halipo.
Naogopa kuandika mengi uku JamiiForums.
Ila nimejifunza mengi saana...
Shirika la umeme la Ukraine ,Ukrenergo limewataka wateja wake wawe wakichaji simu zao mapema na tochi kwani hali ya upatikanaji wa umeme imezidi kuwa mbaya huku hofu ya kushambuliwa zaidi kwa vinu...
Urusi imeamua kuwa Taifa la kigaidi na kila mtu mwenye akili amesha juwa nia ovu ya Urusi dhidi ya Ukraine na Dunia yote kwa ujumla.
Ujinga anao ufanya Putin ndio ujinga aliufanya Stalin na...
17 OCTOBER 2022
In accordance with the Federal Advisory Committee Act, the Centers for Disease Control and Prevention (CDC), located within the Department of Health and Human Services (HHS)...
Hivi umewahi kufikiria dunia ya leo ingekuwaje bila Urusi?
Kwamba Marekani na washirika wake ndo wangekuwa na nguvu ya kusema na kutenda wanavyotaka ingekuwaje?
Kwamba kila azimio kwenye...
Mapolisi ya kijihadi yanazunguka kwenye shule za wasichana na kutembeza kichapo cha mbwa kwa vibinti huku wakisababisha mauaji, hii yote kisa wanampigania "mungu" na uislamu....
Huku mayatollah...
Moto ni ule ule....mbele kwa mbele.
======
KYIV, Ukraine (AP) — Pro-Kremlin officials on Sunday blamed Ukraine for a rocket attack that struck the mayor’s office in a key Ukrainian city...
Luteni colonel Daniel Davis wa Marekani awalipua majenerali wa jeshi la Marekani kwa kuiongopea dunia ktk muda wa miezi minne iliyopita wa vita vya Ukraine kuwa Ukraine inashinda/ingeshinda vita...
Zelensky alianza na mbinu za kishamba eti wanajeshi wake wakishambuliwa wakajifiche kwenye makazi ya raia ionekane urusi anashambulia raia.
Baada ya mwanaume wa shoka(Putin)kugundua hilo alitoa...
Hali ya Sintofahamu imejitokeza Katika Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) baada ya Rais Félix Tshisekedi kumteua Jenerali Floribert Kisembo Bahemuka aliyefariki mnamo Mwaka 2011 kwa...
Maandamano yanaendelea nchi kama Italy, France na Germany kupinga hali ngumu ya maisha pamoja na NATO, nastaajabu kuona habari hizi hazipewi headline, kwanini ?
Alipambana na kukamilisha mchuano nywele zikiwa nje akiwa huko Korea, sasa amegeuza nyumbani Iran na kupokelewa na maelfu ya wananchi amao wamechoka dhuluma za kidini, ila pia majihadi yanamsubiri...
Ndio fasheni sasa, ukijihami kwa nyuklia unakua na uhuru wa kufanya chochote, Urusi manyuklia yake yamemuwezesha kunyanyasa vitaifa vidogo vilivyomzunguka.
Korea Kusini wamechoka vitisho vya Kim...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.