Iran ni adui mkuu wa Israel kwa sasa. Na Israel inekuwa ikuhujumu mikakati ya kisiraha hatarishi ya Iran miaka yote.
Ikumbukwe Moja ya sababu kushindwa kutoa mifumo ya Ulinzi Kwa Ukraine, Israel...
Mrusi ameshindwa frontline hadi ameamua kushambulia maeneo ya bustani yenye bembea za watoto, alishambulia kwa mabomu 75, ila 41 yalipanguliwa maana yalielekezwa kwenye miundo mbinu ya kijeshi...
Biden is busy funding American proxy war with Russia while his citizens lives on dropouts and sleeping rough. I wonder if organizations for human right are seeing this level of poverty or It's...
Rais wa Iran, Ebrahim Raisi ametoa shutuma hizo na kudai kuwa Rais wa Marekani, Joe Biden anahamasisha machafuko baada ya kifo cha Mahsa Amini, mwamnamke ambaye inadaiwa alikufa katika mikono ya...
Nchi za Opec Plus zimekubaliana kupunguza uzalishaji wa mafuta kwa sababu za kiuchumi. Lakini marekani yakurupuka na kusema Saudia amefanya njama na Urusi ili kupitisha azimio hilo.
Matokeo yake...
kuna msemo kuwa muda ni mwalimu mkuu. Kila jambo wewe lipe muda ukweli utajulikana tu.
Makandokando ya chanzo za covid yaanza kujitokeza. Mkurugenzi wa Kampuni ya Pfizer akihojiwa na kamati ya...
Mwenye ufaham kuhusu siasa za DRC Naomba anifafanulie, kuhusu hawa Marais wawili Hayati Roula Kabila na Joseph Kabila.
Ninavyojua mim Laurent Kabila aliuawa kwa risasi na nchi ikatawaliwa kwa...
Baada ya Hamas kuwepo Gaza sasa kuna kundi jipya la silaha huko West bank israel kupigwa pande zote
Wazayuni watiwa kiwewe na kundi la "Arin al Usud" la Ukingo wa Magharibi
Kundi jipya la...
China tipped to overtake US as military power with Xi now ‘more powerful’ than Mao
In a rather uncommon incident, protest banners criticizing the Chinese President were sighted last week...
Muhanga mkubwa wa vita huwa ni ''ukweli" kwani nivigumu sana kupata ukweli wa chanzo cha vita, pia ni ngumu zaidi kupata ukweli ndani ya uwanja wa medani. Hali hii inasababisha na ubaya we vita...
Kherson: Russia to evacuate civilians from occupied region as Ukraine advances
Kherson is Ukraine's only regional capital seized by Russia since it launched its invasion on 24 February
The...
Nusu karne iliyopita, Wachina wapatao elfu 50 wake kwa waume walikwenda Afrika wakiwa wamejawa na moyo wa urafiki na kufanya kazi bega kwa bega na watu wa Tanzania na Zambia kujenga Reli ya...
Rais wa Marekani bwana Joe Biden amepimwa na kupatikana na virusi vya korona
Joe Biden mzee mwenye umri wa miaka 79 aliyepata chanjo kamili ya covid 19 kwa sasa amejitenga katika Ikulu ya white...
Mwezi Machi mwaka 2013, rais Xi Jinping alifanya ziara yake ya kwanza barani Afrika baada tu ya kuingia madaraka kama Rais wa China. Akiwa nchini Tanzania, alitoa hotuba yenye kichwa "Daima Tuwe...
Umiliki wa teknolojia za mawasiliano ni jambo muhimu katika kuitawala dunia. Hiyo imeonekana kwa tajiri mkubwa wa dunia Ellon Musk anayemiliki satelite ya Starlink.
Wakati vita kati ya Ukraine na...
Likiwa kama bara lenye idadi kubwa ya nchi zinazoendelea, Afrika inaweza kusemwa kuwa "chanzo cha msingi" wa diplomasia ya China. Ikiwa ni nchi kubwa zaidi inayoendelea na moja ya nchi za Kusini...
Mwaka mmoja kabla ya uchaguzi mkuu nchini DRC, muungano tawala wa Rais Felix Tshisekedi unaendelea kugawika ambapo kumezuka hali ya vuta nikuvute kati ya vyama vya muungano huo na chama kingine...
New Zealand yaripoti kuwa mamilioni ya raia wameandamana nchini Ufaransa wakiishinikiza Ufaranza kubadili sera zake juu ya NATO na EU. Waandamanaji wanaitaka Ufaransa ijitoe kwenye umoja wa NATO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.